Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzo gani na kwenye tendo gani??? Ilee video ya dak 1.37 hakuna Utofautiii kalalee mbelee...Nimejiridhisha ni fake neti na mapazia mwanzo na kwenye tendo ni rangi tofauti
Acha ubishi mkuu.... unakaza ubongo wakati mambo yako waziSawa, Amber ni kahaba je Bishop hawezi kufanya kile kinachoonekana?
Kwani wewe unaamini katika nini? Ni yeye au.Acha ubishi mkuu.... unakaza ubongo wakati mambo yako wazi
Amba Ruth before ile clip yake kutoka watu walisha mzoea kutokana na tabia yake ya kukaa kaa kihasara hasara na pia kutoa matamshi yake ambayo yalikuwa na maaana za kihuni..., tofauti na Gwajima yeye ni mchungaji na Askofu kwahiyo utaona utofauti mkubwa sana hata kwa jinsi watu hawa jamii inavyowachukulia na ndio maana jambo lilelile lililofanywa na Amba Ruthi kwa maana ya uchafu limefanywa na Gwajima na reaction ya watu imekuwa kubwa sanaaa
Mkuu mambo mengine yako wazi na yanajifafanua yenyewe mi naona unanichosha tu hapa.
Hongera😃🤣🤣Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Wajinga ndio waliwao..., amka!!!!Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?
Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
[emoji23][emoji23][emoji23] nani kakwambia nimekasirika, mm nasema askofu asulubiwee...Kwani wewe unaamini katika nini? Ni yeye au.
Hizo hasira zako zipeleke huko kanisani humu tunataka kujua mbivu na mbichi siyo hasira za kipumbavu.
you are sinking.... swallow your prideKasemea wapi? Hivi mbona wabongo ni wajinga kuamini kila kinachotungwa mtandaoni?
Oooh 'kwa sauti ya bwakila' nikajua unapinga siyo yeye.[emoji23][emoji23][emoji23] nani kakwambia nimekasirika, mm nasema askofu asulubiwee...
KwendraaaaaaaaaHii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
😂 😂 😂 😂 😂Mzee baba naomba nifowardie hiyo ya January, Hiyo ya November tiyari ninayo.
mkuu hebu nitumie pm nijioneeHii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Swaum yako haitaswii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna akili kubwaa... Kwamba Video ya gwajima Nguvu gani imetumikaa??[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] Kwendenii hukoo... Uzinzi ni uzinzii tyu awakamate nyie msiojielewaa... Amber ruty...mariam biriani Nyuzi kibao zilianzishwaa
Wewe gwajima kaokoka at 12yrs baada ya kupata ajal na kuumia mgongoWeakest defense ever
Mwenyewe kashasema ni yake alirekodiwa akiwa bado "hajaokoka"!
These motherfuckers are lame!
Gwajima yupo live.Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?
Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?