Ushabiki wa siasa katika taasisi za soka: Wakati umewadia sasa kwa FIFA kushusha rungu lake kwa vilabu vya Yanga na Simba

Ushabiki wa siasa katika taasisi za soka: Wakati umewadia sasa kwa FIFA kushusha rungu lake kwa vilabu vya Yanga na Simba

Unazijua Sheria za FIFA haziruhusu alicho fanya MO, malalamiko lasimi takitua FIFA jamaa jamaa anaweza pigwa burn, FIFA sio wa mchezo mchezo
Uliwahi kuona wapi Simba au yanga ikaongozwa na kiongozi toka upinzani?
Chadema mjikite kwenye Sera acheni kuhangaika na Mambo madogo,Kura Ni Siri yangu siwezi kuiacha Simba kisa Mo Ni ccm
Hata yanga akina mwakalebela na Mahindi msola wamezindua wiki ya wananchi huko Dodoma Ni siasa tu,lakini Mbowe mnazi wa Yanga hajajitoa yanga
 
Mi mwenyewe kaniboa sana, utopolo ningehamia sema huko wanakuweza wenyewe maana muda wote presha juu.
 
How FIFA Defines "Political" in Ban on "political...slogans, statements or images"

[https://static][https://static]

The rules of soccer are published in a document called The Laws of the Game. According to the Laws of the Game (2018/2019), Law 04, Section 5:


"Equipment must not have any political, religious or personal slogans, statements or images...For any offence the player and/or the team will be sanctioned by the competition organiser, national football association or by FIFA.”


"Whilst ‘religious’ and ‘personal’ are relatively easily defined,‘political’ is less clear but slogans, statements or images related to the following are not permitted:

any person(s), living or dead

any local, regional, national or international political party/organisation/group, etc.

any local, regional or national government or any of its departments, offices or functions

any organisation which is discriminatory

any organisation who [whose] aims / actions are likely to offend a notable number of people

any specific political act / event

"When commemorating a significant national or international event, the sensibilities of the opposing team (including its supporters) and the general public should be carefully considered."

Huyu jamaa afukuzwe simba kama kuna mtu anajua sheria za FIFA au kanunu alizo vunja aziweka hapa ili zitumwe FIFA kuanzia leo sio shabiki wa simba
 
How FIFA Defines "Political" in Ban on "political...slogans, statements or images"

[https://static][https://static]

The rules of soccer are published in a document called The Laws of the Game. According to the Laws of the Game (2018/2019), Law 04, Section 5:


"Equipment must not have any political, religious or personal slogans, statements or images...For any offence the player and/or the team will be sanctioned by the competition organiser, national football association or by FIFA.”


"Whilst ‘religious’ and ‘personal’ are relatively easily defined,‘political’ is less clear but slogans, statements or images related to the following are not permitted:

any person(s), living or dead

any local, regional, national or international political party/organisation/group, etc.

any local, regional or national government or any of its departments, offices or functions

any organisation which is discriminatory

any organisation who [whose] aims / actions are likely to offend a notable number of people

any specific political act / event

"When commemorating a significant national or international event, the sensibilities of the opposing team (including its supporters) and the general public should be carefully considered."
 
MO unasahau haraka sana ! ulipotekwa kinyama sisi tulikesha kukupigania , leo hata hela ya Simba hujalipa unaleta ujinga , safari hii ukitekwa tena ukawasalimie , maana Shetani hajawahi kuwa na rafiki .

- KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Chadema amjiamini kabisa.kilasiku nyinyi ni malalamiko tu.Simba na Yanga ni mali za CCM utake usitake.
 
Unazijua Sheria za FIFA haziruhusu alicho fanya MO, malalamiko lasimi takitua FIFA jamaa jamaa anaweza pigwa burn, FIFA sio wa mchezo mchezo
Kajifunze kiswahili kwanza,lasimi ndio Nini
Huko FIFA mtakutana na picha ya jezi ya Simba na picha ya mo ofisini kwa infantino
 
Jana kanishangaza sana kufanya kampeni taifa hakika.

Aliposema CCM hoye watu kmy wakaitikia kama 500 kwenye uwanja unaobeba watu elf 60

Nilikuwa pia baa moja alivyosema Magufuli hoye watu wote wakaguna mle ndani ..


Ndio mjuwe uhalisia uliopo mtaani kwa sasa kuhusu CCM ...

Watu hawako tayari kutumiwa kwa namna yeyote..
ila naamini mwezi wa 8mwakan km T.L akishanda hatosema ccm oyee niamian nakwambia
 
Jana kanishangaza sana kufanya kampeni taifa hakika.

Aliposema CCM hoye watu kmy wakaitikia kama 500 kwenye uwanja unaobeba watu elf 60

Nilikuwa pia baa moja alivyosema Magufuli hoye watu wote wakaguna mle ndani ..


Ndio mjuwe uhalisia uliopo mtaani kwa sasa kuhusu CCM ...

Watu hawako tayari kutumiwa kwa namna yeyote..
Na bado CCM hawataki kukubali huo ukweli. Kama masikio ya kusikia hawana hata macho hawaoni?
CCM kwa sasa inachukiwa kama achukiwavyo shetani na wanadamu wema na kupendwa na wahalifu wachache.
 
Wewe ni mwekezaji tuu, na unahisa sizizozidi 49% hivyo Simba haiwezi kuwa Mali yako completely na kufanya utakalo bila ridhaa ya wengine.
Nani kakutuma umpigie kampeni Magufuli katika shughuli rasmi za club bila ridhaa ya wanachama?
Club yetu haina itikadi ya kisiasa wala kidini hivyo ukome na usirudie tena tabia hiyo.
bMpaka sasa yeye ndio mmiliki, hakuna mwanachama hata mmoja aliyetoa japo kijiko kama sehemu ya hisa 51% za wanachama. Mo kaweka mezani 20B, jaribu kumpinga uone.
 
Unazijua Sheria za FIFA haziruhusu alicho fanya MO, malalamiko lasimi takitua FIFA jamaa jamaa anaweza pigwa burn, FIFA sio wa mchezo mchezo
Kwanini msikusanye ushahidi mkaupeleka Fifa na kufungua kesi rasmi??
 
Jana kanishangaza sana kufanya kampeni taifa hakika.

Aliposema CCM hoye watu kmy wakaitikia kama 500 kwenye uwanja unaobeba watu elf 60

Nilikuwa pia baa moja alivyosema Magufuli hoye watu wote wakaguna mle ndani ..


Ndio mjuwe uhalisia uliopo mtaani kwa sasa kuhusu CCM ...

Watu hawako tayari kutumiwa kwa namna yeyote..
Kweli asee hsta mm nlikua mahal watu kibao waliposikia maguful kila mtu akatoa neno lake ukawa mjadala....
 
Back
Top Bottom