Ushahidi huu hapa, hakukuwa na Tender kama Waziri Mbarawa alivyosema leo

Ushahidi huu hapa, hakukuwa na Tender kama Waziri Mbarawa alivyosema leo

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Waswahili wanasema, Kwa enzi hizi, Muogope MUNGU na Teknolojia. Naomba msome kipende A
IMG-20230714-WA0039.jpg


IMG-20230714-WA0030.jpg
 
Atutajie makampuni hayo aliyoyatumia na tenda ilitangazwa lini.
Hayo makampuni Atayatoa wapi Mkuu. Ukitaka kujua Ni hujuma na rushwa za kitoto.

Kwanini hili swala limeibuka mwaka huu wakati walisaini toka mwaka Jana mwezi wa kumi na ikifika wa kumi mwaka huu Ni mwaka? Kimya Cha karibu miezi 6 kilikuwa Chanini Kama walichokifanya Ni sahihi na Ni haki?.
 
Back
Top Bottom