Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Heee ....huwaambii kitu Yani...Alafu kuna watu bado wanamwamini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee ....huwaambii kitu Yani...Alafu kuna watu bado wanamwamini?
Alijitangaza kama walivyo kina JeodeviEllen hajawahi kuwa Nabii ndio ishu inapoanzia hapo
kishari Vipi angali kaweka rejea....??Hapo unatukaribisha kujadili ama kubishana?
Maana mada yako kwenye heading tu unaonyesha UPO kishari zaidi. Anzia kwenye jina la unayetaka tujadili maandishi yake.
SDA na Mashahidi ni ndugu moja haoElen .G. White na vile vitabu vya mashaidi wa YEHOVA nilishashindwa kuwaelewa kabisa
Wale hapana aisee walinambia mwisho wa dunia watajimilikisha majengo yote makubwa na mali nikachokaSDA na Mashahidi ni ndugu moja hao
Bora wewe unajitambuaMimi ni Msabato na si mtambui Ellen kama Nabii.
Sina uhakika na hayo usemayo kama ni muongo kwanini basi anahimiza usomaji wa biblia katika kitabu chake cha DHIKI KUU? Kwa maana manabii wa uongo huwa hawahizi usomaji wa bibliaKum. 18:22 - Ellen anaonyesha dalili za Nabii wa Uongo ambaye hajatumwa na Mungu maana yale aliyoyatolea unabii kama hizo points alizoandika mleta mada hayakuwahi kutokea . Amewatapeli nyie kondoo wake .
Kwa wanaoamini Unabi ni ufunuo kutoka kwa Mungu na unaweza kubadilika.Unabii lazima utimie kama umetabiriwa
Usipotimia unamfanya akiyetabiri kuwa miongoni mwa manabii wa uongo
Anahimiza kusoma Biblia Kwa mtazamo wa unabii au maandiko yake kupitia mwongozo wa usomaji Biblia yaani lessonSina uhakika na hayo usemayo kama ni muongo kwanini basi anahimiza usomaji wa biblia katika kitabu chake cha DHIKI KUU? Kwa maana manabii wa uongo huwa hawahizi usomaji wa biblia
Hana tofauti na Paulo huyo.Wadau hamjamboni nyote?
Nawaletea tabiri mbalimbali zilitolewa na Muasisi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Nabii mke Hellen G White ambazo kamwe hazikutimia kama ilivyotarajiwa.
Nimeweka na nukuu kutoka maandiko yake mbalimbali kwa ajili ya rejea yenu.
Kama yupo mtu miongoni mwenu au aliye muumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato anayeona kuwa nukuu zilizowasilishwa haziko sahihi basi awe huru kutoa ufafanuzi.
1.
Alitoa unabii kuwa mji Mtakatifu wa Yerusalemu hautajengwa tena, Early Writings, p. 75 -
Unabii huo haukuwa kweli kwani mji wa Yerusalemu ulijengwa miaka mingi baadaye
2. Alitoa unabii kuwa nchi ya Uingereza itashambulia Marekani wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini unabii huo haukutimia kamwe - Testimonies, Vol. 1, uk. 259. -
3. Alitabiri kuwa Yesu Kristo angeejea duniani kabla ya biashara ya Utumwa haujakomeshwa - Early Writings, pp 35.
Unabii huo haukutimia kwani Biashara ya Utumwa ilikomeshwa duniani mwaka 1864 na Yesu Kristo hakurudi
4. Alitabiri kuwa Waadventista Wasabato ambao wangekuwa hai mwaka 1856 wangeshuhudia Yesu Kristo akirudi - Testimonies for the Church, vol. 1, ukurasa wa 131-132
Unabii huo haukutimia na hao Wasabato hao wote walishafariki dunia bila kushuhudia tukio hilo waliloahidiwa
5. Alidai kumuona Enoko aliishia kwenye sayari ya Jupiter na Saturn - Early Writings, pp. 39-40.
Hii siyo kweli hakuna binadamu anayeishi kwenye hizo sayari
Kwa mujibu wa kitabu cha Kumbukumbu la torati 20:18-22
Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, aatakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.
Kumbukumbu la Torati 18:20-22
Karibuni tujadili
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yule Bibi ni muhuni kama wakina Mwamposa tuuu
SDA church imeanzishwa mwaka 1860 kama sikosei.Wadau hamjamboni nyote?
Nawaletea tabiri mbalimbali zilitolewa na Muasisi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Nabii mke Hellen G White ambazo kamwe hazikutimia kama ilivyotarajiwa.
Nimeweka na nukuu kutoka maandiko yake mbalimbali kwa ajili ya rejea yenu.
Kama yupo mtu miongoni mwenu au aliye muumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato anayeona kuwa nukuu zilizowasilishwa haziko sahihi basi awe huru kutoa ufafanuzi.
1.
Alitoa unabii kuwa mji Mtakatifu wa Yerusalemu hautajengwa tena, Early Writings, p. 75 -
Unabii huo haukuwa kweli kwani mji wa Yerusalemu ulijengwa miaka mingi baadaye
2. Alitoa unabii kuwa nchi ya Uingereza itashambulia Marekani wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini unabii huo haukutimia kamwe - Testimonies, Vol. 1, uk. 259. -
3. Alitabiri kuwa Yesu Kristo angeejea duniani kabla ya biashara ya Utumwa haujakomeshwa - Early Writings, pp 35.
Unabii huo haukutimia kwani Biashara ya Utumwa ilikomeshwa duniani mwaka 1864 na Yesu Kristo hakurudi
4. Alitabiri kuwa Waadventista Wasabato ambao wangekuwa hai mwaka 1856 wangeshuhudia Yesu Kristo akirudi - Testimonies for the Church, vol. 1, ukurasa wa 131-132
Unabii huo haukutimia na hao Wasabato hao wote walishafariki dunia bila kushuhudia tukio hilo waliloahidiwa
5. Alidai kumuona Enoko aliishia kwenye sayari ya Jupiter na Saturn - Early Writings, pp. 39-40.
Hii siyo kweli hakuna binadamu anayeishi kwenye hizo sayari
Kwa mujibu wa kitabu cha Kumbukumbu la torati 20:18-22
Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, aatakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.
Kumbukumbu la Torati 18:20-22
Karibuni tujadili
ChaiKwanza ELLEN g White hakuanzisha kanisa la Wasabato . alilikuta aka join
Before alikuwa muumini wa babtist na alibatiziwa huko, then akakutana na waumini wa kisabato waliokuwa wakihubiri kuhusu sabato akawaelewa akajoin nao
Kwa waislam hakuna labda hao wengine maana wenzetu mpk wana nabii anaitwa floraWapo
Mmmmh!!Kwa waislam hakuna labda hao wengine maana wenzetu mpk wana nabii anaitwa flora
Ni kwelu alikuwa Babtsit, ila ni yeye na Mme wake na jamaa mmoja ndio waliasisis SDA mwaka 1860 na mwakan 1863 kama sikosei ikaanza rasimi. Eleni alivutiwa na baadhi ya mafundisho ya William Millwe, huyu Millwe ndio alikuwa tapeli na kile tukio lake la Great DisapointmentKwanza ELLEN g White hakuanzisha kanisa la Wasabato . alilikuta aka join
Before alikuwa muumini wa babtist na alibatiziwa huko, then akakutana na waumini wa kisabato waliokuwa wakihubiri kuhusu sabato akawaelewa akajoin nao
Mnashikiwaga Bible?Hivi kwenye biblia kuna Nabii mwanamke kweli
MiriamWapo