Ushahidi wa orodha ya matukio aliyotabiri Nabii wa Wasabato Hellen G White ambayo kamwe hayakutokea

Ushahidi wa orodha ya matukio aliyotabiri Nabii wa Wasabato Hellen G White ambayo kamwe hayakutokea

Kum. 18:22 - Ellen anaonyesha dalili za Nabii wa Uongo ambaye hajatumwa na Mungu maana yale aliyoyatolea unabii kama hizo points alizoandika mleta mada hayakuwahi kutokea . Amewatapeli nyie kondoo wake .
Sina uhakika na hayo usemayo kama ni muongo kwanini basi anahimiza usomaji wa biblia katika kitabu chake cha DHIKI KUU? Kwa maana manabii wa uongo huwa hawahizi usomaji wa biblia
 
Sina uhakika na hayo usemayo kama ni muongo kwanini basi anahimiza usomaji wa biblia katika kitabu chake cha DHIKI KUU? Kwa maana manabii wa uongo huwa hawahizi usomaji wa biblia
Anahimiza kusoma Biblia Kwa mtazamo wa unabii au maandiko yake kupitia mwongozo wa usomaji Biblia yaani lesson
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nawaletea tabiri mbalimbali zilitolewa na Muasisi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Nabii mke Hellen G White ambazo kamwe hazikutimia kama ilivyotarajiwa.

Nimeweka na nukuu kutoka maandiko yake mbalimbali kwa ajili ya rejea yenu.

Kama yupo mtu miongoni mwenu au aliye muumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato anayeona kuwa nukuu zilizowasilishwa haziko sahihi basi awe huru kutoa ufafanuzi.

1.
Alitoa unabii kuwa mji Mtakatifu wa Yerusalemu hautajengwa tena, Early Writings, p. 75 -

Unabii huo haukuwa kweli kwani mji wa Yerusalemu ulijengwa miaka mingi baadaye

2. Alitoa unabii kuwa nchi ya Uingereza itashambulia Marekani wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini unabii huo haukutimia kamwe - Testimonies, Vol. 1, uk. 259. -

3. Alitabiri kuwa Yesu Kristo angeejea duniani kabla ya biashara ya Utumwa haujakomeshwa - Early Writings, pp 35.

Unabii huo haukutimia kwani Biashara ya Utumwa ilikomeshwa duniani mwaka 1864 na Yesu Kristo hakurudi

4. Alitabiri kuwa Waadventista Wasabato ambao wangekuwa hai mwaka 1856 wangeshuhudia Yesu Kristo akirudi - Testimonies for the Church, vol. 1, ukurasa wa 131-132

Unabii huo haukutimia na hao Wasabato hao wote walishafariki dunia bila kushuhudia tukio hilo waliloahidiwa

5. Alidai kumuona Enoko aliishia kwenye sayari ya Jupiter na Saturn - Early Writings, pp. 39-40.

Hii siyo kweli hakuna binadamu anayeishi kwenye hizo sayari


Kwa mujibu wa kitabu cha Kumbukumbu la torati 20:18-22

Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, aatakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.
Kumbukumbu la Torati 18:20-22


Karibuni tujadili
Hana tofauti na Paulo huyo.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nawaletea tabiri mbalimbali zilitolewa na Muasisi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Nabii mke Hellen G White ambazo kamwe hazikutimia kama ilivyotarajiwa.

Nimeweka na nukuu kutoka maandiko yake mbalimbali kwa ajili ya rejea yenu.

Kama yupo mtu miongoni mwenu au aliye muumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato anayeona kuwa nukuu zilizowasilishwa haziko sahihi basi awe huru kutoa ufafanuzi.

1.
Alitoa unabii kuwa mji Mtakatifu wa Yerusalemu hautajengwa tena, Early Writings, p. 75 -

Unabii huo haukuwa kweli kwani mji wa Yerusalemu ulijengwa miaka mingi baadaye

2. Alitoa unabii kuwa nchi ya Uingereza itashambulia Marekani wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini unabii huo haukutimia kamwe - Testimonies, Vol. 1, uk. 259. -

3. Alitabiri kuwa Yesu Kristo angeejea duniani kabla ya biashara ya Utumwa haujakomeshwa - Early Writings, pp 35.

Unabii huo haukutimia kwani Biashara ya Utumwa ilikomeshwa duniani mwaka 1864 na Yesu Kristo hakurudi

4. Alitabiri kuwa Waadventista Wasabato ambao wangekuwa hai mwaka 1856 wangeshuhudia Yesu Kristo akirudi - Testimonies for the Church, vol. 1, ukurasa wa 131-132

Unabii huo haukutimia na hao Wasabato hao wote walishafariki dunia bila kushuhudia tukio hilo waliloahidiwa

5. Alidai kumuona Enoko aliishia kwenye sayari ya Jupiter na Saturn - Early Writings, pp. 39-40.

Hii siyo kweli hakuna binadamu anayeishi kwenye hizo sayari


Kwa mujibu wa kitabu cha Kumbukumbu la torati 20:18-22

Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, aatakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.
Kumbukumbu la Torati 18:20-22


Karibuni tujadili
SDA church imeanzishwa mwaka 1860 kama sikosei.

Pia unachanganya tabiri za William Miller na Elen G White
 
Kwanza ELLEN g White hakuanzisha kanisa la Wasabato . alilikuta aka join
Before alikuwa muumini wa babtist na alibatiziwa huko, then akakutana na waumini wa kisabato waliokuwa wakihubiri kuhusu sabato akawaelewa akajoin nao
Ni kwelu alikuwa Babtsit, ila ni yeye na Mme wake na jamaa mmoja ndio waliasisis SDA mwaka 1860 na mwakan 1863 kama sikosei ikaanza rasimi. Eleni alivutiwa na baadhi ya mafundisho ya William Millwe, huyu Millwe ndio alikuwa tapeli na kile tukio lake la Great Disapointment
 
Back
Top Bottom