Ushahidi: Delila hakumnyoa Samsoni bali alisingiziwa

Hata pichani Samsoni si mzungu ukijaribu kuangalia rangi ya Delila na Samsoni ni tofauti kabisa
 
Kwa usingizi wa kawaida c rahisi kunyolewa usihisi chochote. Itakua alipewa unga.
 
Maadui zake Wafilisti ndo walikuwa wakimlia "timing" Samson kiasi cha kuamua kumtuma Delila ili amlaghai.

Delila ndie alieamuru kijakazi kuzikata nywele hizo.
 
Mkuu hivi mkeo akiwapa funguo za nyumba yako wezi ,
Wakasafisha kila kitu cha ndani yeye ahusiki na wizi?
 
Luanda Magere the rock,the iron, the unbeaten and all hard names referred to Him.
 
Delila ni primary suspect...
 
Hapa alifeli sana maana Delila nae alimuingiza kwenye mtego na maneno juu mara unashindwa kuniambia siri unipendae nae sam kaingia mazima
Ndo kauli za wanawake wengi tulokua nao huku,
"Kama utaki kunitajia password ya ATM card hunipendi"

Ingia kichwa kichwa Sasa[emoji2]
 
Kwani wewe ulikuwa hujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…