Ushahidi: Rais Samia unachonganishwa na Mawaziri wako uonekane Mbaya wajipange kwa Urais

Ushahidi: Rais Samia unachonganishwa na Mawaziri wako uonekane Mbaya wajipange kwa Urais

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mwigulu Nchemba ana ushetani mwingi sana. Hana utu hata kidogo,ana kiburi na mjivuni sana. Suala la kuwakata watu pesa zao zikiwa bank na wanapotoa huu watu wameuchukulia kama ni Unyang'anyi wa Serikali yako kwa wananchi maskini.

Yaani mmeshindwa kukusanya kodi sasa mnachukua kwenye accounts za watu. Na aliyekushauri alikushauri makusudi akuharibie. Wananchi wanajawa na chuki na hasira. Then yeye atakuja kukuruka hapo baadaye.

Mwigulu hana ubinadamu kabisa. Sababu anatumia pesa zetu hana uchungu kuangalia namna ya kusaidia wananchi. Mnapata wapi ujasiri wa kuwapora pesa zao wananchi maskini?

Hili linaleta chuki sana kwa serikali.
 
Mimi ningekuwa ndiyo Rais, kiukweli huyu jmaa ningemhamishia Wizara ya Mazingira na Muungano! Huko nadhani kungemfaa.

Halafu kwenye Wizara ya Fedha, Uchumi na Mipango ningemtafuta mtaalamu aliyebobea kweli ili kuleta maajabu ambayo hayatawaumiza kabisa wananchi wa hali ya chini.
 
Back
Top Bottom