Pre GE2025 Ushauri: Abdul aende mahakamani kumshtaki Lissu ili kujisafisha na tuhuma za RUSHWA zinazoelekezwa kwake

Pre GE2025 Ushauri: Abdul aende mahakamani kumshtaki Lissu ili kujisafisha na tuhuma za RUSHWA zinazoelekezwa kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Salaam, Shalom!!

TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.

Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.

Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.

NB: Ukimya nao ni jibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen

Pia soma:Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu

Odemba, StarTV: "Mh. Tundu Lissu, wewe ni mwanasheria. Tuhuma zako zinapaswa kuwa na ushahidi. Kuna hata footage ya CCTV camera ingalau..?"

Tundu Lissu: ".......Wala!, hakuna CCTV camera nyumbani kwangu. Ndiyo, Mimi ni mwanasheria. Na katika sheria ya ushahidi inasema ushahidi bora ni ule wa shahidi kuona mwenyewe au kusikia au kunusa mwenyewe. Mimi mwenyewe niliona na kusikia yote haya..."

✍️Mpaka hapo huyo Abdul asifikiri kabisa kuwa hakuwa recorded kwa sauti au kwa picha...!

✍️Msidanganyike, kwa Tundu kuna vichukua picha na sauti vya kutosha. Akirogwa tu kuingia huko mahakamani, atalambishwa mchanga asubuhi tu...!

##Mwisho nakupa homework. Tazama body language ya TL wakati anapojibu swali hilo utaelewa ni kwanini huyo jamaa ni very tricky...
 
Ila Lissu kiboko, pamoja na kuchangiwa ml 5 pale furahisha lakini Bado hanyamazi.

Ama Kweli, Lisuu hajawahi kunyamazishwa!!
Kingine ni hiki, huyo Abdul ukiacha kuwa ni mtoto wa Rais lakini uwezo wake kichwani ni mdogo sana, siyo Intelijenti, amerekodiwa kwenye matukio mengi ya hovyo sana, ni kama hana mwongozo wowote.

Ni bahati yake kwamba Mama yake ni Rais, ila huko mbele ataanikwa kwenye kila uchafu wake
 
Odemba, StarTV: "Mh. Tundu Lissu, wewe ni mwanasheria. Tuhuma zako zinapaswa kuwa na ushahidi. Kuna hata footage ya CCTV camera ingalau..?"

Tundu Lissu: ".......Wala!, hakuna CCTV camera nyumbani kwangu. Ndiyo, Mimi ni mwanasheria. Na katika sheria ya ushahidi inasema ushahidi bora ni ule wa shahidi kuona mwenyewe au kusikia au kunusa mwenyewe. Mimi mwenyewe niliona na kusikia yote haya..."

✍️Mpaka hapo huyo Abdul asifikiri kabisa kuwa hakuwa recorded kwa sauti au kwa picha...!

✍️Msidanganyike, kwa Tundu kuna vichukua picha na sauti vya kutosha. Akirogwa tu kuingia huko mahakamani, atalambishwa mchanga asubuhi tu...!

##Mwisho nakupa homework. Tazama body language ya TL wakati anapojibu swali hilo utaelewa ni kwanini huyo jamaa ni very tricky...
Muacheni Abdul aende mahakamani yote yakajulikane huko.
 
Anaweza kuzitumia mahakama kumsafisha Kwa kudai fidia kama Ile ya Manji dhidi ya Mengi!!
Kwa vyovyote vile Lisu atakuwa ana ushahidi mzuri wa kuithibitishia mahakama kuwa Abdul alifika nyumbani kwake.
 
Salaam, Shalom!!

TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.

Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.

Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.

NB: Ukimya nao ni jibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen

Pia soma:Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
Kwanini Lissu naye asiende kumshtaki Abdul kwa kutoa rushwa?
 
Kwa vyovyote vile Lisu atakuwa ana ushahidi mzuri wa kuithibitishia mahakama kuwa Abdul alifika nyumbani kwake.
Sasa kufika nyumbani Si ushahidi wa RUSHWA, yaezakuwa alikuja kujadili mambo ya Simba na Yanga.

Cc: johnthebaptist
 
Kwanini Lissu naye asiende kumshtaki Abdul kwa kutoa rushwa?
Hiyo ni KAZI ya TAKUKURU.

By the way RUSHWA ilikataliwa, hivyo mtuhumiwa alirudi na pesa nyumbani.
 
Salaam, Shalom!!

TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.

Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.

Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.

NB: Ukimya nao ni jibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen

Pia soma:Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
Ataweza maswali ya Kibatala au ndio tumbo la kuhara litaabza kama la Yule polisi?
 
amshitaki kwa kosa gani? kwamba alimpa lissu hela akakataa?
 
Amtaje kwa majina yake yote Matatu. Bila hivyo, mahakamani atamruka!!!
Lissu mjanja mjanja sana kwenye mambo haya ya Sheria.

Bora Abdul akaebtu kimya, maana Kwanza Abdulnwapo wengi Nchi hii,

Hata Yule Nondo wa ACT ni Abdul pia.
 
Back
Top Bottom