Ushauri: Anakataa kunipa penzi licha ya kuwa tunaishi pamoja, tutafika kweli?

Kwahiyo akitoka bafuni anabadilisha nguo mbele yako? Au ukioga?
 
Ashikilie apoapo tena akaze mpaka amuoe rasmi ndo amvulie chupi, mimi mwanamke nikishamlala zaidi ya mara 5 mawazo ya kumuoa yanapotea na naisi ni nature yetu wanaume
Upo sawa, ukimlala kabla ya ndoa ni rahisi sana kukinai na kuvunja uchumba, ndiyo maana wahenga waliliona hilo na kuzuia kukaribiana kabla ya ndoa.

Sasa unachokishauri kina changamoto yake, mwanamke kajilengesha hadi chumbani kitandani kwa jamaa.

Uliona wapi puge(mbwa mwitu) likastahimiliana na swala na wakawekwa cage moja?

Wajuzi wa mambo tunachombeza lazima huyo jamaa amlale ndiyo tutapoa.
 
Hizi kamba ni za kitoto sana
 
🀣🀣🀣🀣 hii dunia inavituko nyie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yani we jamaa ni kolo sijapata ona demu anadinywa nje uyo alafu wewe anakubania yani nmelia sana 🀣🀣🀣
 
We jamaa mtoe nduki uyo demu yani unamgharamia mahitaji yote alafu ataki kukupa mzigo kweli embu acha huruma ya mshumaa
 
Nimecheka unatembea km paa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji2][emoji119]
 
Kama ni kweli umemtongoza tu alafu ukamshawishi uishi nae hupajui kwao na una wiki nae tu jiandae siku siyo nyingi utaleta uzi wa kulalamika umeibiwa vitu vya ndani.

Sahivi anatafuta dereva wa kirikuu
Nacheka km mchana vile [emoji3][emoji1787][emoji1787]
 
Nyie wajinga ujue[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu huyo itakua hana nguvu za kike (kwa mujibu wa hoja zao kama ungekua niww umezingua)


Endelea kutembea kama unapaa mkuu
 
Nyie wajinga ujue[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚

Simu ilijitype, kioo ni kibovu tu ndugu yangu πŸ˜‚πŸ€£
 
M
Mhhhh
 
Huo ujinga siwezi fanya im so straight nimekutongoza umenikubali sawa umenikataa i cut off the contacts sina rafiki wa kike yaan yule kupiga story big no sasa wewe mwana unakuwa mjinga achana naye anaweza hata akakuuwa haujuwi anakunyima wewe anampa nani dont act like stupid grow up man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…