Ushahidi wa orodha ya matukio aliyotabiri Nabii wa Wasabato Hellen G White ambayo kamwe hayakutokea

Ushahidi wa orodha ya matukio aliyotabiri Nabii wa Wasabato Hellen G White ambayo kamwe hayakutokea

Kum. 18:22 - Ellen anaonyesha dalili za Nabii wa Uongo ambaye hajatumwa na Mungu maana yale aliyoyatolea unabii kama hizo points alizoandika mleta mada hayakuwahi kutokea . Amewatapeli nyie kondoo wake .
Nimenukuu kutoka maandiko yake
 
Sio Mama white tu,hata yesu unabii wake wa Mark 13:26,30 Haikua kweli,,Pia Ezekiel , unabii wake wa Ezekiel 29:12,Haikua kweli Pia,..wapi imeandikwa Unabii lazima utimie???
 
Kwanza ELLEN g White hakuanzisha kanisa la Wasabato . alilikuta aka join
Before alikuwa muumini wa babtist na alibatiziwa huko, then akakutana na waumini wa kisabato waliokuwa wakihubiri kuhusu sabato akawaelewa akajoin nao
[/QUOTE

Pandikizi
 
Back
Top Bottom