Habar wakuu,
Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, nili ulikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, lakini tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lkan kwangu Ilikuwa ni uchungu kwan nilitumia Nguvu sana kulinda mahusiano yetu.
Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, lakini ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka Jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.
Kiukwel nilliumia sana nikambembeleza Sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.
Wakuu shida yangu ni hii Toka aniache na nahisi maumivu Makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.
Kila siku huwa na muomba turudi kama zamani lakn hataki kabisa mm sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakn moyo wangu una SEMA bado ni nanafas kwake.
Nahisi sitopenda tena pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japo kuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.
Naombeni ushauri najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.