Ushauri: Ameniacha anataka tuwe dada na kaka

Ushauri: Ameniacha anataka tuwe dada na kaka

Big up comment yk iwekwe muhuri w moto ata mm Nilikuwa kama uyo Dogo Apo juu ila nilivyo fikiri ukomo nikapotezea sasaivi yy ndio unitafuta
Sasa hivi huwa nawafungia vioo na vumbi wanakula, wamepauka balaaa 😁😁😁 sema huwa sina dharau na wapa hai na stori mbili tatu...... lakini mapenzi ndiyo no nishapata mweza.
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
“…Sijawahi kufanya nae mapenzi…”

Hapo ndipo ulipofeli

Halafu sahau kuhusu moyo wako unakwambia nini, hakuna mapenzi hapo mkuu jitahidi msahau
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Ulokole na mapenzi haviendani umekosea big time kutomkula

Huo ukaka na udada anatafuta uchochoro wa kuendelea kunufaika na vijipesa vyako (kama unavyo) huku anakimbia wajibu wake (kukuhandle na kukupa punani)

Huo mkataba ni wa kitapeli achana nao kabisa mkuu

Cha kufanya USIMTAFUTE

unapo endelea kumtafuta jua unazidi kumfanya akuone huna thamani na bichwa lake linazidi kutuna

Japo wewe itakufanya ujisikie vizuri ila athari zake ni kumsukuma mbali zaidi

Acha MAWASILIANO NAE MARA MOJA
 
Kaka nimeelewa ila sasa Kuna shida moja kidogo inaniumiza, Yan nahis zile sifa ambazo nazihitaji sitazipata kwa binti mwingine kaka
Usiwe na wasiwasi mabinti wengi sana wana sifa Za kila aina

Kamwe usijidanganye eti huyo ndiyo mwenye maadili sana

Akikutana na vijana wa mataifa hayo maadili yanapotea trust me
 
Punguza hasira za kuachwa. Kisicho riziki hakiliki kijana.
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
The single most common reason women leave their husbands, is because they are bored and they think they are capable of getting a man who is better.

Usually they find out, after it is already too late, that they were wrong.
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Lengo la uhusiano wa kimapenzi
ni kufanya mapenzi.
Kwa kuwa umeokoka,na hutaki
kufanya uzinzi,uhusiano wenu
ni lazima uwe kama atakavyo huyo mdada.
Soma kwanza.
 
Mwanamke nayemtaka akaniletea pozi huwa simpi nafasi ya kula hata sh. 100 yangu [emoji3][emoji3][emoji3]!

Kuna katoto kako KCB kanapigaga mizinga tu ila mbunye yake kameona dili. Sasa mi huwa na blue tick tu akiomba vocha sijui anaomba favours huwa sina mda.

Ahahaha mzee una mbinu za cuba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawa madem sjui vipi anataka kula tu kuliwa hataki
 
Kosa lilianzia apo ambapo hukufanya nae sex nakushauri soma achana na mapenzi kwani uwezo wako ni mdogo sana
 
Huyo alitegemea umgonge halafu wee unamletea mambo ya mpaka ndoa. Ndo hivyo umeshushwa cheo chap
 
Huyo dem sio size yako ndg kitendo cha kukuambia ubaki kaka manake uwe unakula mzg ila usiwe comited we kubali then mwambie utabaki mchepuko wa kuiba uone atakubali
 
Back
Top Bottom