Ushamba, ujinga na usela mavi wa EMBER BOTION

Ushamba, ujinga na usela mavi wa EMBER BOTION

Watoto wa ufipa wengi wameharibikiwa tulio tuliza vichwa ni wachache maana ule mtaa kwa kipindi hiko hakukuwa wanaishi watu wa kawaida baada nyumba hukosi wadangaji au muuza ngada tapeli jambazi au mateja ndio mtaa South Africa ya bongo kuja hadi mtaa wa Togo kuelekea stendi ya magari ya mwananyamala posta stesheni mitaa hatari sana kwa malezi ya watoto
Licha mm nlikulia stereo lkn mitaa hiyo naijua sana, ufipa,sekenke,wibu zamani ilikuwa balaa
Unga ulikuwa unauzwa utafikiri watu wana leseni nayo naona baada nyumba kuuzwa kuja wageni hali hiyo ikapungua

Ova
 
Licha mm nlikulia stereo lkn mitaa hiyo naijua sana, ufipa,sekenke,wibu zamani ilikuwa balaa
Unga ulikuwa unauzwa utafikiri watu wana leseni nayo naona baada nyumba kuuzwa kuja wageni hali hiyo ikapungua

Ova

Kweli mkuu huja kosea sasa hv kidogo kuna mabadiliko ila kwa miaka ya tisini hadi elfu mbili na kitu mitaaa hiyo na ambayo mm nimeitaja haikuwa salama kwa malezi ya watoto maana mm mwenyewe ndio mitaa niliyo kulia na washkaji ambao nimekuwa nao kwa hivi sasa hawana dira yeyote ya maisha wengi wamekuwa mateja kwa kuendekeza usela wa kifala sasa kama maemba alikuwa mtoto wa mama fulani tena boya leo hii eti anajidai kumkazia harmorapa
 
Licha mm nlikulia stereo lkn mitaa hiyo naijua sana, ufipa,sekenke,wibu zamani ilikuwa balaa
Unga ulikuwa unauzwa utafikiri watu wana leseni nayo naona baada nyumba kuuzwa kuja wageni hali hiyo ikapungua

Ova

Na mitaa ya stereo karibu na kanisa katoliki nyuma ya soko la tx nako kulikuwa siyo maana wajanja wa miaka hyo walikuwa wanauza unga kama pipi jojo sema maeneo hayo watu walikuwa wanachukuwa mzigo kwa jumla na kuja kuuzia reja reja maeneo ya kinondoni shamba na muislim kuja hadi manyanya
 
Nini tofauti kati Jamhuri na Serikali?
Jamuhuri ni nchi yenye mamlaka na na serikali ni chombo cha kuiongoza iyo jamuhuri ivyo serikali ndo chombo kinachoilinda katiba ya jamuhuri nadhani umenielewa jamuhuri ni ni kichwa serikali ni macho katika kichwa
 
Kweli mkuu huja kosea sasa hv kidogo kuna mabadiliko ila kwa miaka ya tisini hadi elfu mbili na kitu mitaaa hiyo na ambayo mm nimeitaja haikuwa salama kwa malezi ya watoto maana mm mwenyewe ndio mitaa niliyo kulia na washkaji ambao nimekuwa nao kwa hivi sasa hawana dira yeyote ya maisha wengi wamekuwa mateja kwa kuendekeza usela wa kifala sasa kama maemba alikuwa mtoto wa mama fulani tena boya leo hii eti anajidai kumkazia harmorapa
Huyu dogo maemba ana usela wa kuiga
Ule umarekani zile movie za kiniga zinawachanganya

Yah kweli ufipa sahvi imetia,miaka ya 90 na kitu mpk 2000 hali ilikuwa mbaya
Kuna sehemu ufipa mkunguni pale sijui bado kupo,ilikuwa wanaja mateja kama 200 hivi wako asubuhi mpk usiku kuna watu walikuwa wanawauzia,purukushani na polisi kila mara
Ilibidi kitengo wapige kambi pale mwez mzima ili kuua ile kijiwe

Ova
 
Huyu dogo maemba ana usela wa kuiga
Ule umarekani zile movie za kiniga zinawachanganya

Yah kweli ufipa sahvi imetia,miaka ya 90 na kitu mpk 2000 hali ilikuwa mbaya
Kuna sehemu ufipa mkunguni pale sijui bado kupo,ilikuwa wanaja mateja kama 200 hivi wako asubuhi mpk usiku kuna watu walikuwa wanawauzia,purukushani na polisi kila mara
Ilibidi kitengo wapige kambi pale mwez mzima ili kuua ile kijiwe

Ova

Kweli Mkuu Karibu a na nyumba ya mheshimiwa chenge daah kitambo sana maeneo hayo alikuwa kapanga dada mmoja Alizaa na Ali choki
 
Jamuhuri ni nchi yenye mamlaka na na serikali ni chombo cha kuiongoza iyo jamuhuri ivyo serikali ndo chombo kinachoilinda katiba ya jamuhuri nadhani umenielewa jamuhuri ni ni kichwa serikali ni macho katika kichwa
Kasome tena uraia darasa la saba
 
Kweli Mkuu Karibu a na nyumba ya mheshimiwa chenge daah kitambo sana maeneo hayo alikuwa kapanga dada mmoja Alizaa na Ali choki
Ule mtaa ulikuwa soo kwa mgeni ilikuwa lazima aogope kupita
Sahvi umetulia aise,hata pale American chips
Zamani duka la maimartha palikuwa soo
Kuna mtu anakuambia anakwenda ofisi anaingia adubuhi,mchana,jioni [emoji23][emoji23]
Anawabana

Ova
 
Kwan mzee unajuaga Botion ni msela hahah wale wanabebwa tu na Nyandu Tozi na blue kidogo namwonaga Poor millionaire ana busara lakn hawa wengine wanajionaga masela na story zao za sauzi
 
Wanaogombania watoto siku zote ni wale wasi na uwezo /nguvu za kiume, ila kwa marijali huwa hawana shombo hizo,maana swala la kubebesha mimba ni kawaida sana
 
Ule mtaa ulikuwa soo kwa mgeni ilikuwa lazima aogope kupita
Sahvi umetulia aise,hata pale American chips
Zamani duka la maimartha palikuwa soo
Kuna mtu anakuambia anakwenda ofisi anaingia adubuhi,mchana,jioni [emoji23][emoji23]
Anawabana

Ova

Ilikuwa hatari sana kitambo ila kwa sasa baada ya wageni kuja kununua nyumba za mita ile kumebadilika sana kuna kaustaarabu fulani kamekuja.
 
Back
Top Bottom