Ushauri: Ameniacha anataka tuwe dada na kaka

Ushauri: Ameniacha anataka tuwe dada na kaka

Dogo umenikumbusha mbali sana, nimepitia hatua kma yako. Naelewa maumivu yake. It was long time ago ila still nkumbuka the pain

Kiufupi dogo kazana na shule tafuta pesa, maana hio combination ni mbaya sana unaumizwa na hauna pesa unakua very insecure

Usiseme hautapata kama yeye, now mie nko na mama chanja wangu na enjoy maisha, yule ex namuona takataka tu siku hizi amechoka kazeeka kachakaa mpaka najiuliza nilimpendea nini nkateseka vile? Niko na mama chanja wangu full mahana hakuna ku fosi so wachana nae uyo ataishia kukutumia tu

Kuwa kaka na dada ni mtego! Mimi niliingia mkenge zamani hizo, basi akawa ananitumia tu kutimiza haja zake, mie nilidhani nikiwa namsaidia shida zake ndo atanipenda nikaishia kutumika tu

Piga chini move on
 
1. Hamna ulichofanya kinachokusumbua ni nyege na balehe sio huyo dada. Pambana kutafuta demu mpya tena tafuta aliyekuzidi umri ili ufurahie mchezo wa kitandani. Tafuta mdada wa kuanzia miaka 28 huko ambaye yupo alosto muhonge vivocha vyako akupe gemu kitandani huo ujinga utaisha.

Hakikisha unagonga demu mpya kila mwezi at least wawili wapya, kwa umri wako huu usichague sana demu, gonga kwaajiri ya kujifunza namna ya kuenjoy kitandani sio kujifanya kuleta mapenzi ya Alejandro wa lamujer de mi vida, utakufa kwa kisukari bwana mdogo.

2. Binti kakuona ni mweupe hauna la kumpa yaani hakuna unachoofa cha kumuexcite ndio maana kamaua kukupa miezi sita ameona hakuna jipya. Kubali hiyo ofa ya kaka na dada kwa sasa bila hasira wala ulalamishi , trust hiyo ni kadi ya mualiko siku zijazo utaihitaji itunze. Watoto wa kike huwa wanataka excitement ni aidha adate na kijana mjuzi wa mambo sio mshamba mshamba na mlokole kama wewe au atoke na mtu rika la kaka yake , mjomba wake au hata baba yake ili amfunze kwa haraka sana maswala ya mahusiano ili apate experience. Biologically wanawake wanawahi kukua na hivyo basi wanawahi kuzeeka. Kwa umri wako hautaelewa hii nadharia hadi baadae sana huko mbeleni maisha yakishakusulubu na kukuadabisha kisawa sawa.

3. Huu umri wa kuanzia miaka 18 hadi 35 sio umri wa kuwa serious na mapenzi kwa mtoto wa kiume maana utalia sana sababu akili yako ipo so innocent inajua kupenda kwa dhati na kutaka kumfanyia mwanamke mambo mazuri ili abakie na wewe ila hawa wenzetu hawajaumbiwa kupendwa kweli wameumbwa kujijali wao kwanza na kufikiria hatima zao sio zetu. Sasa utakapo kuwa ukihangaika kuwafurahisha wao wanatumia muda huo kufurahia maisha so kama ikibidi kukuumiza hisia ili yeye afurahi atafanya hivyo sasa hauoni ni upuuzi kuhangaika na mtu wa hivyo?

Huu umri kwa mtoto wa kiume ni umri wa kusali na kumuomba MUNGU akufungulie njia zako za uchumi. Soma vitabu vya uchumi, kaa na mabro ambao wametoboa kwenye maisha na wale waliofeli baada ya kutoboa na wale ambao hawakujaribu kabisa yaani nazungumzia ambao umri umeenda ili wakiupe key points za kufanikiwa kiuchumi na kuwa na stable sources of income. Ukishakuwa na uchumi wako mzuri maisha utayaelewa vizuri sana kwa namna yanavyokwenda. Hautakuwa na muda wa kuprioritize hivi videmu vinuka mkojo ambavyo bado hata kujua mwanaume anatakiwa kupewa nini kwenye mahusiano havijafahamu.

4. 18 to 35 years ndio umri mtoto wa kiume akituliza kichwa anafanikiwa baade kama mwanaume. Si unaona diamond, alianza kukaza umri huo. Saa hii anapesa kede wa kede unaona anavyowagonga na kuwapa mimba tu hao mademu, diamond muda huu akimtaka hata huyo demu wako anampata na atamtomba bila shida wakati huu wewe ukilia lia na kulalamika why [emoji24] sababu hawapi priority kwenye maisha yake maana ndivyo walivyo wanajali kile wanapata kwa mwanaume sio kukuthamini kama mwanadamu mwenye upendo na kujali ile ya kweli kutokea moyoni.

Sasa wewe kataa kupokea maneno yangu endelea kulia lia na mapenzi. Ukiendelea kubembeleza penzi upewe penzi la huruma, then ufike hadi miaka 35 kama utakutana na mwanamke ambaye atakuhitaji kwa mwili wako tu bila chochote cha kumnufaisha upande wa mali. Utaishi kwa tabu sana na maisha ya kulalamika kila mwanamke mpya utaekuwa unakutana nae atakusumbua kwa style ya tofauti ukijakuchoka na haya mambo umri umeshaenda umepoteza zaidi ya miaka 15 unajifunza kitu ambacho hakina faida ukubwani.

Naomba niishie hapa, ila umenifedhesha sana mdogo wangu. Nimekuelewa kwasababu bado umri wako ni mdogo hadi nimechagua kupoteza muda wangu kukuelimisha. Usipofanya haya ninayokuelekeza utakuja kujutia sikumoja na utasema kuna brother alinipa password mapema sana nikiwa mdogo ila nikampuuza.
 


mtumie hii dedication, asikilize maneno zaidi.
Halafu piga kimya miezi 3 asipokutafuta songa mbele...
Ha ha ha ha ha ha ha umenikumbusha mbali sana na hii ngoma. Kuna demu nilimtumia hii nilikuwa sijawahi mla halafu ananiletea pigo za kunitema. Baada ya miaka kede wa kede tukakutana majuzi hapa akiwa ameshazaa ana watoto wawili na jamaa wa kawaida sana mpiga dili kitaa.

Tumekutana anaanza niletea story za kulana kimasihara, nikajisemea kimoyomoyo, ONA JINGA HILI.
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Umri wa miaka 23 ushaanza kusononeka na mapenzi?
Mimi nilianza mahusiano ya mapenzi nilipokuwa na umri wa miaka 28

Mkuu soma kwanza.
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Neno moja ambalo utalidharau lakini ni hili, amini ya kwamba wewe bado ni mtoto sana kwa huo umri wako, jifunze kua mgumu na kudharau yule asiyekupenda maana hata huyo akikurudia bado hautaishi nae huko mbele, acha UPUMBAVU na ufuate kilicho kupeleka chuoni, ukija pata jambo la kufanya ukubwani ukiwana 30yrs kwenda mbele utafuatwa na wanawake wazuri kuliko huyo nyang'au
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Neno moja ambalo utalidharau lakini ni hili, amini ya kwamba wewe bado ni mtoto sana kwa huo umri wako, jifunze kua mgumu na kudharau yule asiyekupenda maana hata huyo akikurudia bado hautaishi nae huko mbele, acha UPUMBAVU na ufuate kilicho kupeleka chuoni, ukija pata jambo la kufanya ukubwani ukiwana 35yrs kwenda mbele utafuatwa na wanawake wazuri kuliko huyo nyang'au , huyo hata ukija kumuoa, amini ya kwamba utakuja kua mzinzi mbaya kabisa maana utakapokua kijana wa umri wenye mafanikio, huyo atakua ameshakua BIBI na hutamtaka tena, sasa kwa sababu mnajifanyaga mko chuo nyie ni wasomi na hamuamini kama bado ninyi ni wadogo endelea, utakuja kusema baadae lugha tofauti
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Neno moja ambalo utalidharau lakini ni hili, amini ya kwamba wewe bado ni mtoto sana kwa huo umri wako, jifunze kua mgumu na kudharau yule asiyekupenda maana hata huyo akikurudia bado hautaishi nae huko mbele, acha UPUMBAVU na ufuate kilicho kupeleka chuoni, ukija pata jambo la kufanya ukubwani ukiwana 35yrs kwenda mbele utafuatwa na wanawake wazuri kuliko huyo nyang'au , huyo hata ukija kumuoa, amini ya kwamba utakuja kua mzinzi mbaya kabisa maana utakapokua kijana wa umri wenye mafanikio, huyo atakua ameshakua BIBI na hutamtaka tena, sasa kwa sababu mnajifanyaga mko chuo nyie ni wasomi na hamuamini kama bado ninyi ni wadogo endelea, utakuja kusema baadae lugha tofauti
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.

Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Neno moja ambalo utalidharau lakini ni hili, amini ya kwamba wewe bado ni mtoto sana kwa huo umri wako, jifunze kua mgumu na kudharau yule asiyekupenda maana hata huyo akikurudia bado hautaishi nae huko mbele, acha UPUMBAVU na ufuate kilicho kupeleka chuoni, ukija pata jambo la kufanya ukubwani ukiwana 35yrs kwenda mbele utafuatwa na wanawake wazuri kuliko huyo nyang'au , huyo hata ukija kumuoa, amini ya kwamba utakuja kua mzinzi mbaya kabisa maana utakapokua kijana wa umri wenye mafanikio, huyo atakua ameshakua BIBI na hutamtaka tena, sasa kwa sababu mnajifanyaga mko chuo nyie ni wasomi na hamuamini kama bado ninyi ni wadogo endelea, utakuja kusema baadae lugha tofauti
 
Ha ha ha ha ha ha ha umenikumbusha mbali sana na hii ngoma. Kuna demu nilimtumia hii nilikuwa sijawahi mla halafu ananiletea pigo za kunitema. Baada ya miaka kede wa kede tukakutana majuzi hapa akiwa ameshazaa ana watoto wawili na jamaa wa kawaida sana mpiga dili kitaa.

Tumekutana anaanza niletea story za kulana kimasihara, nikajisemea kimoyomoyo, ONA JINGA HILI.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dogo umenikumbusha mbali sana, nimepitia hatua kma yako. Naelewa maumivu yake. It was long time ago ila still nkumbuka the pain

Kiufupi dogo kazana na shule tafuta pesa, maana hio combination ni mbaya sana unaumizwa na hauna pesa unakua very insecure

Usiseme hautapata kama yeye, now mie nko na mama chanja wangu na enjoy maisha, yule ex namuona takataka tu siku hizi amechoka kazeeka kachakaa mpaka najiuliza nilimpendea nini nkateseka vile? Niko na mama chanja wangu full mahana hakuna ku fosi so wachana nae uyo ataishia kukutumia tu

Kuwa kaka na dada ni mtego! Mimi niliingia mkenge zamani hizo, basi akawa ananitumia tu kutimiza haja zake, mie nilidhani nikiwa namsaidia shida zake ndo atanipenda nikaishia kutumika tu

Piga chini move on
Mwanamke nayemtaka akaniletea pozi huwa simpi nafasi ya kula hata sh. 100 yangu 😀😀😀!

Kuna katoto kako KCB kanapigaga mizinga tu ila mbunye yake kameona dili. Sasa mi huwa na blue tick tu akiomba vocha sijui anaomba favours huwa sina mda.
 
Utakufa mapema achana nae soma kwanza mdogo wangu, hawa viumbe baadhi ni wanakuja katika maisha yetu kutuharibia tuu.


Shtuka !!
 
Back
Top Bottom