Ushabiki wa siasa katika taasisi za soka: Wakati umewadia sasa kwa FIFA kushusha rungu lake kwa vilabu vya Yanga na Simba

Mkongwe Mzoefu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2018
Posts
861
Reaction score
2,515
Wewe ni mwekezaji tuu, na unahisa sizizozidi 49% hivyo Simba haiwezi kuwa Mali yako completely na kufanya utakalo bila ridhaa ya wengine.

Nani kakutuma umpigie kampeni Magufuli katika shughuli rasmi za club bila ridhaa ya wanachama? Club yetu haina itikadi ya kisiasa wala kidini hivyo ukome na usirudie tena tabia hiyo.



 
Akifanya utumbo huu? Atasbabisha tuache kuishabikia Simba. Muonyeni huyo mgabacholi.
Uliwahi kuona wapi Simba au yanga ikaongozwa na kiongozi toka upinzani?
Chadema mjikite kwenye Sera acheni kuhangaika na Mambo madogo,Kura Ni Siri yangu siwezi kuiacha Simba kisa Mo Ni ccm
Hata yanga akina mwakalebela na Mahindi msola wamezindua wiki ya wananchi huko Dodoma Ni siasa tu,lakini Mbowe mnazi wa Yanga hajajitoa yanga
 
Unajua maana ya mwenyekiti? Au unabwabwaja tu? Yeye ndiye alfa na omega. Leo akitoa mguu tu mtajikojolea mapajani. Aliwabeep tu kidogo kwamba anajihuzuru si mlimlamba miguu nyie nyie?
 
Kama alifanya hivyo atashangaa bidhaa zake na hiyo simba kkukosa mashabiki uwanjani. Chochote kitakachohusishwa na ccm ni kukisusia tu.

Simba itakuwa kama TBC muda si mrefu
 
Katumwa huyo kwa masilahi yake ya kibiashara.Alipotekwa; watu, hasa wapinzani,ndio walimtetea ila leo kasahau!

Anakwenda kinyume na sheria na taratibu za FIFA na anaweza hata kuadhibiwa.

Ujinga sana huu!!
Mlitetea! haha nyie watu nyie.
 
Kumbe ccm ni wazee wa mikakati. Wameshika kila mahala na pahala.
 
Katumwa huyo kwa masilahi yake ya kibiashara.Alipotekwa; watu, hasa wapinzani,ndio walimtetea ila leo kasahau!

Anakwenda kinyume na sheria na taratibu za FIFA na anaweza hata kuadhibiwa.

Ujinga sana huu!!
Huyu jamaa afukuzwe simba kama kuna mtu anajua sheria za FIFA au kanunu alizo vunja aziweka hapa ili zitumwe FIFA kuanzia leo sio shabiki wa simba
 
Unaachaje kula ugali wa Mo sembe?
Bavicha mlipiga kampeni kususia line za voda lakini michango yenu yote inapitia M pesa

Voda tumeisusia kabisa kwa mfano mimi mwenyewe muda wa maongezi kwa gharama ya serikali nilisajili laini ya voda 50,000 per month lakini sasa nimehamia mtandao mwingine. Kwanza voda gharama ni kubwa. Fuatilia utagundua ni mtandao ulioporomoka zaidi kwa muda mfupi. Hata madukani vocha zake hazitoki.
 
FIFA inatakiwa wapewe taarifa wale hawajui Cha MO wala nini ni adhabu kwenda mbele, Jamaa anaweza pigwa oini kujihusisha na mambo ya mpira maisha yote
Katumwa huyo kwa masilahi yake ya kibiashara.Alipotekwa; watu, hasa wapinzani,ndio walimtetea ila leo kasahau!

Anakwenda kinyume na sheria na taratibu za FIFA na anaweza hata kuadhibiwa.

Ujinga sana huu!!
 
Katumwa huyo kwa masilahi yake ya kibiashara.Alipotekwa; watu, hasa wapinzani,ndio walimtetea ila leo kasahau!

Anakwenda kinyume na sheria na taratibu za FIFA na anaweza hata kuadhibiwa.

Ujinga sana huu!!
Mlimtetea asifanyweje?

Mlishindwaje kutetea wengine?
 
Jana kanishangaza sana kufanya kampeni taifa hakika.

Aliposema CCM hoye watu kmy wakaitikia kama 500 kwenye uwanja unaobeba watu elf 60

Nilikuwa pia baa moja alivyosema Magufuli hoye watu wote wakaguna mle ndani ..


Ndio mjuwe uhalisia uliopo mtaani kwa sasa kuhusu CCM ...

Watu hawako tayari kutumiwa kwa namna yeyote..
 
Simba ni mali ya CCM na ushahidi upo.

Simba ni kama ilivyokuwa Channel ten na kuna siku itarejeshwa rasmi chamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…