Ushahidi wa orodha ya matukio aliyotabiri Nabii wa Wasabato Hellen G White ambayo kamwe hayakutokea

Ushahidi wa orodha ya matukio aliyotabiri Nabii wa Wasabato Hellen G White ambayo kamwe hayakutokea

Vitani hauwi salama kwa kumwona mwenzako anayeanguka.
Dini njema haijengwi kwa kukosoa dini ingine.
Dini ya kweli imejengwa kwenye msingi wa mitume na manabii Na Yesu Mwenyewe Ndiye jiwe kuu la pembeni.
Mambo hayo yote yathibitike na imeandikwa.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nawaletea tabiri mbalimbali zilitolewa na Muasisi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Nabii mke Hellen G White ambazo kamwe hazikutimia kama ilivyotarajiwa.

Nimeweka na nukuu kutoka maandiko yake mbalimbali kwa ajili ya rejea yenu.

Kama yupo mtu miongoni mwenu au aliye muumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato anayeona kuwa nukuu zilizowasilishwa haziko sahihi basi awe huru kutoa ufafanuzi.

1.
Alitoa unabii kuwa mji Mtakatifu wa Yerusalemu hautajengwa tena, Early Writings, p. 75 -

Unabii huo haukuwa kweli kwani mji wa Yerusalemu ulijengwa miaka mingi baadaye

2. Alitoa unabii kuwa nchi ya Uingereza itashambulia Marekani wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini unabii huo haukutimia kamwe - Testimonies, Vol. 1, uk. 259. -

3. Alitabiri kuwa Yesu Kristo angeejea duniani kabla ya biashara ya Utumwa haujakomeshwa - Early Writings, pp 35.

Unabii huo haukutimia kwani Biashara ya Utumwa ilikomeshwa duniani mwaka 1864 na Yesu Kristo hakurudi

4. Alitabiri kuwa Waadventista Wasabato ambao wangekuwa hai mwaka 1856 wangeshuhudia Yesu Kristo akirudi - Testimonies for the Church, vol. 1, ukurasa wa 131-132

Unabii huo haukutimia na hao Wasabato hao wote walishafariki dunia bila kushuhudia tukio hilo waliloahidiwa

5. Alidai kumuona Enoko aliishia kwenye sayari ya Jupiter na Saturn - Early Writings, pp. 39-40.

Hii siyo kweli hakuna binadamu anayeishi kwenye hizo sayari


Kwa mujibu wa kitabu cha Kumbukumbu la torati 20:18-22

Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, aatakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.
Kumbukumbu la Torati 18:20-22


Karibuni tujadili
Kwani Wasabato nao niwakuaminii hao
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nawaletea tabiri mbalimbali zilitolewa na Muasisi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Nabii mke Hellen G White ambazo kamwe hazikutimia kama ilivyotarajiwa.

Nimeweka na nukuu kutoka maandiko yake mbalimbali kwa ajili ya rejea yenu.

Kama yupo mtu miongoni mwenu au aliye muumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato anayeona kuwa nukuu zilizowasilishwa haziko sahihi basi awe huru kutoa ufafanuzi.

1.
Alitoa unabii kuwa mji Mtakatifu wa Yerusalemu hautajengwa tena, Early Writings, p. 75 -

Unabii huo haukuwa kweli kwani mji wa Yerusalemu ulijengwa miaka mingi baadaye

2. Alitoa unabii kuwa nchi ya Uingereza itashambulia Marekani wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini unabii huo haukutimia kamwe - Testimonies, Vol. 1, uk. 259. -

3. Alitabiri kuwa Yesu Kristo angeejea duniani kabla ya biashara ya Utumwa haujakomeshwa - Early Writings, pp 35.

Unabii huo haukutimia kwani Biashara ya Utumwa ilikomeshwa duniani mwaka 1864 na Yesu Kristo hakurudi

4. Alitabiri kuwa Waadventista Wasabato ambao wangekuwa hai mwaka 1856 wangeshuhudia Yesu Kristo akirudi - Testimonies for the Church, vol. 1, ukurasa wa 131-132

Unabii huo haukutimia na hao Wasabato hao wote walishafariki dunia bila kushuhudia tukio hilo waliloahidiwa

5. Alidai kumuona Enoko aliishia kwenye sayari ya Jupiter na Saturn - Early Writings, pp. 39-40.

Hii siyo kweli hakuna binadamu anayeishi kwenye hizo sayari


Kwa mujibu wa kitabu cha Kumbukumbu la torati 20:18-22

Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, aatakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.
Kumbukumbu la Torati 18:20-22


Karibuni tujadili
Umewela nukuu sawa ilajambo moja hujasoma vizuri.
Ew 75 ungesoma tokea juu maana kinachoobgelewa juu ya old Jerusalem ujenzi wa kiibadasi kujenga majengo tu
1T 259 haijaeleza kuwa Uingereza ingeishambulia Marekani bali wazo na kile Uingereza ilikuwa inawazia . Na ufuatilie Uibgereza zama zile akiwa mkoloni wa dunia

EW 35 hapa ndio umekosea pakubwa mno maana utumwa unasemwa hapo si literaly slave bali utumwa wa Dhambi au maisha yashidachini yawatawala waovu lugja za mfano au mafumbo
.
Baada ya kuona husomi kwa umakini au kupata concept sijaendelea na zile aya zingine.
Mfano

.
1 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa kuzimu, na mnyororo mkubwa mkononi mwake.
2 Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga miaka elfu;
Ufunuo wa Yohana 20:1,2
Je unadhani shetani anafungwa kwa nyororo? Au hii ni symboluc language?
Nawasilisha
 
Umewela nukuu sawa ilajambo moja hujasoma vizuri.
Ew 75 ungesoma tokea juu maana kinachoobgelewa juu ya old Jerusalem ujenzi wa kiibadasi kujenga majengo tu
1T 259 haijaeleza kuwa Uingereza ingeishambulia Marekani bali wazo na kile Uingereza ilikuwa inawazia . Na ufuatilie Uibgereza zama zile akiwa mkoloni wa dunia

EW 35 hapa ndio umekosea pakubwa mno maana utumwa unasemwa hapo si literaly slave bali utumwa wa Dhambi au maisha yashidachini yawatawala waovu lugja za mfano au mafumbo
.
Baada ya kuona husomi kwa umakini au kupata concept sijaendelea na zile aya zingine.
Mfano

.
1 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa kuzimu, na mnyororo mkubwa mkononi mwake.
2 Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga miaka elfu;
Ufunuo wa Yohana 20:1,2
Je unadhani shetani anafungwa kwa nyororo? Au hii ni symboluc language?
Nawasilisha
Mkuu, huyu jamaa anachuki mbaya sana na Wasabato. Ni ngumu kumuelewesha mtu mwenye mtazamo kama wake. Ananchukua quotation nusu nusu halafu anazi anazipotosha.
 
Mkuu, huyu jamaa anachuki mbaya sana na Wasabato. Ni ngumu kumuelewesha mtu mwenye mtazamo kama wake. Ananchukua quotation nusu nusu halafu anazi anazipotosha.
Hebu tuwekee quotation kamili tafadhali na utupe tafsiri yake
 
Mkuu, huyu jamaa anachuki mbaya sana na Wasabato. Ni ngumu kumuelewesha mtu mwenye mtazamo kama wake. Ananchukua quotation nusu nusu halafu anazi anazipotosha.
Hiyo chuki mbaya imetokea wapi? Nimeweka nukuu rasmi kutoka kwa EGW labda useme kuwa nimenukuu uongo pengine nitakuelewa.
 
Umewela nukuu sawa ilajambo moja hujasoma vizuri.
Ew 75 ungesoma tokea juu maana kinachoobgelewa juu ya old Jerusalem ujenzi wa kiibadasi kujenga majengo tu
1T 259 haijaeleza kuwa Uingereza ingeishambulia Marekani bali wazo na kile Uingereza ilikuwa inawazia . Na ufuatilie Uibgereza zama zile akiwa mkoloni wa dunia

EW 35 hapa ndio umekosea pakubwa mno maana utumwa unasemwa hapo si literaly slave bali utumwa wa Dhambi au maisha yashidachini yawatawala waovu lugja za mfano au mafumbo
.
Baada ya kuona husomi kwa umakini au kupata concept sijaendelea na zile aya zingine.
Mfano

.
1 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa kuzimu, na mnyororo mkubwa mkononi mwake.
2 Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga miaka elfu;
Ufunuo wa Yohana 20:1,2
Je unadhani shetani anafungwa kwa nyororo? Au hii ni symboluc language?
Nawasilisha
Niombe ufafanue vizuri hapo juu kwa faida ya wasomaji kwani ulichokiandika hakieleweki, Kwa mfano toa hiyo nukuu ya EGW kamili na kisha utoe fasiri yake
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nawaletea tabiri mbalimbali zilitolewa na Muasisi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Nabii mke Hellen G White ambazo kamwe hazikutimia kama ilivyotarajiwa.

Nimeweka na nukuu kutoka maandiko yake mbalimbali kwa ajili ya rejea yenu.

Kama yupo mtu miongoni mwenu au aliye muumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato anayeona kuwa nukuu zilizowasilishwa haziko sahihi basi awe huru kutoa ufafanuzi.

1.
Alitoa unabii kuwa mji Mtakatifu wa Yerusalemu hautajengwa tena, Early Writings, p. 75 -

Unabii huo haukuwa kweli kwani mji wa Yerusalemu ulijengwa miaka mingi baadaye

2. Alitoa unabii kuwa nchi ya Uingereza itashambulia Marekani wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini unabii huo haukutimia kamwe - Testimonies, Vol. 1, uk. 259. -

3. Alitabiri kuwa Yesu Kristo angeejea duniani kabla ya biashara ya Utumwa haujakomeshwa - Early Writings, pp 35.

Unabii huo haukutimia kwani Biashara ya Utumwa ilikomeshwa duniani mwaka 1864 na Yesu Kristo hakurudi

4. Alitabiri kuwa Waadventista Wasabato ambao wangekuwa hai mwaka 1856 wangeshuhudia Yesu Kristo akirudi - Testimonies for the Church, vol. 1, ukurasa wa 131-132

Unabii huo haukutimia na hao Wasabato hao wote walishafariki dunia bila kushuhudia tukio hilo waliloahidiwa

5. Alidai kumuona Enoko aliishia kwenye sayari ya Jupiter na Saturn - Early Writings, pp. 39-40.

Hii siyo kweli hakuna binadamu anayeishi kwenye hizo sayari


Kwa mujibu wa kitabu cha Kumbukumbu la torati 20:18-22

Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, aatakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.
Kumbukumbu la Torati 18:20-22


Karibuni tujadili
Elen G white hakuwa Nabil waulize wasabato watakuambia hivyo
 
Back
Top Bottom