Ushahidi: Video inayodaiwa ni ya Gwajima nilikuwa nayo kwenye simu yangu tangia 2018, siyo ya Gwajima

Ushahidi: Video inayodaiwa ni ya Gwajima nilikuwa nayo kwenye simu yangu tangia 2018, siyo ya Gwajima

Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?

Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
Si wameipata sasa hivi kabla ya hapo ilikuwa mikoni mwake!
 
Huo ujinga kawaambie ndg zako, mnahangaika kumsafisha lakn mtambue kwamba mwisho Wa ubaya ni aibu na utambue kwamba Mungu hajaribiwi, hizo dini zenu mmezifanya kichaka mtazidi kuumbuka mmoja mmoja
vibaraka wa lumumba utawajua tu
 
inshu huyo ni Gwajima ama siye?

mambo ya ww kuwa nayo hayana mashiko tena. hata kama ingekuwa ni mwaka 2010, swala huyo ni Gwajima, na anafanya uzinzi, kajirekodi mwenyewe, kazisambaza kwa kupenda ama kwa uzembe hivyo ni kosa kusheria.
 
Baba unge share link tuone source ya video uliko itoa
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497
ata ingekuwa ya mwaka 47, video ni yakwake , ni genuine.
 
Mimi huwa naamini upande wa Mungu unashinda hata baada ya vizazi na vizazi ngoja tuone.. Ila awamu ya 5 ina mbinu za kijinga tokea nchi hii ipate Uhuru
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497
Hiyo simu yako ilikuwa inaonyesha mwezi tu, ghafla November ikaweka na mwaka? Utapeli kama Gwajima tu!
 
Dada mange ameshasema
Ova
Screenshot_20190508-184849_Instagram.jpeg
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497
Najivunia kuwa mkristo safi wa kanisa katoliki la mitume....
 
Acha Mungu ahukumu mbona kumtetea sana au we mzee wa kanisa mnaogopa mtakula wapi waumini wakikimbia.
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497
We vipi? umemsikia msemaji wa familia ya Gwajima? amesema alipewa juice akashindwa kujitambua afanyacho, sasa we unakuja na mapichapicha tu ya sijui ya mwaka gani!!
 
Umekuwa unaiangalia kisirisiri... eeeeeh hata mtu ukipokea kideo leo kinaweza kusevu kwa date na time ya muda ilirekodiwa au kusetiwa.
Na hakuna aliyesema ilikuwa ya masaa kabla haijarushwa mitandaoni.
 
Back
Top Bottom