Ushahidi kuntu kuhusu utapeli uliojificha ndani ya biashara ya dada wa kazi (house girls)

Kweli kabisa mkuu 🀣 πŸ˜… πŸ˜‚ 🀣 πŸ˜… πŸ˜‚
Ilibidi uwe mpole tu sema awamu ijayo jitahidi walau hata both team to scoreπŸ˜… hakikisha umemtafuna huyo mshamba
 
Ilibidi uwe mpole tu sema awamu ijayo jitahidi walau hata both team to scoreπŸ˜… hakikisha umemtafuna huyo mshamba
Kweli bora hata ingekuwa droo kuliko away win, inauma sana. Na kumbuka mtu unakuwa umeweka stake kubwa 🀣 🀣 🀣
 
Kweli bora hata ingekuwa droo kuliko away win, inauma sana. Na kumbuka mtu unakuwa umeweka stake kubwa 🀣 🀣 🀣
Hahahahahah kiande wa kiembe samaki anakuwa kamenya β€œhaji manara wa kutosha” inachoma sana
 
Mzee baba mpaka umefikisha mabinti wote hao na changamoto zao hizo huachi kuwatumia madalali?. Huna ndugu zako au ndugu wa mkeo wakatafte mabinti huko makwao ?. Achana na madalali hao ni zaidi ya danger.
 
Sijamaliza kusoma maelezo yote ila nilipoelewa tu unachokizungumzia basi inatosha

Ushauri wangu chukueni kijijini kwenu wadada wa kazi... au ndo kizazi chenu chote kimezaliwa jijini hamna mjomba wala shangazi kule mkoani akawatafutia dada wa kazi
 
yaani ni shida dada anakuja asubuhi ,jioni katoroshwa
 
Biashara nzima imejaa UTAPELI.

Siyo biashara rasmi.

Mishahara yenyewe mabosi wanalipa 20,000. Halafu wanaajiri sana watoto.

Muhimu.serikali ingerasmisha tu hii kazi ili watu wafanye kazi kama kazi rasmi na walipwe stahiki zao.
Kwa kipato gani
 
Endeleeni kuibiwa. Kama una hela weka mlinz wa kampuni na ufunge kamera.

Watoto peleka day care!
Au bek3 mlipe laki kama atakuibia.

Tatzo weng wenu mnalipa elfu 30, na matusi juu ataachaje kuiba na kutokomea?
Tena hawa wanawake wetu ndo uongoza kuwaumiza hawa mabinti kwa hako ka mshahara wa elf 30 au 50,Kazi nyingi,matusi,manyanyaso kibao.
Hawa mabinti sio kwamba wanapenda kufanya Kazi hizi ni kwa sababu ya umasikini wa familia zao msiwatende.
Wakati mwingine mnajipatia laana bure kwa kuumiza madada hawa.
 
Cha msingi TV irudi, hao mamwela ni wakuwaogopa uliko hata mwizi mwenyewe
 
Cha msingi TV irudi, hao mamwela ni wakuwaogopa uliko hata mwizi mwenyewe
Tv imegoma kirudisha unacheza na hao police, walianza kunitishwa eti mwizi alipigwa sana angefia lookup kwahiyo tukampa bondi, nawaulizia TV iko wapi wananiuliza uliona wapi? Wakati walimpiga wenyewe.
 
Endeleeni kuibiwa. Kama una hela weka mlinz wa kampuni na ufunge kamera.

Watoto peleka day care!
Au bek3 mlipe laki kama atakuibia.

Tatzo weng wenu mnalipa elfu 30, na matusi juu ataachaje kuiba na kutokomea?
Hiyo ya kufunga camera ni wazo zuri
 
Tv imegoma kirudisha unacheza na hao police, walianza kunitisha eti mwizi alipigwa sana angefia lookup kwahiyo tukampa bondi, nawaulizia TV iko wapi wananiuliza uliona wapi?
Hawa ndio maana nazinguana nao sana huku mtaani, yani kupitia tatizo lako wanataka nao watatue matatizo yao hapo hapo

Kuna wale anaitwa sungusungu, kila nyumba mwisho wa mwezi wanapitia buku mbili kwa ajili ya ulinzi. Siku ukiibiwa ukasema uwaite wakusaidie kupatikana mali yako wanakupiga hela tena halafu hawajishughulishi na kutafuta

Hiyo TV mpaka hapo imeibiwa na hao mamwela
 
Mkuu, tatizo sio mishahra midogo isipokuwa ni utapeli unaofanywa na madalali kwa sbabu njaa zao binafsi.
Hiki visa vimekutokea wewe? Unatakiwa unajirebishe la sivyo utakuja kupata hasara kubwa zaidi. Kuna ule msemo unaosema ukiona mtu anarudia kufanya jambo lile lile, kwa namna ile ile, tena na tena, huku akitegemea matokeo tofauti basi ujue ana walakini. Hivi kweli kosa ulilofanya mara moja halikutosha kuku-alert? Hapa tunajadili kila siku hatari za kutumia madalali kwenye kutafuta wasichana wa kazi, unaweza kupekuwa na kukuta visa vingi sana. Ninachowaasha members ni hiki: mtu unayemkabidhi watoto wako, nyumba yako na kila kitu chako akutunzie wakati wewe hupo ni lazima umjue vya kutosha. Anatakiwa afanyiwe vetting na testing kubwa sana. Kumbuka anakuwa na access na siri za nyumbani kwako, unachokula nk.
 
Mmeyataka wenyewe, kila kitu dalali unashindwa kutafuta dada wa kazi wewe mwenyewe?

Halafu Dada atakae hakikisha unakula chakula salama, anakaa na mtoto wako nafamilia yako nzima! Unaachaje kumfanyia vetting ya kutosha..? Unawezaje ukaokota mtu wa namna hiyo barabarani tuu?? Hebu tuweni serious kidogo.

Nyumbani kwa wazaz wako kijijin kwenye asili yenu mliko tokea hakuna watu?? Chukueni watu ambao mna ukaribu nao hata kwa asilimia chache, mtu hupajui hata aliko zaliwa we unaokota tuu... akikuibia unaenda kumkaba dalali.. watu wa mjini wengi mnakua ni wapumbavu sana.. kwa Nyie mnatakiwa muibiwe sana hadi mshike akili.
 
Biashara nzima imejaa UTAPELI.

Siyo biashara rasmi.

Mishahara yenyewe mabosi wanalipa 20,000. Halafu wanaajiri sana watoto.

Muhimu.serikali ingerasmisha tu hii kazi ili watu wafanye kazi kama kazi rasmi na walipwe stahiki zao.
Asilimia nadhani 2% ndio watakuwa na jeuri ya kumlipa house girl mshahara.
 
Mkuu una busara sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…