Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Yaani hata sijui nisemeje ..........wakati mimi tendo la kuachwa nalipinga balaa sasa sijui nyie kwenu inakuaje?? Mi nishamchana najua kuoa sijui kutoa talaka kwanza huko zamani niliwaacha watoto wazuri walionipenda sana nikamuoa yeye sasa asilete ushubwada wake hata kidogo haachiki mtu..........nilighaili mpaka kwenda ughaibuni kisa &#^#^#^&#&# yake harafu arete ungese.......
Kuna muda inabidi ukubali!Penzi la kulazimisha halinogi bwana
 
Inaendelea, No 2

Nilivyorudi home nikawa na mixed feelings, niliumia kumsaliti mpenzi wangu lakini pia nilienjoy show ya mtoto Lily nikawaza mbona hafananii? alionekana ni binti mpole sana asiye na hatia lakini kitandani kiboko, anyway nikamcall na kumwambia kilichotokea kiishe kisijirudie tena, akaitikia kinyonge sana na maisha yakaendelea, mawasiliano yalikuwepo ila nilikua namkwepa sana tusionane,
Siku moja ofisini kwetu kukawa na event Znz, tulialika watu na yeye nikamualika so akawa ni mgeni wangu, tulivyofika Zenji tukafikia hotel ila wageni walipewa pesa cash wajichagulie wao pakulala kama mtu ana ndugu ruksa au kama watashea room ni wao tu, basi Lily akaniomba ashee room na mimi ili asave pesa yake, nilijiwazia sana ila nikaona fresh huyu ni mwanafunzi acha asave pesa itamsaidia, usiku ulikua mrefu sana kwetu uvumilivu ulinishinda nikasaliti tena mahusiano yetu, tulikaa Znz for 3 days tuliienjoy each other, tulivyorudi Dar penzi likaiva, likawa shata shata,

About my babe, yeye alikua nje ya nchi kikazi, ndani ya Mwaka tulionana mwezi mmoja au mitatu, inategemea na likizo, ni kazi ambayo kwa pamoja tuliiridhia ili tufanikishe malengo yetu, ila hii sijaiweka kama kutetea usaliti wangu, bado nilikosea, mahusiano yetu yatafikisha miaka 10 huu mwaka,

Kupeleka story mbele, baada ya mwaka mmoja wa mahusiano yetu na Lily,
Mwaka 2021 September, babe wangu alikuja for my birthday katika vitu hawezi kumiss ni birthday yangu, so tukasafiri nje ya Dar, just kuenjoy pamoja, nikampanga Lily kua babe wangu amekuja na tunasafiri asinitafute mpaka nitakaporudi hapo ndio niliamsha a monster inside her, hakuweza kuvumilia kukaa bila mawasiliano, alipiga simu na kutuma meseji nonstop, kiufupi alichanganyikiwa alisema kila giza likiingia anawaza kuna mtu mwingine ananigusa basi anapata ukichaa, usumbufu ulikua mkubwa ikabidi nimblock kila sehemu, babe wangu nilimpanga ni simu za kazi anaelewa pia aliniamini sana,
Lily alipogundua nimemblock akatumia namba nyingine kupokea alikua ni yeye analia sana, niliumia hua sipendi kuona mtu analia hata awe nani, nikamtuliza akatulia nikapanga nikirudi Dar inabidi nimmwage haraka bila hivyo ataniharibia mahusiano yangu maana hakuweza kula na kipofu....

Itaendelea
Moderator naomba mtoe hii hadithi inachochea ushoga (lesbianism)
 
Inaendelea No 4,
Huo ndio ukawa mwanzo wa kuuona upande wa pili wa mrembo Lily, alifika hadi ofisini kwangu kila mtu akajua kua nilikua na mahusiano nae wakati mwanzo ilikua ni siri yetu kubwa, maneno yalikua mengi ofisini hadi nikatamani kuacha kazi,
Hofu yangu ilikua mpenzi wangu asijue maana ataumia sana pia itayumbisha mahusiano yetu,
Lily akawa mtu wa kuvuta bangi na pombe, akawa muhuni asiyeweza hata kutambulishika kwa watu, kila mtu aliyekutana nae alimuhadithia kuhusu mimi, hatimae miezi ikapotea bila kunirudisha akajenga chuki kali kwangu, akaanza kunitumia meseji za matusi, alikua akibadili namba kila leo baada ya kua namblock kila namba ngeni aliyotumia, akaanza kunitishia kuniua, nikawa nakuta getini nguo nyeupe zimefutiwa damu, mara getini kuchorwe matusi na jina langu nikashindwa kuvumilia nikaenda kushtaki polisi, akapigiwa simu anahitajika haraka kituoni kweli akaja, lakini nilimuomba askari wasimfunge bali wamuonye kwanza sababu huyo sio yeye ni mental issue amepata kweli alinielewa, basi alivyofika akazungumza nae na kumpiga mkwara akae mbali na mimi, kwangu asifike, akate mawasiliano na lolote litakalonitokea yeye ndie atawajibika, akaomba msamaha na kuahidi kubadilika tena kwa maandishi, wakati tunatoka kituoni niliambiwa nianze mie kuondoka akafatia yeye, nikiwa njiani akanitumia meseji "hii vita uliyoianzisha jiandae kushindwa" sikumjibu nikatulia, kumbuka yote hayo yanatokea sikumshirikisha mtu yoyote hata babe wangu, nilikua napambana mwenyewe, hata kazini nikapunguza kwenda nikawa nafanyia kazi zangu nyumbani zaidi,

Ulipita mwezi mmoja kimya sikupokea simu yake wala meseji yake, nikashukuru sana na kuhisi amebadilika,
Siku hiyo jioni naongea na babe wangu video call akanambia "ooh babe kuna mtu kanitumia picha yako upo na binti flani akasema nyie ni wapenzi na anao ushahidi wenu wote wa meseji na calls, akasema huyu mtu aliniomba urafiki a week ago na hana picha wala marafiki sikumpokea ndio katuma hiyo meseji na kusema nikireply tu ananitumia huo ushahidi mimi nimemblock" akanionesha hiyo picha kupitia simu yake nyingine alikua ni Lily na mimi tukiwa Znz, uzuri kipindi chote cha mahusiano na Lily nilikua nakwepa sana kupiga picha/video na kuwasiliana kwa meseji/voice, ilikua nampigia zaidi, na hiyo picha ilikua ni selfie ya kawaida sana ni ngumu kuwekea maneno, nikafarijika kuona babe wangu alimblock lakini nilijua angemtafuta tena kwa akaunti nyingine,
Nikawaza sanaaa nikaona labda nionane nae, nizungumze nae nijue namsaidia vipi ajitambue tena, nikampigia akapokea chap kwa bashasha akaniuliza umeachwa eeeh, nikamwambia nahitaji kuonana nae kesho nikachagua eneo la beach tuliokua tunapenda kwenda, akakubali.....

Itaendelea
Ukiendelea kesho j3 unaikuta kwa boss wako.
 
Inaendelea No 4,
Huo ndio ukawa mwanzo wa kuuona upande wa pili wa mrembo Lily, alifika hadi ofisini kwangu kila mtu akajua kua nilikua na mahusiano nae wakati mwanzo ilikua ni siri yetu kubwa, maneno yalikua mengi ofisini hadi nikatamani kuacha kazi,
Hofu yangu ilikua mpenzi wangu asijue maana ataumia sana pia itayumbisha mahusiano yetu,
Lily akawa mtu wa kuvuta bangi na pombe, akawa muhuni asiyeweza hata kutambulishika kwa watu, kila mtu aliyekutana nae alimuhadithia kuhusu mimi, hatimae miezi ikapotea bila kunirudisha akajenga chuki kali kwangu, akaanza kunitumia meseji za matusi, alikua akibadili namba kila leo baada ya kua namblock kila namba ngeni aliyotumia, akaanza kunitishia kuniua, nikawa nakuta getini nguo nyeupe zimefutiwa damu, mara getini kuchorwe matusi na jina langu nikashindwa kuvumilia nikaenda kushtaki polisi, akapigiwa simu anahitajika haraka kituoni kweli akaja, lakini nilimuomba askari wasimfunge bali wamuonye kwanza sababu huyo sio yeye ni mental issue amepata kweli alinielewa, basi alivyofika akazungumza nae na kumpiga mkwara akae mbali na mimi, kwangu asifike, akate mawasiliano na lolote litakalonitokea yeye ndie atawajibika, akaomba msamaha na kuahidi kubadilika tena kwa maandishi, wakati tunatoka kituoni niliambiwa nianze mie kuondoka akafatia yeye, nikiwa njiani akanitumia meseji "hii vita uliyoianzisha jiandae kushindwa" sikumjibu nikatulia, kumbuka yote hayo yanatokea sikumshirikisha mtu yoyote hata babe wangu, nilikua napambana mwenyewe, hata kazini nikapunguza kwenda nikawa nafanyia kazi zangu nyumbani zaidi,

Ulipita mwezi mmoja kimya sikupokea simu yake wala meseji yake, nikashukuru sana na kuhisi amebadilika,
Siku hiyo jioni naongea na babe wangu video call akanambia "ooh babe kuna mtu kanitumia picha yako upo na binti flani akasema nyie ni wapenzi na anao ushahidi wenu wote wa meseji na calls, akasema huyu mtu aliniomba urafiki a week ago na hana picha wala marafiki sikumpokea ndio katuma hiyo meseji na kusema nikireply tu ananitumia huo ushahidi mimi nimemblock" akanionesha hiyo picha kupitia simu yake nyingine alikua ni Lily na mimi tukiwa Znz, uzuri kipindi chote cha mahusiano na Lily nilikua nakwepa sana kupiga picha/video na kuwasiliana kwa meseji/voice, ilikua nampigia zaidi, na hiyo picha ilikua ni selfie ya kawaida sana ni ngumu kuwekea maneno, nikafarijika kuona babe wangu alimblock lakini nilijua angemtafuta tena kwa akaunti nyingine,
Nikawaza sanaaa nikaona labda nionane nae, nizungumze nae nijue namsaidia vipi ajitambue tena, nikampigia akapokea chap kwa bashasha akaniuliza umeachwa eeeh, nikamwambia nahitaji kuonana nae kesho nikachagua eneo la beach tuliokua tunapenda kwenda, akakubali.....

Itaendelea
Sijui niitaje Infatuation or obsession,Duh
 
Inaendelea No 4,
Huo ndio ukawa mwanzo wa kuuona upande wa pili wa mrembo Lily, alifika hadi ofisini kwangu kila mtu akajua kua nilikua na mahusiano nae wakati mwanzo ilikua ni siri yetu kubwa, maneno yalikua mengi ofisini hadi nikatamani kuacha kazi,
Hofu yangu ilikua mpenzi wangu asijue maana ataumia sana pia itayumbisha mahusiano yetu,
Lily akawa mtu wa kuvuta bangi na pombe, akawa muhuni asiyeweza hata kutambulishika kwa watu, kila mtu aliyekutana nae alimuhadithia kuhusu mimi, hatimae miezi ikapotea bila kunirudisha akajenga chuki kali kwangu, akaanza kunitumia meseji za matusi, alikua akibadili namba kila leo baada ya kua namblock kila namba ngeni aliyotumia, akaanza kunitishia kuniua, nikawa nakuta getini nguo nyeupe zimefutiwa damu, mara getini kuchorwe matusi na jina langu nikashindwa kuvumilia nikaenda kushtaki polisi, akapigiwa simu anahitajika haraka kituoni kweli akaja, lakini nilimuomba askari wasimfunge bali wamuonye kwanza sababu huyo sio yeye ni mental issue amepata kweli alinielewa, basi alivyofika akazungumza nae na kumpiga mkwara akae mbali na mimi, kwangu asifike, akate mawasiliano na lolote litakalonitokea yeye ndie atawajibika, akaomba msamaha na kuahidi kubadilika tena kwa maandishi, wakati tunatoka kituoni niliambiwa nianze mie kuondoka akafatia yeye, nikiwa njiani akanitumia meseji "hii vita uliyoianzisha jiandae kushindwa" sikumjibu nikatulia, kumbuka yote hayo yanatokea sikumshirikisha mtu yoyote hata babe wangu, nilikua napambana mwenyewe, hata kazini nikapunguza kwenda nikawa nafanyia kazi zangu nyumbani zaidi,

Ulipita mwezi mmoja kimya sikupokea simu yake wala meseji yake, nikashukuru sana na kuhisi amebadilika,
Siku hiyo jioni naongea na babe wangu video call akanambia "ooh babe kuna mtu kanitumia picha yako upo na binti flani akasema nyie ni wapenzi na anao ushahidi wenu wote wa meseji na calls, akasema huyu mtu aliniomba urafiki a week ago na hana picha wala marafiki sikumpokea ndio katuma hiyo meseji na kusema nikireply tu ananitumia huo ushahidi mimi nimemblock" akanionesha hiyo picha kupitia simu yake nyingine alikua ni Lily na mimi tukiwa Znz, uzuri kipindi chote cha mahusiano na Lily nilikua nakwepa sana kupiga picha/video na kuwasiliana kwa meseji/voice, ilikua nampigia zaidi, na hiyo picha ilikua ni selfie ya kawaida sana ni ngumu kuwekea maneno, nikafarijika kuona babe wangu alimblock lakini nilijua angemtafuta tena kwa akaunti nyingine,
Nikawaza sanaaa nikaona labda nionane nae, nizungumze nae nijue namsaidia vipi ajitambue tena, nikampigia akapokea chap kwa bashasha akaniuliza umeachwa eeeh, nikamwambia nahitaji kuonana nae kesho nikachagua eneo la beach tuliokua tunapenda kwenda, akakubali.....

Itaendelea
Hakuna kitu kibaya kama kuwa king'ang'anizi....
Lily ametisha🙌
 
Back
Top Bottom