Ushabiki wa siasa katika taasisi za soka: Wakati umewadia sasa kwa FIFA kushusha rungu lake kwa vilabu vya Yanga na Simba

Yanga ni mali ya CCM kwa 100%

Simba ni mali ya CCM kwa 51%

Huwezi kutenganisha vilabu hivi na CCM.

Maendeleo hayana vyama!
 
Yanga ni mali ya CCM kwa 100%

Simba ni mali ya CCM kwa 51%

Huwezi kutenganisha vilabu hivi na CCM.

Maendeleo hayana vyama!
ngoja tuwaite FIFA waje.... ndiposa mtajua hizo % ni shubiri au asali!
 
Fifa ni wapiga dili tu hawana lolote wale!
ushasahau FIFA walishatufungiaga huko nyuma pivyu vilitubana?

ngoja tupeleke petition yetu halafu tuone kifuatacho.
baada ya kifuatacho nitakuita mezani tusemezane!
 
kuna mtangazaji alimtaja lissu wakati akitangaza mpira, ikaonekana ni mapenzi yake binafsi kwa kipenzi chake, wala hatukujipa muda kutafakari ana ushawishi kiasi gani katika kazi anayoifanya kwa wakati huo.


lakini sababu tumeamua kuwa wapuuzi, FIFA watatuacha na matatizo yetu.
 
Kwanini tusifanye petition ili habar iwafikie FIFA?

Nilitoa uzi jana kushauri hilo.. wanasheria mpo wapi?

Nafikiri ni wakati muafaka timu ya Simba na Mo washitakiwe FIFA na wapate adhabu stahiki ili iwe fundisho kwa team zingine, hebu wanasheria na wana Yanga kuweni kitu kimoja ktk hili ili watu hawa waadhibiwe hata kufungiwa maisha
 
Mhindi alitaka kunyang'anywa mashamba yake ya mkonge kule Mombo hivyo anasifia ili asisumbuliwe.
 
NI kweli Simba tulikosea kuingiza siasa kwenye mpira, ila sasa mikia mbona kama ndio mnatamani sana tupigwe ban
 
ushasahau FIFA walishatufungiaga huko nyuma pivyu vilitubana?

ngoja tupeleke petition yetu halafu tuone kifuatacho.
baada ya kifuatacho nitakuita mezani tusemezane!
Hawakutugungia kwa sababu za kumpigia kampeni mmiliki wa timu!
 
Duh , aisee nyie jamaa kweli ni fungu la kukosa yaani mmebanwa kila mahali, sasa hata kwenye football pia nako hola, hamtakiwi, hamjishtukii tu kwamba kuna kitu hakiko sawa, wakati mwingine ni vizuri kujitathmini pia inawezekana kuna mahali hamko sawa, haiwezekani kila mahali Watanzania tuwakatae, ...
 
hao wanaoshabikia chama dola ni kujipendekeza kwa ajili ya maslahi binafsi na si kukipenda chama.

Lissu atakaposhika dola October hii utaona msululu wa hawa hawa wakipanga foleni wakitamani kulamba masaburi yake!
 
Nafikiri ni wakati muafaka timu ya Simba na Mo washitakiwe FIFA na wapate adhabu stahiki ili iwe fundisho kwa team zingine, hebu wanasheria na wana Yanga kuweni kitu kimoja ktk hili ili watu hawa waadhibiwe hata kufungiwa maisha
sawasawa kabisa!
 
Mkuu nakuunga Mkono kwa hili. Sisi wanachama wa SIMBA tumeumizwa saana na huu upuuzi wa huyu gabachori na amekuwa mbishi saana. Changamoto imekuwa wapi pa kuanzia ila nakuhakikishia tupo tayari kukuunga mkono wewe tuongoze. Tuwasiliane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…