Kwani ukisema ni wewe kuna ubaya gani?
Weka wazi ili baraza la wazee wa jf tukae kikao cha dharura kumuweka sawa huyo jamaa yetu.
Jf ni reputable platform anatakikana aendane nayo, kama mmekutana humu jf msituangushe bwana.
View attachment 1998461
UmepataDah nitumie pm aisee mambo yalikuwa mengi nimesikitika sana wallah
😀😀😀😀Kizuri kula ndugu yako bhana,shogaa ajue duniani cha peke ako ni kaburi tu[emoji23][emoji23]
NjooDah nitumie pm aisee mambo yalikuwa mengi nimesikitika sana wallah
Namm nakuja aisee[emoji847]Njoo
Mpaka hapa usingo maza unamnyemelea..kwa alivofanya huyo mwanaume atakua na hasira sana sijui kama ataendelea nae kirahisi rahisi!Azae kwanza maana akikurupuka mda wowote anaweza kua Single Mother
Mdada wa watu wivu ulitawala katumia hisia zaidi, all in all namuonea huruma anayopitia sio rahisi kama tunavocheka sisi wapenzi watazamajiMpaka hapa usingo maza unamnyemelea..kwa alivofanya huyo mwanaume atakua na hasira sana sijui kama ataendelea nae kirahisi rahisi!
Inabidi tu mkutane na mtoa mada mpeane pole maana wote ni wahanga[emoji23][emoji23][emoji23]Atakaenipa id ya bwana jf nna zawadi yako nono, nono nono kweli ...[emoji41]
Sio rahisi kabisa nahivi ana ujauzito masikini!!! Huruma sana pia inaonesha waziwazi hawezi kumuacha huyo mwanaume baba kijacho!Mdada wa watu wivu ulitawala katumia hisia zaidi, all in all namuonea huruma anayopitia sio rahisi kama tunavocheka sisi wapenzi watazamaji
Eve nae ni muhanga kumbe!!! Acha utani basi!! Au umechanganya faili mkuu![emoji15]Inabidi tu mkutane na mtoa mada mpeane pole maana wote ni wahanga[emoji23][emoji23][emoji23]
Sa anataka ID ya Kijana wa JF ya kazi gan kama sio kufanya justification [emoji23]Eve nae ni muhanga kumbe!!! Acha utani basi!! Au umechanganya faili mkuu![emoji15]
Ukipata id fanya kunipasia asee! Au angeitaja hata kwa codes tu jamani!Atakaenipa id ya bwana jf nna zawadi yako nono, nono nono kweli ...[emoji41]
Nenda PMAtakaenipa id ya bwana jf nna zawadi yako nono, nono nono kweli ...[emoji41]
Mkuu naomba connection ya picha za bwana jf pm basii...Ukipata id fanya kunipasia asee! Au angeitaja hata kwa codes tu jamani!
Yy hawezi kumuacha ila yy ataachwa...u get the point?Sio rahisi kabisa nahivi ana ujauzito masikini!!! Huruma sana pia inaonesha waziwazi hawezi kumuacha huyo mwanaume baba kijacho!
Nenda PM mkuuMkuu naomba connection ya picha za bwana jf pm basii...
Msaada plz.
Si tumjue jamani sio kwa huu ubuyu wewe!Eve nae ni muhanga kumbe!!! Acha utani basi!! Au umechanganya faili mkuu![emoji15]