Ushahidi CHADEMA inatumiwa na TICTS kukwamisha uboreshaji wa bandari

Ushahidi CHADEMA inatumiwa na TICTS kukwamisha uboreshaji wa bandari

Kwamba Wamiliki wa TICTS ambao umewataja ni Wanaccm ,na kwamba Wanaccm wa TICTS wamewanunua CHADEMA? Labda mimi niwe fala kama anavyojichora mleta mada, hili halitaniingia akilini kamwe.Hoja ni Terms za Mkataba mbona hapo mnapakwepa kupasemea?
WEWE ACHANA NA CCM watu wametumwa hela; ogopa hela watu waliuuza ugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kwa Lowassa mwaka 2015, wewe sijui ulikuwa wapi
 
Ndio.

Wamiliki wa TICTS walikuwa.wanachama wa Chadema fuatlia uchaguzi 2015 utawajua walichangia pesa nyingi mno Chadema 2015

Mgombea wao aliposhindwa kupitishwa na CCM mmoja wa wamiliki wakaenda Chadema
Ni vema ukaweka ushahidi wa uanachama wao na utoaji mapesa wewe mwenyewe hapahapa.
 
Kwamba Wamiliki wa TICTS ambao umewataja ni Wanaccm ,na kwamba Wanaccm wa TICTS wamewanunua CHADEMA? Labda mimi niwe fala kama anavyojichora mleta mada, hili halitaniingia akilini kamwe.Hoja ni Terms za Mkataba mbona hapo mnapakwepa kupasemea?
Mjadala umetokana na kuwepo mikononi mwa Jamii nyaraka yenye kichwa cha habari Inter Governmental Agreement between the United Republic of Tanzania and The Emirate of Dubai Concerning the economic and social partnership for the development and improving performance of sea and lake ports in Tanzania. Nyaraka (IGA) hiyo ilisainiwa kwa maridhio ya rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mtawala wa The Emirate of Dubai Oktoba, 2022. Kwa kuzingatia matakwa ya utawala bora na vifungu vya IGA, serikali iliipeleka IGA katika bunge ili kupata baraka na siyo ridhaa.

Kwenye mijadala hoja za bandari kuuzwa, waliosaini kuwa wazinzibari wakati bandari za Zanzibar hazimo kwenye maelezo yaliyokwenye nyaraka ya IGA, kuwepo na mkataba usio ukomo na usiobainisha Tanzania inapata nini, wananchi kutoshirikishwa,The Emirate of Dubai kukosa hadhi ya taifa, uhusika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania- je lilibariki au kuliridhia (Ratify), kwa nini wageni wakati watanzania tupo, kwanini DP World inapata karibu kila kitu na Tanzania haipati kitu, na matumizi ya English law (sheria za Uingereza) ziliibuka.

Aidha mijadala ilichukua haiba ya haki ya kupata taarifa; uhuru wa kutoa Maoni; ubaguzi; matumizi ya lugha za kuudhi na kudhalilisha; upinzani wa kisiasa; upinzani wa kibiashara; kuitisha na kuipora serikali mamlaka na dhamana yake; haiba ya kukosa weledi wa kitaaluma; na mapungufu na kuyumba kwa maelezo ya serikali.

Mapitio ya IGA yamebainisha kuwa hatua ya serikali ya kutafuta mbia/mwekezaji wa kuendeleza, kuboresha, na kuendasha bandari za Tanzania ni sahihi kulingana na hali ya bandari zetu ikilinganishwa na kuzingati uhalisia uliko duniani katika biashara na huduma ya bandari. Mapitio ya IGA hayabainishi namna The Emirate of Dubai alivyopatikana ila serikali imejibu na kuitolea maelezo hiyo hoja.maelezo na ufafanuzi uliotolewa na serikali umeonyesha IGA siyo mkataba bali mikataba itaingiwa baadaye kwenye hatua ya utekelezaji pamoja na mabo kama mawada, ukomo, na mgawanyo wa mapato baina ya watekelezaji Mamlaka ya Bandari ya Tanzania (Tanzania Ports Authority –TPA) na DP World. Aidha hoja ya bandari Zanzibar kutokuwemo imejibiwa kwa maelezo kuwa ni kwa mujibu wa matakwa ya sheria no 7 ya mwaka 2004 ya Mamlakaya Bandari ya Tanzania. Hoja ya hadhi ya Emirate of Dubai imetolewa maelezo kwa kutumia ibara ya 116, 120, 123,124, na 125 ya Katiba ya Umoja wa Falme za Kiarabu zinazo thibitisha hadhi ya Dubai uingia IGA.

Hoja ya kama IGA ni mkataba au si mkataba imetolewa maelezo kwa kutumia sheria ya Tanzania ya mikataba Sura ya 345 (2002) inavosema. Kifungu cha 10 cha Sheria ya Mikataba Sura ya 345 (2002) kinachoonyesha kuwa haikidhi vigezo vya kisheria vya kuitwa mkataba. Msimamo huu unaimarishwa na machapisho ya wanazuoni Johanne Poirier (2001) na Cheryl Saunders (2005) ambao wanasitiza kuwa IGA siyo mkataba bali ni mwongozo wa namna ya kufikia mikataba kwa ajili ya mambo mahsusi yatakayokubaliwa na watekelezaji wa mikataba.



Mjadala umebeba haiba ya kuitisha serikali na kupuuza mamlaka yake. Ibara ya 34 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaeleza kuwepo kwa serikali na mamlaka yake. Waliohoji mamlaka ya serikali wanatumia ibara ya 8 inayosema mamlaka yanatoka kwa wananchi. Ukizisoma ibara hizi mbili kwa pamoja kwa akili ya kawaida utaona wananchi wanatoa mamlaka na serikali inapokea; wananchi wanabaki na stahiki ya kuiwajibisha serikali kwa kuhoji au kuiadhibu wakati ukifika. Adhabu ya serikali kaidi na zisizowajibika inatolewa wakati wa uchaguzi ambapo wanarejesha mamlaka mikononi mwao kwa mda ili kutafuta mtu mwingine wa kumpa ili aunde serikali na kutumia mamlaka hayo kuendesha nchi kwa kadri wanavyoona inafaa. Nje ya wakati wa uchaguzi, wananchi tunayo fursa ya kupaza sauti moja kwa moja au kupitia wawakilishi wetu. Huu ni ustarabu wa kidemokrasia. Na watanzania ni wanademokrasia.
 
wewe wa kwanza , ulishaanza kutojitegemea ki akili siku nyingi ulipojiunga na CHADEMA
Kwa namna ninavyokuwa sipo upande wa CCM mara nyingi kutokana na ulaghai wenu,basi ukahitimisha mimi ni CDM?Nikiwa na kadi ya mwaka gani yenye namba gani?Umejidharaulisha sana kwa kutoa suluhisho lenye kuonesha unavyowaza mwisho wa pua yako.
 
TICTS walipewa kazi ya kuendeleza, kuboresha, na kuendesha shughuli za upakuwaji na upakiaji wa makasha ya mizigo kwenye bandari ya Dar as salaam kuanzia mwaka 2000.

Walipewa magati 08,09,10 na 11 na bandari kavu za kurasini na Ubungo amabo ni 75% ya ukubwa wa biashara ya bandariya Dar es Salaam. TICTS kampuni tanzu ya kampuni ya Hutchison Port Holding Limited (HPH) ya Singapore na imesajiliwa British Virgin Islands Hutchison Port Holding Limited (HPH)nayo ni kampuni tanzu ya CK Hutchison Holdings Limited.

Mpaka sasa TICTS imewekeza USD 100 M kwa kununua kwa kuleta 11 RTGCs (Rubber-tyred Gantry Cranes), 4 Reach stackers, 2 Mobile Harbour Cranes, 17 terminal tractors and 2 empty handlers na ujenzi wa miiundo mbinu. Mh. Nazir Karamagi alikuwa mwenyekiti wa bodi ya TICTS hadi Mei, 2008 nafasi yake ilipochukuliwa na John Meredith.

Mwaka 2017 utendaji wa TICTS uliingizwa kwenye mpango mpya wa kupima ufanisi ili kuona kama unaendena na ushindani wa sasa katika biashara ya bandari. Upimaji ulikuwa wa miaka 5 na ilishindwa kukidhi vigezo na mkataba wake kutohuishwa mwaka 2022.

Wakati TICTS ikitathimiwa, TPA ilianza mchakato wa kupata mbadala na wake na akapatikana DP World. Kupoteza biashara kubwa kama ya kuendesha biashara, TICTS ilitafuta namna ya kuzuia kuja kwa mwendeshaji mwingine ukizingatia kuwa bado wanaendelea na biashara kwenye kipindi cha mpito. TICTS ikawaingiza CHADEMA kwenye vita yao kama askari mamluki.

Mazingiara haya yanaonyesha ndoa ya TICTS na CHADEMA. Kati kati ya mjadala wa DP World, Mdude Chadema na social network worriers wa CHADEMA walipost MEMO ya TICTS ambayo pamoja na kwamba ilikuwa inatoboa hoja yao ya upotoshaji kuwa WAARABU tayari wako bandari ya Dares Salaam, lakini ilikuwa inawasidia kuwaonyesha TICTS kuwa wako kazini wanapambana na kuhalaisha pesa walizolipwa.

View attachment 2689848
Tukio jingine ni kuhuishwa na kuboreshwa kwa +255 Kutoka KATIBA MPYA na kuwa KATIBA MPYA NA OKOA BANDARI ZETU.

Kampeni hii inakwenda kuzindukia Kagera ambako ndiko kwao mhusika wa TICTS anakotoka. +255 ilikuwa imesimama kwa kukosa pesa, tatizo hilo liletatuliwa na pesa za TICTS za kupinga DP World.
Matthew 7:1-5
[1]Judge not, that ye be not judged.
Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.

[2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.

[3]
Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?

[4]Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe?

[5]Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako. Kutweza Kitakatifu
 
Matthew 7:1-5
[1]Judge not, that ye be not judged.
Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.

[2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.

[3]
Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?

[4]Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe?

[5]Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako. Kutweza Kitakatifu
Huwa wanasoma vitabu vya dini na kuvielewa hao zaidi ya kuvinajisi wanapoapa hadharani kuwa walaghai na wezi?
 
TICTS walipewa kazi ya kuendeleza, kuboresha, na kuendesha shughuli za upakuwaji na upakiaji wa makasha ya mizigo kwenye bandari ya Dar as salaam kuanzia mwaka 2000.

Walipewa magati 08,09,10 na 11 na bandari kavu za kurasini na Ubungo amabo ni 75% ya ukubwa wa biashara ya bandariya Dar es Salaam. TICTS kampuni tanzu ya kampuni ya Hutchison Port Holding Limited (HPH) ya Singapore na imesajiliwa British Virgin Islands Hutchison Port Holding Limited (HPH)nayo ni kampuni tanzu ya CK Hutchison Holdings Limited.

Mpaka sasa TICTS imewekeza USD 100 M kwa kununua kwa kuleta 11 RTGCs (Rubber-tyred Gantry Cranes), 4 Reach stackers, 2 Mobile Harbour Cranes, 17 terminal tractors and 2 empty handlers na ujenzi wa miiundo mbinu. Mh. Nazir Karamagi alikuwa mwenyekiti wa bodi ya TICTS hadi Mei, 2008 nafasi yake ilipochukuliwa na John Meredith.

Mwaka 2017 utendaji wa TICTS uliingizwa kwenye mpango mpya wa kupima ufanisi ili kuona kama unaendena na ushindani wa sasa katika biashara ya bandari. Upimaji ulikuwa wa miaka 5 na ilishindwa kukidhi vigezo na mkataba wake kutohuishwa mwaka 2022.

Wakati TICTS ikitathimiwa, TPA ilianza mchakato wa kupata mbadala na wake na akapatikana DP World. Kupoteza biashara kubwa kama ya kuendesha biashara, TICTS ilitafuta namna ya kuzuia kuja kwa mwendeshaji mwingine ukizingatia kuwa bado wanaendelea na biashara kwenye kipindi cha mpito. TICTS ikawaingiza CHADEMA kwenye vita yao kama askari mamluki.

Mazingiara haya yanaonyesha ndoa ya TICTS na CHADEMA. Kati kati ya mjadala wa DP World, Mdude Chadema na social network worriers wa CHADEMA walipost MEMO ya TICTS ambayo pamoja na kwamba ilikuwa inatoboa hoja yao ya upotoshaji kuwa WAARABU tayari wako bandari ya Dares Salaam, lakini ilikuwa inawasidia kuwaonyesha TICTS kuwa wako kazini wanapambana na kuhalaisha pesa walizolipwa.

View attachment 2689848
Tukio jingine ni kuhuishwa na kuboreshwa kwa +255 Kutoka KATIBA MPYA na kuwa KATIBA MPYA NA OKOA BANDARI ZETU.

Kampeni hii inakwenda kuzindukia Kagera ambako ndiko kwao mhusika wa TICTS anakotoka. +255 ilikuwa imesimama kwa kukosa pesa, tatizo hilo liletatuliwa na pesa za TICTS za kupinga DP World.
Na wewe ni miongoni mwa wezi wa mali za umma kwa nini utetee huu mkataba wa wizi wa mchana kweupe hata duniani wanashangaa huo muda unaupata wapi ila ni kwa sababu unalipwa.
 
Na wewe ni miongoni mwa wezi wa mali za umma kwa nini utetee huu mkataba wa wizi wa mchana kweupe hata duniani wanashangaa huo muda unaupata wapi ila ni kwa sababu unalipwa.
wewe unatetea huu wa TICTS
Unfavourable offer
It is said that Ticts’ new offer for consideration of renewal of the lease agreement for another term entailed that the firm should be allowed to manage berths 8 to 11 as well as berths 5 to 7 on behalf of TPA.
The offer also stated that Ticts will pay a fixed annual rental of $30 million, escalating at three percent per annum; and that the firm will also pay a royalty fee of $29 per container of twenty-foot equivalent unit (TEU), escalating at four percent per annum; as well as requesting a suspension of key performance indicators (KPI) targets.

However, the government negotiation team ruled that the offer never met its requirements which includes an annual fixed rental of $30 million with effect from October this year, escalating at eight percent per annum.
The negotiation team also required a royalty fee of $29 per container, effectively from October this year and escalating at eight percent per annum thereafter.
The team also demanded the container output target as per the existing lease agreement of 2017, shall be calculated as 7.4 percent of the minimum guaranteed throughput of 657,946 TEU of year 2021 effectively from October 2022 escalating at 7.4 percent annually for the remaining term.
Ticts was also said to have provided conditions that could not be acceptable by the TPA, including a demand to suspend key performance indicators. TPA said could not have a contract that does not have functioning key performance indicators (KPIs), which determine the royalty payment.
The condition to manage berths 5 to 7 could also not be accepted because there are other plans currently being implemented by TPA at the respective berths.
 
Matthew 7:1-5
[1]Judge not, that ye be not judged.
Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.

[2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.

[3]
Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?

[4]Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe?

[5]Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako. Kutweza Kitakatifu
Mkuu umesema vizuri na asante kwa kuleta vifungu vya biblia, inayogusa kote kote kama msumemo
 
Kwa namna ninavyokuwa sipo upande wa CCM mara nyingi kutokana na ulaghai wenu,basi ukahitimisha mimi ni CDM?Nikiwa na kadi ya mwaka gani yenye namba gani?Umejidharaulisha sana kwa kutoa suluhisho lenye kuonesha unavyowaza mwisho wa pua yako.
Walau nawaza urefu wa pua yangu asante; ila wewe huwazi kabisa pole
 
Back
Top Bottom