Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Konyo wewe, ushaona fursa hahahahaa dah, hebu akijibu naomba niwe mshenga, tutalea mimba, mtoto na mama mtu ikibidi hadi mtia mimbaSio wote, mbona wengine sisi ni wastaarabu.
Hebu jibu sms PM uone nilivyo kijana mstaarabu.
#YNWA
Kutokana na pm yangu kufurika kwa onyo na ushauri kemkem nimewaelewa sitoweka id zao hapa wala picha l[emoji849][emoji849] ila mdogo wangu prisca na mary(kwamajina yenu halisi)mkiendelea mnachokifanya ntawafanya kitu hamtasahau na hivi bado wadogo hata vizazi vyenu vibichi msijishaue kupanda milima msiyoiweza mkashindwa kumaliza chuo bure na hivi kwenu hapa kimara tu[emoji41][emoji41]
Sasa unawapiga beat kwani si wamefuatwa kama wewe ulivyofuatwa? Tena kwa ID nyingine
Deal na mchumba ako, hana staha.
Hapa ndiyo tunapokosea wanawake, tunapoacha kudeal na mkosaji.
ππππ Yani watu ni matapeli, mtu anaweza kukutapeli pesa akakutapeli hadi uchi...Na Ukute baba jf anamuhakikishia huyo mchepuko kuwa yeye ndio yeye wengine michepuko tu hahahaaa...nahivi hajamuoa mpira waweza geuka hawa ndio wanaume wa jf bana....
Mtoa mada anajuaje kama yeye ndio njia kuu wengine michepuko??? What if yeye ndio mchepuko??
Wanawake tunajuaga kutia huruma. Umalaya wa bwana ake anaufumbia macho, yupo busy na waliotongozwa kama yeye, tena mtu hata hajakuoa. Asijisahau, anaweza kuishia kuwa baby mama, na hao kina Mary ndiyo wakaolewa.
Hakii zimejaa tele na tamaa zao za wanawake tu..Wacha wee bibie
Weweweweee...huyo bora kakufichia... Kujiachia live ni dharau kiwango cha lami....Wote ni walewale kwangu
Kwamba mchepuko yuko kwenye process za ndoa ama huyo bwanajf!!?? Mbona kama unamtetea huyo mwanaume???? Hapo ndokwanza unampa kichwa huyo malay wa kiume. Halafu usiongeee sana wewe act tu ndo utaheshimika.Yeye si mchepuko sababu yuko kwenye process za ndoa
Sasa ndo huyooo tongoza tongoza totoz za jf.... Utukubaliane na hali tu si unajustify mwenyewe hapo!Kuzaa ni choice mydia na pale hajabahatisha hata ningekua me mapacha namzawadia tu
Wewe acha mara moja kumchunguza chunguza mumeo unachokitafuta utakipata..Mambo zenu wana jf,poleni kwa jua na karibuni pepsi baridi tupunguze machungu ya dunia,nisiwachoshe kwa maneno mengi ni hivi.
Bwana amepata Bibi hapahapa mtandaoni Jf na maisha yameendelea kwa mahaba na bashasha kemkem chaajabu bibie kagundua Bwanajf ana account nyingine tofauti na waliyopatiana na anaendeleza kuwalamba alolo mabinti wa jf kama kawaida.
Nimeombwa ushauri na me nikaamua kulileta humu labda naweza nikapata chakuongezea kwenye kumshauri
Note,
Bibi jf ni mke mtarajiwa + mjamzito wa Bwana Jf.View attachment 1998429
ππππWanawake tunajuaga kutia huruma. Umalaya wa bwana ake anaufumbia macho, yupo busy na waliotongozwa kama yeye, tena mtu hata hajakuoa. Asijisahau, anaweza kuishia kuwa baby mama, na hao kina Mary ndiyo wakaolewa.
Dada una roho ngumu sanaHajui kama anampa kichwa huyo mwanaume wake.
Yaani nilikua namuonea huruma huko juu, nilipokuja kusoma hiyo comment yake akanichosha.
Wakina Mary popote walipo wakaze wasimuache huyo mwanaume maana bidada hajielewi.
Hapa umekosea aisee..! Pia unaeza leta varangati na ugomvi kwa wanaume walionao hao wanawake ulowataja kwa majina..Kutokana na pm yangu kufurika kwa onyo na ushauri kemkem nimewaelewa sitoweka id zao hapa wala picha l[emoji849][emoji849] ila mdogo wangu prisca na mary(kwamajina yenu halisi)mkiendelea mnachokifanya ntawafanya kitu hamtasahau na hivi bado wadogo hata vizazi vyenu vibichi msijishaue kupanda milima msiyoiweza mkashindwa kumaliza chuo bure na hivi kwenu hapa kimara tu[emoji41][emoji41]
πππkwani shoga angu hii mada ni yako au ya mtu mwingine kama ulivyoandika kwenye uzi wako πππKutokana na pm yangu kufurika kwa onyo na ushauri kemkem nimewaelewa sitoweka id zao hapa wala picha l[emoji849][emoji849] ila mdogo wangu prisca na mary(kwamajina yenu halisi)mkiendelea mnachokifanya ntawafanya kitu hamtasahau na hivi bado wadogo hata vizazi vyenu vibichi msijishaue kupanda milima msiyoiweza mkashindwa kumaliza chuo bure na hivi kwenu hapa kimara tu[emoji41][emoji41]
[emoji28] Umeona eeh!watu wako na archives za watu, so umakini unahitajika