Pre GE2025 Ushahidi wa Mzee Mbowe akisema Msigwa ndiye aliyeshika chupa ya damu wakati wa kumsafirisha Lissu Nairobi huu hapa

Pre GE2025 Ushahidi wa Mzee Mbowe akisema Msigwa ndiye aliyeshika chupa ya damu wakati wa kumsafirisha Lissu Nairobi huu hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hatari sana nchi ipo kwenye mapito mazito wakati wanasiasa nchi nyingine wanatoa hoja na kutangaza sera huko bongo land wanabishana nani alishika chupa ya damu wakati wahusika wapo utoto utoto aina hii nchi lazima ipige mark time na kuzalisha majizi na walevi kwa wingi!
 
Hatari sana nchi ipo kwenye mapito mazito wakati wanasiasa nchi nyingine wanatoa hoja na kutangaza sera huko bongo land wanabishana nani alishika chupa ya damu wakati wahusika wapo utoto utoto aina hii nchi lazima ipige mark time na kuzalisha majizi na walevi kwa wingi!

..tatizo ni ukilaza wa Maza Abduli.

..viongozi wana influence kubwa sana kwa wanaowaongoza.

..hizi siasa zinazoendelea ni reflection ya uwezo wa kiongozi wetu.
 
Hatari sana upinzani nao unajikuta unaangukia kwenye hoja dhaifu na nyepesi nyepesi!

..upinzani hawana resource nyingi za kupambana na mapesa ya Maza Abdul.

..Ccm wameshindwa kujibu hoja za Lissu hivyo wanachofanya ni kuhakikisha Lissu hasikiki.

..kwa hiyo wamesambaza watu wanaoposti ujinga kila mahali.
 
..tatizo ni ukilaza wa Maza Abduli.

..viongozi wana influence kubwa sana kwa wanaowaongoza.

..hizi siasa zinazoendelea ni reflection ya uwezo wa kiongozi wetu.
Tundu Lissu ni Kiongozi

Freeman Mbowe ni Kiongozi-Baba James

Mchungaji Msigwa, vilevile ni kiongozi

Na ukweli ni kwamba hao juu ni Viongozi wa CHADEMA, maneno na matamshi yao.

Na kwa maana hiyo haya tunayoyasikia na kuyaona, pia ni "reflection" ya Uongozi wao.
 
Hivi ukimsaidia mtu ni lazima ujitokeze hadharani kujinasibu?
Basi hata kanisani wawe wanasema wametoa sadaka kiasi gani

..inategemea na namna unavyoeleza jinsi ulivyotoa msaada.

..Watanzania walihitaji kujua mkasa mzima wa jinsi Lissu alivyosafirishwa toka Dodoma kwenda Nairobi.

..Mbowe anaeleza jinsi tukio zima lilivyotokea tofauti na mtu anayejitapa au kujitangaza.
 
Hatari sana nchi ipo kwenye mapito mazito wakati wanasiasa nchi nyingine wanatoa hoja na kutangaza sera huko bongo land wanabishana nani alishika chupa ya damu wakati wahusika wapo utoto utoto aina hii nchi lazima ipige mark time na kuzalisha majizi na walevi kwa wingi!
🤣🤣🤣🤣
 
Lissu hana shukrani kabisa, leo kaanza kumtukana Mbowe aliyembeba akiwa hoi hajitambui.

Lissu ana mganga wake wa vidono, zile dawa za kuzuia risasi isikuue. Kwa Lissu ushirikina kila mahali
 
Tundu Lissu ni Kiongozi

Freeman Mbowe ni Kiongozi-Baba James

Mchungaji Msigwa, vilevile ni kiongozi

Na ukweli ni kwamba hao juu ni Viongozi wa CHADEMA, maneno na matamshi yao.

Na kwa maana hiyo haya tunayoyasikia na kuyaona, pia ni "reflection" ya Uongozi wao.

..Chadema wana-respond kwa propaganda za chawa wa Mama Abdul.
 
..Chadema wana-respond kwa propaganda za chawa wa Mama Abdul.
Na wewe una respond kwa kumwita Mkuu wa Nchi Kilaza!

CHADEMA mtafika kweli.

Hebu nitajie ni nyuzi ngapi zimeanzishwa na nyie wafuasi, wanachama na machawa wa CHADEMA kuhusu sera zenu?

CHADEMA itafanya nini au ina sera gani za Kilimo?


Je, kuna uzi hata mmoja unaotueleza sisi Wananchi mtakuja kufanya nini...swali hili ni endelevu.


CHADEMA itafanya nini au ina sera gani za Uchumi?

Kutwa, Mama Abdul, Kutwa Makonda, Kutwa Magufuli(R.I.P)

Hivi hamna sera Wananchi wawasikilize. Sasa usije kuniambia Katiba mpya ni Sera.

Thanks
 
Tundu Lissu ni Kiongozi

Freeman Mbowe ni Kiongozi-Baba James

Mchungaji Msigwa, vilevile ni kiongozi

Na ukweli ni kwamba hao juu ni Viongozi wa CHADEMA, maneno na matamshi yao.

Na kwa maana hiyo haya tunayoyasikia na kuyaona, pia ni "reflection" ya Uongozi wao.
Lisu na Msigwa wanataka kuvuruga Chadema kuwashauri tu hawawezi Msigwa na Lisu kwanza makabila yao hayako nchi Nzima kama Wachaga walioko Chadema walioko mijini na vijijini nchi Nzima

Pili Chadema wamejaa walutheri kidini Cha Msigwa Tanzania ni kidogo mno na hakijulikani Kwa wanachama Wengi wa Chadema

Lisu Mkatoliki Wakatoliki Wengi CCM wakati Chadema asilimia kubwa Walutheri dini ya Mbowe

God bless Lema kidini chake Cha kidogo sio rahiai kupindua Mlutheri Mbowe

Hawana uwezi huo hata wafurukute vipi
 
Na wewe una respond kwa kumwita Mkuu wa Nchi Kilaza!

CHADEMA mtafika kweli.

Hebu nitajie ni nyuzi ngapi zimeanzishwa na nyie wafuasi, wanachama na machawa wa CHADEMA kuhusu sera zenu?

CHADEMA itafanya nini au ina sera gani za Kilimo?


Je, kuna uzi hata mmoja unaotueleza sisi Wananchi mtakuja kufanya nini...swali hili ni endelevu.


CHADEMA itafanya nini au ina sera gani za Uchumi?

Kutwa, Mama Abdul, Kutwa Makonda, Kutwa Magufuli(R.I.P)

Hivi hamna sera Wananchi wawasikilize. Sasa usije kuniambia Katiba mpya ni Sera.

Thanks

..sera za Cdm zipo na wakati mwingine Ccm huwa mnazikosoa.

..kwa mfano, wakati wa kampeni za 2020 mgombea wa Cdm aliahidi bima ya afya kwa wote, na kulikuwa na mjadala mkubwa sana kuhusu hoja hiyo.

..kwa sasa hivi kampeni za uchaguzi hazijaanza hivyo hakuna ILANI ya kuizungumzia.
 
..sera za Cdm zipo na wakati mwingine Ccm huwa mnazikosoa.
Kama zipi hizo?
..kwa mfano, wakati wa kampeni za 2020 mgombea wa Cdm aliahidi bima ya afya kwa wote, na kulikuwa na mjadala mkubwa sana kuhusu hoja hiyo.
Sawa, hiyo ilikuwa 2020. Tuko 2024 miezi michache kabla ya chaguzi...mna sera moja tu ya Afya. Mtafika kweli? Muda utaongea
..kwa sasa hivi kampeni za uchaguzi hazijaanza hivyo hakuna ILANI ya kuizungumzia.
JK, kwa hiyo unatueleza kwamba CHADEMA itakuja kuuza sera zake baada ya Uchaguzi?

Kama nilivyosema. Muda utaongea.
 
Back
Top Bottom