Ushauri: Ameniacha anataka tuwe dada na kaka

Ushauri: Ameniacha anataka tuwe dada na kaka

Usifosi mapenzi unapofeli ni unapoendelea kumtafuta kichwa yake inazidi kuumuka kwa sifa. Acha kumtafuta alafu miezi sita yote hiyo hujala unategemea asikuache?
Mapenzi na ulokole haviendi sambamba ungepiga hiyo kitu hainaga ulokole, wewe ukileta ulokole kuna muhuni anajipigia kiroho safi
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, nili ulikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, lakini tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lkan kwangu Ilikuwa ni uchungu kwan nilitumia Nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, lakini ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka Jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukwel nilliumia sana nikambembeleza Sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii Toka aniache na nahisi maumivu Makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa na muomba turudi kama zamani lakn hataki kabisa mm sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakn moyo wangu una SEMA bado ni nanafas kwake.

Nahisi sitopenda tena pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japo kuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Wewe mpumbavu kazana upate GPA kali achana na hao mademu. Miaka 23 bado mdogo sana.... una heartbreaks kadhaa kabla huja-settle kwenye hayo mambo. Acha upuuzi SOMA.
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, nili ulikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, lakini tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lkan kwangu Ilikuwa ni uchungu kwan nilitumia Nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, lakini ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka Jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukwel nilliumia sana nikambembeleza Sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii Toka aniache na nahisi maumivu Makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa na muomba turudi kama zamani lakn hataki kabisa mm sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakn moyo wangu una SEMA bado ni nanafas kwake.

Nahisi sitopenda tena pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japo kuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
@The next JPM jpm hakuwahi kuteswa na mapenzi bali yeye ndo alikuwa anatesa mapenzi you get it if you don't get it forget about it
[emoji317][emoji317][emoji317][emoji317]
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, nili ulikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, lakini tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lkan kwangu Ilikuwa ni uchungu kwan nilitumia Nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, lakini ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka Jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukwel nilliumia sana nikambembeleza Sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii Toka aniache na nahisi maumivu Makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa na muomba turudi kama zamani lakn hataki kabisa mm sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakn moyo wangu una SEMA bado ni nanafas kwake.

Nahisi sitopenda tena pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japo kuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Sasa kama umeokaka wee mademu wa nini tena mzeya. Mademu raha yao kuwagegeda wee huwagegedi so kazana na kitabu tuu mwanawane.

Wanawake wenyewe miyayusho tuu mwanawane. Mbususu zao tamu ila miyayusho achana nao.
 
Habar wakuu,

Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, nili ulikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, lakini tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lkan kwangu Ilikuwa ni uchungu kwan nilitumia Nguvu sana kulinda mahusiano yetu.

Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, lakini ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka Jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.

Kiukwel nilliumia sana nikambembeleza Sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.

Wakuu shida yangu ni hii Toka aniache na nahisi maumivu Makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.

Kila siku huwa na muomba turudi kama zamani lakn hataki kabisa mm sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakn moyo wangu una SEMA bado ni nanafas kwake.

Nahisi sitopenda tena pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japo kuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.

Naombeni ushauri najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Piga shule mkuu😅😅
 
Back
Top Bottom