Ushauri: Ameniacha anataka tuwe dada na kaka

Ushauri: Ameniacha anataka tuwe dada na kaka

Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Mimi sina mengi. Ni hivi....
Unapoamua kumtumikia Mungu katika roho na kweli Maisha yako yanakuwa mikononi mwake. Uzuri Mungu anaona ambavyo kibinadamu wewe huvioni. Kuna watu ambao kwako ni toxic lakini wewe kibinadamu unaweza usione hilo hadi Mungu atakapoamua kukufunulia Kwa wakati na Kwa Namna yake.

Niamini Mimi huyo binti ni miongoni mwa watu hatari maishani mwako nakushangaa unasikitika eti Kwa sababu amekuacha. Nakushauri furahi na kushangilia.Hujasikia watu wanafuga nyoka tena Kwa Upendo kabisa,lakini hao nyoka wanawageukia na kuwagonga kisha kuwaua?.

Mungu Kwa jinsi anavyowapenda watoto wake,hawezi kuruhusu nyoka waingie kwenye circle ya maisha yao. Kama utaamua kulazimisha kuwakaribisha na kuwafuga ni wewe at your own risk lakini Mungu atafanya Kila linalowezekana kukutenga(kukuepusha) nao.




Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Ipo hivi mwanzo wa maumivu makali ndio mwanzo wa kuwa na nguvu moyoni.
Kama ipo hivo itakuchukua muda mrefu kumsahau bado utaendelea kupitia maumivu hayo.

Wakati utakao kua na kusema sasa naweza kufanya mapenzi na mwanamke utakae kua nae kweny mahusiano itabid uwe na chaguzi jema na ufikilie sana.
 
Mimi sina mengi. Ni hivi....
Unapoamua kumtumikia Mungu katika roho na kweli Maisha yako yanakuwa mikononi mwake. Uzuri Mungu anaona ambavyo kibinadamu wewe huvioni. Kuna watu ambao kwako ni toxic lakini wewe kibinadamu unaweza usione hilo hadi Mungu atakapoamua kukufunulia Kwa wakati na Kwa Namna yake.

Niamini Mimi huyo binti ni miongoni mwa watu hatari maishani mwako nakushangaa unasikitika eti Kwa sababu amekuacha. Nakushauri furahi na kushangilia.Hujasikia watu wanafuga nyoka tena Kwa Upendo kabisa,lakini hao nyoka wanawageukia na kuwagonga kisha kuwaua?.

Mungu Kwa jinsi anavyowapenda watoto wake,hawezi kuruhusu nyoka waingie kwenye circle ya maisha yao. Kama utaamua kulazimisha kuwakaribisha na kuwafuga ni wewe at your own risk lakini Mungu atafanya Kila linalowezekana kukutenga(kukuepusha) nao.




Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
Nashukuru sana kwa ushauri mzuri Mungu akubarik sana
 
Hakuna ushauri soma kwanza
Kwa hili hakuna ushauri, zaidi ya kusema kubali ukweli kuwa amekuacha. Rejection is bitter, but it is part of life. Utapata mwingine atakayekupenda huenda zaidi. Hakuna kitu kibaya kung'ang'ania mtui asiyekupenda. Jitulize na tafuta mwingine. Huenda Mungu hakukuandikia huyu bali mwingine.
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Ila nyie nyie, hivi mnakujaga kutuchekesha humu au ni vipi khaaaa. Kwamba umeokoka?
 
Shenz kabisa!! JPM gan analilia mapenz,ushaskia wap dictator analilia mapenz🤣🙌
 
Mimi sina mengi. Ni hivi....
Unapoamua kumtumikia Mungu katika roho na kweli Maisha yako yanakuwa mikononi mwake. Uzuri Mungu anaona ambavyo kibinadamu wewe huvioni. Kuna watu ambao kwako ni toxic lakini wewe kibinadamu unaweza usione hilo hadi Mungu atakapoamua kukufunulia Kwa wakati na Kwa Namna yake.

Niamini Mimi huyo binti ni miongoni mwa watu hatari maishani mwako nakushangaa unasikitika eti Kwa sababu amekuacha. Nakushauri furahi na kushangilia.Hujasikia watu wanafuga nyoka tena Kwa Upendo kabisa,lakini hao nyoka wanawageukia na kuwagonga kisha kuwaua?.

Mungu Kwa jinsi anavyowapenda watoto wake,hawezi kuruhusu nyoka waingie kwenye circle ya maisha yao. Kama utaamua kulazimisha kuwakaribisha na kuwafuga ni wewe at your own risk lakini Mungu atafanya Kila linalowezekana kukutenga(kukuepusha) nao.




Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
Ushauri huu hapa mzuri....ukimtanguliza MUNGU nae hutengeneza njia pasipo njia usikate tamaaa kijana ,Fanya lililokupeleka chuo
Usilazimishe upendo..upendo haulazimishwi
 
We unasumbuliwa na uteja wa mapenzi,yaani kuweka tumaini lako kwa mwanadamu badala ya Mungu,
 
We ninkenge eti umeokoka 😂😂😂😂 dem kaona hamuendani ndio maana kakutema. Ungepiga hata roho isingeuma.
 
Back
Top Bottom