Ushahidi: Video inayodaiwa ni ya Gwajima nilikuwa nayo kwenye simu yangu tangia 2018, siyo ya Gwajima

Ushahidi: Video inayodaiwa ni ya Gwajima nilikuwa nayo kwenye simu yangu tangia 2018, siyo ya Gwajima

Tusubiri press conference ya mtumishi wa Mungu hivi punde!
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497
MKUU MBONA HAIFUNGUKI?
 
Kwanini video za Amber Rutty na Mariam Biriani nguvu hii haikutumika?
Inangaliwa na uzito wa muhusika kwenye jamii mkuu.

Gwajima ni mtumishi wa Mungu anapaswa kuishi kitakatifu kama mfano, ila Amba ruth alikuwa hana wadhifa wowote just a normal looking stressed girl
 
Inangaliwa na uzito wa muhusika kwenye jamii mkuu.

Gwajima ni mtumishi wa Mungu anapaswa kuishi kitakatifu kama mfano, ila Amba ruth alikuwa hana wadhifa wowote just a normal looking stressed girl
Kwanini video zake zitetewe kiasi hicho kwani huyo Amber Rutty hawezi kuedtiwa na yeye?
 
Ukitaka kujua uyo kwenye io video kuwa bishop gwajima or sio tuliza akili angalia na kisikiliza kwa umakini na vizuri mwisho lazima utapata jibu ambalo hata wewe utaridhika nalo don’t panic RELAX
 
Maswali ni mengi bado ya kujiuliza.
Ni kwa nini jeshi la polisi linamtaka Gwajima na sii kumtaka aliyerusha hiyo video mtandaoni?
Itatokea mtu arushe video ya uchafu ya mkuu wa jeshi la polisi, je polisi watamwita mkuu wa polisi ama yule aliyerusha?
Swali jingine ni kwa nini polisi wameungana na wanao shere hii clip kinyume na makosa ya kimtandao?
 
Baba anakusalimu
cc01cac7-c8b9-47bc-82c8-16910c0f6e25.jpg
 
Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?

Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
Angalia Basi hata tundu za pua khaaaa
 
Nimejiridhisha ni fake neti na mapazia mwanzo na kwenye tendo ni rangi tofauti
 
Kwa uzoefu wangu wa IT hiyo video ni ya gwajiboy 100% pasipo na shaka, haya mengine mnayoleta ni stori za abunuuasi.
 
Imeandaliwa kuua soo la anguko la uchumi na Utekaji uliokithiri
BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
 
1 TIM. 3:2,7 SUV

"Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu...Tena imempasa kushuhudiwa mema na watu walio nje; ili asianguke katika lawama na mtego wa Ibilisi."

Kwa sifa hizi, ameshakosa sifa!
 
Back
Top Bottom