Is Ellen White a false prophet? Investigate the claims of SDA Prophet Ellen G. White. Research library of material on Ellen White.
www.nonsda.org
Hiyo ni link ya critics wa egw.
Wanatoa taarifa muhimu, kuhusu baadhi ya visions za egw, hususan za huko mwanzoni.
Alikuwa anasema anaona vision, kumbe alikuwa anatoa maoni yake, kutokana na uelewa wake, wa jinsi alivyojifunza kuhusu jambo fulani.
Ila hawa critics, kuna mahali pengine wanaharibu, kwa kukataa mafundisho ya kweli ya kibiblia (kama sabato ya siku ya saba). Ingawa kuna mahali pengine wanapatia, kwa kuunga mkono mafundisho ya kweli ya kibiblia (kama Utatu Mtakatifu).
Hawa critics pia inaonekana walikuwa ni opportunists.
Extra
Ufunuo 17.
Milima saba ni falme saba: Egypt, Assyria, Babylon, Medo-Persia, Greece, Rome, Papacy. In the days when apostle John received the Revelation: five have fallen (falme 5 zimeshaanguka/zimeshapita); Egypt, Assyria, Babylon, Medo-Persia, Greece; the one is (this is Rome); the other is not yet come (this is the papacy). When he comes he must continue a short space (1,260 prophetic days which is equal to 1,260 years).
Revelation 17:11 And the beast that was, and is not, even he is the eighth, and is of the seven, and goeth into perdition. Huyu beast ambae ni the eighth and is of the seven, ni upapa "uliofufuka" baada ya kejeruhiwa mwaka 1798 (mwisho wa ile miaka 1,260). Jeraha la upapa lilianza kupona kwa kiasi fulani in 1929. Jeraha la upapa limepona kabisa after 2020 (222 years after 1798).
So the woman who sits on the seven mountains is spiritual Babylon. Spiritual Babylon ana sit on Egypt, Assyria, Babylon, Medo-Persia, Greece, Rome, Papacy (including the resurrected Papacy).
The great red dragon (wa Ufunuo 12) ni Satan. Note that ana seven crowns on his seven heads. The seven heads are Egypt, Assyria, Babylon, Medo-Persia, Greece, Rome, Papacy (including the resurrected Papacy). Satan huwa anaitwa the prince of this world. Satan yuko nyuma ya falme za dunia ambazo zina mwasi Mungu wa Biblia. Spiritual Babylon ana sit kwenye hivyo vichwa saba.
Ukifika Ufunuo 13, utaona mnyama mwingine, ambaye ana crowns kwenye pembe zake kumi (na sio kwenye vichwa vyake saba). Note that mnyama huyu wa Ufunuo 13, ni kichwa kimoja kati ya vichwa saba (vyenye crowns) vya the red dragon. Kwenye time period ya utawala wa mnyama wa Ufunuo 13, wakati wa utawala wa zile falme 6 (vichwa 6) umeshapita. Mnyama wa Ufunuo 13 anatawala pamoja na wafalme 10 (pembe 10, ndio maana pembe zake 10, zina crowns 10). Mnyama wa Ufunuo 13 ni upapa, na pembe 10 ni falme 10 za Ulaya zinazo shirikiana na upapa (angalia pia Ufunuo 17).
Watoto wa spiritual Babylon ni spiritual Egypt, Sodom, Tyre, na miji/mataifa mingine ya kidunia yaliyo mwasi Mungu wa Biblia. Watoto wa spiritual Babylon ni pamoja na makanisa yaliyojitenga na upapa, lakini bado yanafuata mafundisho ya upapa (kama kusema siku ya sabato imebadilishwa na kuwa Jumapili, kusheherekea 25th December kama Christmas etc).
Kumbuka Babylon (Babel) ilianza toka Genesis 11. 666 ni namba ya uasi wa mwanadamu dhidi ya Mungu wa Biblia. Ni namba ya uasi wa mamlaka/ufalme wa mwanadamu dhidi ya mamlaka/ufalme wa Mungu wa Biblia. Uasi huo unakataa the holy covenant and mercy, and the gospel of Jesus Christ. Uasi huo unakataa amri za Mungu (YAHWEH), na injili ya Bwana Yesu Kristo (Bwana Yahushua Mashiach). Uasi huo unakataa sabato ya siku ya saba (Jumamosi).
Soma pia vitabu vya Ranko Stefanovic (huyu ni SDA), Revelation of Jesus Christ, na Plain Revelation (google utaviona). Ni vizuri sda wote watanzania, wanaojua kiingereza kuvisoma hivi vitabu. Ranko Stefanovic amepatia vizuri zaidi (sehemu nyingi sana) kuliko Uriah Smith (huyu nae ni SDA), kwenye kitabu chake cha Daniel and the Revelation.
Ukisoma vitabu hivyo vya Ranko Stefanovic, utaelewa vizuri sana sana sana kuhusu kitabu cha Ufunuo, na 666. Kuna sehemu chache sana ana kosea:
1) Revelation 4 ina maanisha YAHWEH yuko kwenye his holy temple in heaven, na YAHWEH anatawala, na anaabudiwa (YAHWEH reigns, and is being worshiped), so it is not necessarily a judgment scene.
2) Parapanda ya 5 ina ambatana na kuja kwa roho ya mpinga kristo duniani, pamoja na ufalme wa kiroho wa mpinga kristo (yaani ufalme wa mnyama wa Ufunuo 13, ambao ni the papacy). Parapanda ya 6 ina ambatana na ujio wa roho ya nabii wa uongo, pamoja na ufalme wa kiroho wa nabii wa uongo wa Ufunuo 13 (yaani taifa la Marekani).
Ufunuo 9:16 Na hesabu ya majeshi ya wapanda farasi ilikuwa milioni mia mbili; nilisikia hesabu yao.
Hawa ni malaika wa Shetani 200,000,000 (mapepo wachafu, unclean spirits, evil spirits). Wanashirikiana na ufalme wa kiroho wa mpinga kristo, na pia ufalme wa kiroho wa nabii wa uongo.
3) Kuto kupatikana kwa tiara yenye title ya Vicarius Filii Dei haimaanishi kwamba title hiyo haipo. Title hiyo ni mfano wa kujikweza kwa mwanadamu dhidi ya Mungu. Kwa hiyo title hiyo ni aina ya 666. Haijalishi namba zake zinakuwa au haziwi 666 (ingawa incidentally zina kuwa 666).
Ranko Stefanovic amepatia sana zaidi ya mafundisho ya sda wenzake kuhusu story ya kuanguka kwa Shetani kutoka mbinguni. Ila naona ana ogopa kuwa muwazi kusema kwamba Shetani alianguka baada ya wiki ya uumbaji. Kwa sababu akisema wazi atakuwa anapingana na mafundisho ya sda wenzake.
Mapungufu ya mafundisho ya kanisa la sda ni haya:
1) Shetani na malaika zake hawa kuanguka kabla ya wiki ya uumbaji. Kwa sababu malaika wote (including Lucifer, ambae baadae ali muasi Mungu) waliumbwa siku ya pili ya wiki ya uumbaji.
2) Hakuna viumbe wengine kama binadamu kwenye sayari nyingine (kama sda wengi wanavyo fundisha).
3) "The Day of Atonement" ni tofauti na "the Day of Judgment". New tastement fulfilment of the Day of Atonement inaanza baada ya kufufuka na kupaa kwa Bwana Yesu, na inaisha at the end of probation period (karibia kabisa na ujio wake wapili).
Sanctuary linalokuwa cleansed in 1844, ni kanisa huku duniani. Mafundisho ya kweli (including the 10 commandments, and the seventh day sabbath) yanarudi kanisani, na mafundisho ya uongo yanaondolewa.
4) Wabatize kwa staili waliyoitumia mitume wa Yesu, mtu ana inama kidogo kwa mbele, huku amesimama, huku akidumbukia kabisa kwenye maji. Wasibatize kwa staili ya mtu kalala kwa mgongo, wana mshika na kumdumbukiza kwenye maji.
5) Wasi wapinge sda wenzao, wanao sema kwamba Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles. Kwa sababu kiukweli Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles.
6) Wakubali kwamba hawa hodhi ukanisa wa kweli, na kwamba endapo kuna wasabato wanaofuata biblia ambao sio sda, wasabato hao hawana tatizo.
7) Waumini wa sda wawe pia na tabia nzuri kwenye maisha yao.
8) Baadhi ya mafundisho ya mama Ellen White ni maoni yake, na sio vitu alivyo viona kwenye maono (visions). Kwa hiyo baadhi ya mafundisho yake yanaweza yasiwe sahihi. Of course mama Ellen White yuko sahihi kwenye mafundisho yake mengi.
9) Ni vizuri wakristo weusi wakajua prophesies mbali mbali za kwenye Biblia, zinazo ongelea kuhusu injili kuja Afrika. Wakristo weusi, tu avoid a white/Eurocentric view of the bible, na tuwe na a true view of the Bible, which is a biblical centric view of the bible. Wakristo weusi tujaribu pia kuwa na makanisa huru yanayojitegemea (tushirikiane na watu wengine, lakini tusiwe tegemezi kwa watu wengine).
Sda wako sahihi kabisa kabisa kabisa kwamba sabato ni siku ya saba (Jumamosi), na kwamba Bwana Yesu Kristo hakubadilisha siku ya sabato. Na kwamba mpinga Kristo ndiye aliebadilisha siku ya sabato kutoka siku ya saba kwenda siku ya kwanza ya wiki.
Moral of the story ni: Mkristo yeyote anatakiwa kusikiliza mafundisho yanayoendana na biblia, usisikilize mafundisho ambayo hayafuati mafundisho ya biblia (hata kama ni mafundisho ya dhehebu lako).
So injili ya kweli, ni kwamba Utatu Mtakatifu upo, amri 10 zipo (hazikubadilishwa), sabato ni siku ya saba (Jumamosi), tufuate mafundisho ya Bwana Yesu Kristo kama Biblia inavyosema, na Biblia ni kitabu kitakatifu cha YAHWEH (Mungu wa Biblia). Ukristo ndio dini ya ukweli, dini nyingine zote ni za uongo.
Any way tuendelee na shughuli zetu za maisha hadi siku ya mwisho ya dunia, wakati huo huo tukiendelea kumkumbuka Bwana Yesu Kristo hadi siku hiyo atakapo rudi.
Extra
Makanisa 7, na mihuri 7, na tarumbeta 7, za kwenye kitabu cha Ufunuo, vina cover the same respective time periods, lakini from different angles.
So kanisa la kwanza, muhuri wa kwanza, na tarumbeta la kwanza, vina cover time period moja, but from different angles. Na hivyo hivyo kanisa la pili, muhuri wa pili, na tarumbeta la pili; hivyo hivyo, kanisa la tatu, muhuri wa tatu, na tarumbeta la tatu; hivyo hivyo mpaka la saba.
Tarumbeta la saba likilia, probation period imeisha (mlango wa neema unafungwa), na kuna kuwa na judgments, na mwisho wa dunia hii unafika.
Note that kanisa la Sardis (kanisa la tano), ndio kanisa la ile miaka 1,260 ya the great tribulation. Na siyo kanisa la Thyatira. Kanisa la 5, muhuri wa 5, na tarumbeta la 5, vina cover the same time period, but from different angles.
Palmoni, The Wonderful Numberer, ni Bwana Yesu Kristo. Pia Bwana Yesu Kristo (ndani ya Utatu Mtakatifu wa Mungu) ni The Wonderful Counsellor, The Wonderful Teacher, The Revealer of Secrets. Isaiah 9:6 For unto us a child is born, unto us a son is given: and the government shall be upon his...