Ushahidi: Video inayodaiwa ni ya Gwajima nilikuwa nayo kwenye simu yangu tangia 2018, siyo ya Gwajima

Ushahidi: Video inayodaiwa ni ya Gwajima nilikuwa nayo kwenye simu yangu tangia 2018, siyo ya Gwajima

Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497
Kwani sisi tulisema hiyo picha ni ya jana au juzi? Au unataka kusema 2018 Gwajima alikua hawezi kufwanya?
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497
Mkuu inaonekana una video mingi...nitumie ya mariam birian
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497
Basi utasaidia polisi
 
Maji yamesha mwagika hayazoleki....ndo video tushaiona
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497
Ishu sio ni gwajima au la au ni ya muda gani, ishu ni imevuja sasa!
Mbona ya Nandy ni ya kitambo ila ilivuma mwaka jana? Hata amber rutty anadai yake pia ni ya kitambo!
 
Wewe mleta mada mbona unareasoning mbovu kiasi hicho kwahiyo video ya 2018 ndio haiwez kuwa ya gwajima??
 
Dah...yaani hadi sasa Mimi mwenzenu sijaona kosa lolote la Askofu
 
1 TIM. 3:2,7 SUV

"Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu...Tena imempasa kushuhudiwa mema na watu walio nje; ili asianguke katika lawama na mtego wa Ibilisi."

Kwa sifa hizi, ameshakosa sifa!

UMENENA!
 
Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?

Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
Ukiweza kutuambia uliipata wapi na kwa nanmna gani hoja yako itakuwa na nguvu! Vinginevyo hiyo ya kusema tu kuwa ulikuwa nayo kwenye simu yako na kuweka screen shot haisaidiii
 
Hivi ni kwanini hii issue imetoka baada ya Makonda kukutana ma Gwajima hii juzi?

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda na Askofu Gwajima wamekutana katika kanisa la Free Gospal ambapo kulikuwa na sherehe ya kutimiza miaka 30 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo.

Miezi kadhaa iliyopita wawili hao walikuwa na tofauti zao lakini leo wameonekana wakizungumza kwa pamoja katika kanisa la Askofu Kakobe

Kanisa la Askofu Kakobe limetimiza miaka 30 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo, hapa chini.



1091720
 
Ipo vile vile mkuu, cheki hapo inaonekana ni urefu ule uke wa dk 1:37, Mtu mweusi na nweupe, style ile ile, mikono ya mwanamke ipo vile vile..hakuna kilichobadilika

Kwani walokole style yao sio moja tu missionary..😅
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497
Acha uongo kwani wamekuambia imefanyika jana? Tumia ubongo kidogo mkuu au ndiyo kundi mlihongwa na ilimmsafishe kwenye mitandao?
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497

Na hizo video nyingine mbona hazina mwaka mzee baba ni hiyo ya Gwajima tu na wewe tunakuuliza kwani hapo kwenye video ya Gwajima ndo kuwe na mwaka 2018 kwann hzo nyingine hazionyeshi mwaka kajipange tena SORRY
 
Gwajima yupo live.
Ameshasema sio yeye.

Kasema hajawahi kuona mwanaume ambaye anajirekodi then atume.
Ila kwa logic ndogo tu ukiachana na wasanii wanaotafuta kiki.
Gwajima anajirekodi kwenye simu ili apate nini?

Mimi mwenyewe sina jina na sijulikani ila siwezi kujirekodi kwenye simu.
Kuna watu wengine wenye tabia hiyo. Anajirikodi halafu anakuwa anazipitia baadae na kuangalia alivyokuwa anafanya. Kinachodhihisha kuwa yule ni Gwajima ni ile clip ndogo ya kwanza. Amejimulika vizuri kabisa usoni akawa anajaribu kuset mitambo. Hlafu inasikika sauti ya mguno ya yule mwanamke. Mandhari inaoyoonekana ni ile ile ya clip ndefu!
 
Back
Top Bottom