Ushauri: Anakataa kunipa penzi licha ya kuwa tunaishi pamoja, tutafika kweli?

Ushauri: Anakataa kunipa penzi licha ya kuwa tunaishi pamoja, tutafika kweli?

Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
Usikute na wewe unamdogo wako wa huo umri anakuheshimu sana.
25 to 32 ni ratio nzuri ila sijajua why wewe ndio umeingia kwenye mfumo wake wakati yeye ndio alitakiwa aingie kwenye mfumo wako.

Mwanamke asiyekupenda kuna vitu viwili hawezi kukupa na hata akikupa ni ilimradi tu, chakwanza ni denda na cha pili ni sex. Stuka mapema kijana coz imagine hamjazoeana sana anakuwa hivyo mkizoeana si itakua vita ya kupata uroda.
 
We bwege, kwani mnaishi kwenye nyumba ya baba yake au kwako?
Kama Ni kwako unakubalije upangiwe masharti na mgeni wako?
 
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?

Hapa hakuna mwanaume. You are a beta male. Alpha hawezi kufanyiwa ujinga wa namna hii. Alafu eti unakuja kuomba ushauri.

Wanawake walivyojaa mtaani unashindwa kumpiga huyo nyau chini uchukue pisi nyingine?

Na hapo unasema una miaka 32?

Kweli wanaume tumebaki wachache mno.
 
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
Mwanamke yoyote yule akisha sema eti mapenzi sio ngono huyo mpige kibuti. Uwongo mtupu.
Relationships are about sex, goals achia halland🤣🤣🤣🤣. Anyone who says otherwise is a big fat liar.

Alafu wee jama bora ubadili jina lako dybala alafu hujui kupachika kwenye nyavu na mbususu ipo hapo 🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
Ushauri wangu

Kwa huyu mwanamke tayari umeshachelewa. Umeshamuonyesha udhaifu kiasi kwamba ameshajua kabisa anao uwezo wa kukudominate na kukuendesha anavyotaka. Huyu ilibidi umtimue siku ile ile ya kwanza alipoanza kukukatalia!

Hata kama mtaendelea na huu uhusiano na akaja kukupa kweli mzigo (japo sidhani kama atakupa), naona kabisa mbeleni atakuja kukusumbua sana itakua kila anachotaka ukimkazia nayeye anakunyima mzigo mpaka umpe! Kuna wanawake wa aina hiyo, na umeshasema huyu ana kiburi.

Cha kufanya, usigombane nae. Tumia mbinu yoyote mshawishi aondoke hapo kwako. Akishaondoka tu, we mpige block kila mahali futa na namba yake mpotezee mazima tafuta mwanamke mwingine.

NB: Siku nyingine usije ukafanya kosa la kumpeleka mwanamke nyumbani kwako kabla hujamla.
 
Ushauri wangu

Kwa huyu mwanamke tayari umeshachelewa. Umeshamuonyesha udhaifu kiasi kwamba ameshajua kabisa anao uwezo wa kukudominate na kukuendesha anavyotaka. Huyu ilibidi umtimue siku ile ile ya kwanza alipoanza kukukatalia!

Hata kama mtaendelea na huu uhusiano na akaja kukupa kweli mzigo (japo sidhani kama atakupa), naona kabisa mbeleni atakuja kukusumbua sana itakua kila anachotaka ukimkazia nayeye anakunyima mzigo mpaka umpe! Kuna wanawake wa aina hiyo, na umeshasema huyu ana kiburi.

Cha kufanya, usigombane nae. Tumia mbinu yoyote mshawishi aondoke hapo kwako. Akishaondoka tu, we mpige block kila mahali futa na namba yake mpotezee mazima tafuta mwanamke mwingine.

NB: Siku nyingine usije ukafanya kosa la kumpeleka mwanamke nyumbani kwako kabla hujamla.
Ushauri mzuri sana, alishachelewa mwanamke akamtawala.
 
Mkuu huenda huyo bado ni bikra! Uwe mvumilivu na siku akiamua mwenyewe uta enjoy.
 
[emoji23][emoji23][emoji28]

Kuna mada nyingine naonaga kama ni jokes tu
Hii ni kweli kabisa mm mwenyewe ilishawahi kunitokea nilikaa na pisi moja kwa week 2 hataki kunipa mambo siku akaniambia anaenda kwao Morogoro usiku wake ndio akanipa mambo nilipiga Ile nyanshi kwa hasira na wakati anaondoka asbhi sikumpa hata mia tukapotezana kama miaka mi5 week hii kndio kaja mara 2 ofisini ananiulizia maana hajanikuta japo wamempa namba yangu nimemcheki Whatsapp nikamdadisi akanitumia picha zake aisee demu kawa mzuri Tako limezidi mara dufu ndio nataka nimpange nikamle uchi ananiambia eti sasa hivi amekuwa kipindi kile ulikuwa utoto unamsumbua ila kichwani kwangu taa nyekundu ishawaka nataka kabla sijafanya chochote nikampimishe vipimo muhimu maana sio kwa kunitafuta huko.
 
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
Piga chini haraka sana.
Njoo Liwale huku nikupe Mmwera mmoja na Mmakuwa kama nyongeza ujipigie Tani yako.
Wanaume wa Dar shida tupu
 
Hii ni kweli kabisa mm mwenyewe ilishawahi kunitokea nilikaa na pisi moja kwa week 2 hataki kunipa mambo siku akaniambia anaenda kwao Morogoro usiku wake ndio akanipa mambo nilipiga Ile nyanshi kwa hasira na wakati anaondoka asbhi sikumpa hata mia tukapotezana kama miaka mi5 week hii kndio kaja mara 2 ofisini ananiulizia maana hajanikuta japo wamempa namba yangu nimemcheki Whatsapp nikamdadisi akanitumia picha zake aisee demu kawa mzuri Tako limezidi mara dufu ndio nataka nimpange nikamle uchi ananiambia eti sasa hivi amekuwa kipindi kile ulikuwa utoto unamsumbua ila kichwani kwangu taa nyekundu ishawaka nataka kabla sijafanya chochote nikampimishe vipimo muhimu maana sio kwa kunitafuta huko.
Mshahara wa dhambi.....
 
Pole na hongera kwa kumpata wife material. Hayo unayopitia yaliwah kumpata jamaa yangu. Alioa mwanamke hali ikawa hivo hivo kama wewe. Kila akitaka kumgusha mke wake anapga kelele sana. Baada ya kukaa nae wiki nzima bila kushiriki tendo la ndoaIkabidi wasimamizi wa ndoa yake wakamsaidia kumshika mwanamke kwa nguvu jamaa akawa amesex na mke wake huku wasimamizi wa ndoa wamemshikia baada ya hapo wakamwachia akaendelea. Mpaka sasa hivi wana familia na maisha yanasonga. Baadae jamaa alikaa na mkewe akamuuliza tatizo ilikuwa nini mkewe akamwambia aliwahi kubakwa na jamaa akambikiri. Kwa vile alifosiwa alipata maumivu makali na tangu siku hiyo alikuwa na tatzo la hofu dhidi ya wanaume.
 
Mamwanamke yamejaa huku mitaani,unahangaika na hako kamoja tu.
 
Back
Top Bottom