Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?
Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zaman
Unatumia nguvu nyingi sana
ukiitwa na mamlaka upo teyari kutoa ishahidi?Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?
Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
Hii inaitwa Bongo bahati nzuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Edit mwaka 2002 ili utuaminishe zaid.
Bongo kama hauna connection hata video ya gwaji hupati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naombeni video basi hiyo ma mimi nione
Ndo tulipofikia hapa asee ni shidaBongo kama hauna connection hata video ya gwaji hupati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fact!Niseme tu kuwa nimekuelewa vizuri sana na sijaelewa mantiki yawanao kubeza.
Mara kadhaa kumekua na vimambo flani kufanywa ili kuzima kitu ambacho by the time being kina utata.
Kwa wafuatiliaji wataelewa tu.
We ni kenge Hiyo 2018 umeandika Hapo blalifuu hatutaki ujinga wenu hapaHii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?
Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?