Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Naona nimechelewa lolUzi unaenda kufutwa soon ngoja nihifadhi picha[emoji51][emoji51]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona nimechelewa lolUzi unaenda kufutwa soon ngoja nihifadhi picha[emoji51][emoji51]
Ukorofi huoAlaaaah!
Kumbe mleta mada ni mwanadamu mwenye jinsi ya kike???
Ndio maana nilipouona huu uzi jana sikutaka poteza muda kutoa ushauri...
Wapambane na hali zao, utamu wapate wao, ushauri tutoe sisi...eboh!
Ukorofi huo
Ni zaidi ya noma*Mimi nachojua wewe ndio MKE wangu [emoji23]
Afu uje ujue statement hiyo mlikuwa mnaambiwa wengi [emoji1787]
Njoo tulambane jiraniRafiki...Mbona hujawahi kuniambia kama kuna michezo ya kulana humu..Miaka 11 niliokaa humu na mm si ningejilambia wawili watatu..
Tufute urafiki..
Jambo dakitare, fanya kunikonect bestJambo wewe?
Rafiki...Mbona hujawahi kuniambia kama kuna michezo ya kulana humu..Miaka 11 niliokaa humu na mm si ningejilambia wawili watatu..
Tufute urafiki..
Jambo dakitare, fanya kunikonect best
Safi sana!Kweli kabisa..Ngoja na mi nianze rada..
Jirani unataka kunibikiri???...Mana we ndo utakuwa wa kwanza..Njoo tulambane jirani
Hahaahaha sina pingamizi na hoja hii
Teh teh..Hili deni nalilipa soon Dina..Manta hofu..Njoo Pm Kaboom hatujamalizana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!Jirani unataka kunibikiri???...Mana we ndo utakuwa wa kwanza..
😂😂😂😂😂😂😂😂Teh teh..Hili deni nalilipa soon Dina..Manta hofu..
Napokea WAJIBU huu kwa mikono miwili.Napendekeza jina lako kama Mkuu wa Kitengo.
😂😂😂😂😂
Sijaipata ile picha. Halafu jana nilikua napitia pitia picha nikaona picha zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila me picha sijatumiwa lakini[emoji41] hebu fanya wepesi mama
Wote tunashangaana [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23] kwahiyo wote hapa 'Me mtajifanya hamuingiagi PMs za wadada na kuomba meeting