Ushahidi huu hapa, hakukuwa na Tender kama Waziri Mbarawa alivyosema leo

Kwa kuzingatia: Ziara yako ,kuhusu fursa za uwekezaji Nchini Tanzania. Leo hii Unakaribishwa kwa mikono miwili uje uchukue -changu chako Matakwa yaliyoonyeshwa katika Mkataba wa Makubaliano, Tumeyakubalia kwa mkono mkunjufu Unakaribishwa sana kuwekeza bila kuomba.
Nipigie,
Wako
Mnyaa Nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…