Ila hao hao ndio hujazana kwenye mikutano ya wanasiasa wa upinzani na ccm.Ukitaka kuwatawala watu wa kawaida,wape mkate na michezo.Yaani wakila mikate na kushiba,wape michezo waburudike,hawata jadili mambo ya msingi ya taifa lao.
Anataka kila mtu ayashiriki machungu yake, mengine katika hayo madai yake yanahitaji kwanza apewe uelewa kabla hajaandika vitu asivyovifahamu. kwa kina.Unataka unalotaka wewe ndiyo liwe-POLE
Mimi niko vizuri 😅🙏Tuwaache vijana wafurahie maisha haya. Tafuta pesa mkuu hii hulka ya kunyooshea mtu vidole ukidhani ndio sababu ya wewe kutokuwa na chochote sana sana itakupeleka kwa wachawi na waganga wa kienyeji.
Usitunze chuki dhidi ya mtu ambaye huna ushahidi kuhusu wizi unaodai kaufanya. Tunza kichwani mwako zile mbinu halali za kukupatia pesa.
Paragraph yako ya mwisho imebeba ujumbe mzito sana na inawahusu pande zote mbili za shilingi 🙌👍🙏🙏Nimeelewa vizuri ila lazima ujue pia sio kila mtu ni mshabiki wa siasa na hii hoja ya kila siku bandari imeuzwa ni hoja dhaifu na wazi ushabiki wa upande fulani. Watu wanajuwa madhaifu ya serikali na chama tawala lakini pia wanajuwa vizuri ni bora ya hawa kuliko wale. Ndio maana nimesema wa Tanzania sio watu wanaopenda fujo ni hulka yetu, hatufanani na nchi yoyote Africa hapa hawa majirani zetu tu hatufanani nao.
Ni vizuri tukapishana kauli lakini huwa sipendi mimi binafsi hizi kauli za kuchochea mtafuruku. Tuitunze amani kwa gharama yoyote mengine tutaelewena tu.
Iko vile bandugu 🙌👍Ila hao hao ndio hujazana kwenye mikutano ya wanasiasa wa upinzani na ccm.
Mo Dewji na wawekezaji wengine wamepewa mpaka wa uwekezaji wa kumiliki asilimia 49 na 51 inakuwa ni mali ya wananchi.Mimi niko vizuri 😅🙏
Huwa napenda kuwakumbusha ndugu zetu kwamba upigaji mkubwa mkubwa ni dhambi kubwa na ni Dhulma kubwa maana unasababisha maisha ya watu wengi kuwa ya shida kwa sababu ya ughali wa maisha kutokana na vitu kupanda bei kufidia zile ambazo wanaoitwa wajanja kukwapua zile zilizotakiwa ziende kwenye maendeleo ya Wananchi !!
Mifano ni mingi ila waliozowea vya kunyonga vya kuchinja hawaviwezi !!
Watasema tunawaonea wivu tu 😅
Ndio maana tunawakumbusha kwamba hata wakichuma vingi kiasi gani bado ufunguo wa mtu kuwa na furaha utabaki kwa Mungu pekee !
Ndio maana wapigaji wanaishi kwa stress za kila aina na wale wanaoishi kwa vipato vyao japo vidogo vya halali wanafurahia maisha yao kwa kuzipenda Simba na Yanga. 😅🤣
Na malipo ni hapa hapa Duniani 🙏🙌👍🤠
Na wewe uliyejua kuwa haya yote yamefanyika umesaidia nini katika kuyaweka vizuri? Kama hujafanya lolote, una tofauti na ambaye hajui?Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Sasa nishagundua wewe ni Mshamba haswaaaaa.Wanaoupenda mpira TZ ni zaidii ya milioni 30 kati ya milioni 60.
Wanaopiga kura na kujishughulisha na siasa za uchaguzi hawazidi milioni 10 nchi nzima.
Kuna zaidi ya vijana wenye nguvu za kufanya kazi milioni 20 wasiojua Mbowe anafanana vipi na maisha yao yanaendelea bila ya kufuatilia ulaghai wa wanasiasa.
Jifunze kuheshimu faragha za watu kuliko kujifanya wewe ni mpangaji wa maisha yao ya kila siku. Kwenda Uwanjani wanajua pesa wamepata wapi na hawana haja ya kuja kukuomba wewe uwaruhusu wafuatilie mpira!.
Achana na hizi akili za kinoko, za kishamba.
Hahahahaha! Maskini!!!Wewe kusoma tayari nimefanya kazi kubwa.
Mjinga wewe, unatakiwa uelewe kwamba mashabiki wa mpira ni wengi kuliko watu wenye kadi za vyama vya siasa, Mpira ni biashara kubwa sana na ina pesa nyingi ikiajiri mamilioni ya watu.Sasa nishagundua wewe ni Mshamba haswaaaaa.
Tena limbukeni.
Umeona Yanga na Simba faragha za watu!
We uko tayari hata kuolewa ikifungwa timu.
Kuomba kujengewa matundu ya vyoo hakujaanza jana wala juzi. Ni hulka binafsi zetu.Natazama nyomi Mkapa muda huu halafu January mtaomba mjengewe matundu ya choo.
Kweli ushamba umekujaa.Mjinga wewe, unatakiwa uelewe kwamba mashabiki wa mpira ni wengi kuliko watu wenye kadi za vyama vya siasa, Mpira ni biashara kubwa sana na ina pesa nyingi ikiajiri mamilioni ya watu.
Wapumbavu kama wewe mpo kila mahali katika kila sekta, hamuelewi upana wa michezo upo vipi mnaishia kufanya maamuzi yanayopitwa na wakati na kuwakosesha mamilioni ya watu riziki zao.
Ushamba unao wewe unaodhani sisi tunaoshabikia timu za kariakoo tunafaidi sana. Wewe umesaidia vipi timu ya kijiji kwenu?.Kweli ushamba umekujaa.
Kuwa shabiki wa soka sio tatizo. Tatizo linaanzia pale ambapo hata washamba kama wewe mnashabikia Yanga na Simba badala ya kushabikia timu ya kijijini kwenu, huo ni ulimbukeni.
Yanga na Simba ni za watoto wa Kariakoo, sasa limbukeni wewe inakuhuu
Na bongo flevaUchawi wa CCM/Mafisadi wa mali za umma upo kwenye muvi, Simba & yanga na Mwenge.
Ndiyo maana taifa halina maendeleoNa bongo fleva
Each and everything happens for a reasonHeshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Ni sahihi Sana mkuuHizo timu ni project ya CCM ndiyo maana mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji yanasusua