Pre GE2025 Ushahidi wa Mzee Mbowe akisema Msigwa ndiye aliyeshika chupa ya damu wakati wa kumsafirisha Lissu Nairobi huu hapa

Pre GE2025 Ushahidi wa Mzee Mbowe akisema Msigwa ndiye aliyeshika chupa ya damu wakati wa kumsafirisha Lissu Nairobi huu hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lisu na Msigwa wanataka kuvuruga Chadema kuwashauri tu hawawezi Msigwa na Lisu kwanza makabila yao hayako nchi Nzima kama Wachaga walioko Chadema walioko mijini na vijijini nchi Nzima
Hivi hakuna sheria za kubadilisha Kabila? Sheria za kubadilisha Majina, zipo za kubadilisha Nchi(uraia) zipo...ila hakuna za Kubafilisha Kabila.

Anywho, ni hatari sana kama mvurugano ndani ya CHADEMA ni wa Kikabila
Pili Chadema wamejaa walutheri kidini Cha Msigwa Tanzania ni kidogo mno na hakijulikani Kwa wanachama Wengi wa Chadema
...hata na Dini🙌🏾
Lisu Mkatoliki Wakatoliki Wengi CCM wakati Chadema asilimia kubwa Walutheri dini ya Mbowe
...sio dini tu, hata madhehebu yao😭😅
God bless Lema kidini chake Cha kidogo sio rahiai kupindua Mlutheri Mbowe

Hawana uwezi huo hata wafurukute vipi

CHADEMA imatisha sana mkuu.
 
..upinzani hawana resource nyingi za kupambana na mapesa ya Maza Abdul.
Hao "Mabilionea wa CHADEMA wanotangazwa hapa JF na Erythrocyte wanafanya nini?
..Ccm wameshindwa kujibu hoja za Lissu hivyo wanachofanya ni kuhakikisha Lissu hasikiki.

..kwa hiyo wamesambaza watu wanaoposti ujinga kila mahali

Na wa CHADEMA wanaposti matusi tu. Ujinga kila mahali.
Kazi kweli
 
Mkuu 'something is terribly wrong' ndani ya CDM, hili linatoa 'loophole' kwa wabaya wao.

Hakuna nyakati uchaguzi umekiacha chama chochote salama! lakini panapokuwa na tahadhari na uongozi thabiti madhara hupungua. Niseme tu CDM hawa ku ''foresee consequences'' za uchaguzi, hawa ku learn from the past or experience ya vyama vingine na hawakuwa na 'mitigation strategy''

Mama Dully analaumiwaje kwa kutimiza dhamira yake? walaumiwe waliotoa fursa ya yeye kutimiza dhamira
 
Mkuu 'something is terribly wrong' ndani ya CDM, hili linatoa 'loophole' kwa wabaya wao.

Hakuna nyakati uchaguzi umekiacha chama chochote salama! lakini panapokuwa na tahadhari na uongozi thabiti madhara hupungua. Niseme tu CDM hawa ku ''foresee consequences'' za uchaguzi, hawa ku learn from the past or experience ya vyama vingine na hawakuwa na 'mitigation factor''

Mama Dully analaumiwaje kwa kutimiza dhamira yake? walaumiwe waliotoa fursa ya yeye kutimiza dhamira
Hao wa kulaumiwa ni wakina nani na ushahidi wa kuwalaumu ni upi? Mwisho wa siku unabaki uvumi tu, halafu watoa tuhuma wanaishia kuomba radhi!
 
Kama zipi hizo?

Sawa, hiyo ilikuwa 2020. Tuko 2024 miezi michache kabla ya chaguzi...mna sera moja tu ya Afya. Mtafika kweli? Muda utaongea

JK, kwa hiyo unatueleza kwamba CHADEMA itakuja kuuza sera zake baada ya Uchaguzi?

Kama nilivyosema. Muda utaongea.

..hata Katiba Mpya wanayoipigania sasa hivi ilikuwa ni sehemu ya ahadi za Chadema ktk uchaguzi wa 2020.

..kampeni za uchaguzi mkuu zitakapoanza ndio wakati mahsusi wa vyama kuuza sera zao.
 
Hao wa kulaumiwa ni wakina nani na ushahidi wa kuwalaumu ni upi? Mwisho wa siku unabaki uvumi tu, halafu watoa tuhuma wanaishia kuomba radhi!
I hope and pray that am wrong! weka uzi na bandiko hili vizuri
 
Sisiemu wanaamua ku spin tu hoja kwa vijipande vya video Lisu was very clear ku address mchango wa Msigwa aliposhika damu hizo zingine porojo porojo tushazoea inapofika uchaguzi wa CDM masisiemu yanajipenyeza kuleta hilarious na this time around yaneshikwa papaya yanakosa inside information kwakua yale mapandikizi yao yamedhibitiwa nakukosa kujua kinachoendelea ndani Big thumb kwa CDM shikeni hapo hapo
 
Mbowe huyu hapa akieleza kilichotokea wakati wa kumsafirisha Lissu kwenda Nairobi kwa matibabu.

Halafu kuna wapuuzi wanataka kutuaminisha kuwa kuna ugomvi kati ya Lissu na Mbowe. Kutofautiana kimawazo kunawezekana lakini sio ugomvi wa kumfanya Lissu ajitoe katika Chama kilichompigania. Ni yale yale ya fisi kusubiri mkono wa binadamu uanguke.

Amandla...
 
mkuu hukuwa na haja ya kuweka hii, hawa Wajinga tulipanga wakusanyike wote na nyuzi zao za kulipwa ili tuwamalize kwa mkupuo
Nilipomsikia msingwa analalamika kuhusiana na jasho lake kwa chadema kwa miaka 20 nimelia sana ,maana wengine humu wa juzi tu,hakuna kitu mnajua kuhusu hiki chama😂😂😂😂😂
 
Aiseee.
Maelezo ya Mbowe yanafikirisha sana.
Risasi zimepigwa za kutosha lakini zimekwepa kuyagusa maeneo muhimu.
Risasi zimekwepa moyo, figo, ini, mapafu, mishipa muhimu ya damu nk🙄
Kila la kheri Tundu Lisu.
 
Hivi tumekosa vitu vya kujadili tunaongelea kushika chupa kweli?
Kweli mleta hoja umefilisika kabisa kichani!
 
Hivi ukimsaidia mtu ni lazima ujitokeze hadharani kujinasibu?
Basi hata kanisani wawe wanasema wametoa sadaka kiasi gani

Kwani Kanisani hawasemi wanapochangia .... mbona Majuzi tulisikia Mama ADUL kachangia 150 Million kwenye Kanisa la Mbowe ...!!
 
Na wewe una respond kwa kumwita Mkuu wa Nchi Kilaza!

CHADEMA mtafika kweli.

Hebu nitajie ni nyuzi ngapi zimeanzishwa na nyie wafuasi, wanachama na machawa wa CHADEMA kuhusu sera zenu?

CHADEMA itafanya nini au ina sera gani za Kilimo?


Je, kuna uzi hata mmoja unaotueleza sisi Wananchi mtakuja kufanya nini...swali hili ni endelevu.


CHADEMA itafanya nini au ina sera gani za Uchumi?

Kutwa, Mama Abdul, Kutwa Makonda, Kutwa Magufuli(R.I.P)

Hivi hamna sera Wananchi wawasikilize. Sasa usije kuniambia Katiba mpya ni Sera.

Thanks
Chadema wenyewe washajipima na wameona hawatoshi kabsaa kupata nafasi ya Kuliongoza ili Taifa ndio mana hawana sera yoyote ya chama kuhusiana watafanya nn kwa Taifa.
Wanajikita kweye hoja za kumshambulia Makonda na Marehemu Magu.
 
Lisu na Msigwa wanataka kuvuruga Chadema kuwashauri tu hawawezi Msigwa na Lisu kwanza makabila yao hayako nchi Nzima kama Wachaga walioko Chadema walioko mijini na vijijini nchi Nzima

Pili Chadema wamejaa walutheri kidini Cha Msigwa Tanzania ni kidogo mno na hakijulikani Kwa wanachama Wengi wa Chadema

Lisu Mkatoliki Wakatoliki Wengi CCM wakati Chadema asilimia kubwa Walutheri dini ya Mbowe

God bless Lema kidini chake Cha kidogo sio rahiai kupindua Mlutheri Mbowe

Hawana uwezi huo hata wafurukute vipi
Utakuta na wewe ni mlezi au mzazi na u mwanga wa wanaokutegemea.
 
Back
Top Bottom