Ushauri: Awamu Moja Kwa Mbunge inatosha kabisa, wananchi tunahitaji changamoto mpya.

Ushauri: Awamu Moja Kwa Mbunge inatosha kabisa, wananchi tunahitaji changamoto mpya.

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Miaka mitano, ni muda unaotosha kabisa kutimiza kusudi na malengo na KAZI ambayo mbunge amepewa na wananchi.

Ikiwa miaka mitano pekee, ya Rais Magufuli, ilitosha kuonyesha matokeo makubwa kuliko waliokaa miaka kumi, iweje mbunge ashindwe kudeliver Kwa miaka mitano?

Kwa kuwa life expectancy imepungua, na wapo wengi wenye ndoto ya kuonyesha makubwa Kwa nafasi ya ubunge, mitano inatosha kabisa.

FAIDA ZA UKOMO WA WABUNGE.

1. RUSHWA ITAPONGUA MAJIMBONI.

Hivi tunavyoongea, wabunge vilaza wanachukua mikopo kwenye MABENKI Ili kupata pesa za kuja kuhonga wananchi maskini, pakiwepo ukomo, wananchi watakuwa salama.

2. WIMBI LA MATAJIRI WAFANYABIASHARA LITAPUNGUA KUUNGIA BUNGENI.

Hawa matajiri wafanyabiashara wenye kutupandishia Bei za mafuta na sukari, watakoma kutuhujumu pakiwa na ukomo wa ubunge.

3. DHARAU ITAPUNGUA KWA WANANCHI.

Hapa wananchi wataichagua Kila baada ya miaka mitano mtu wao Kwa Umakini mkubwa atakaowatumikia.

NB: Mbunge akitaka kuendelea Awamu ya pili, agombee Jimbo lingine.

Ushauri: Wabunge wote Walio bungeni, wapumzishwe, tupate wabunge wapya kabisa, na mchakato wa kuwapata uende mbali zaidi ya upeo na mipaka ya vyama wanavyotoka,

Nawasilisha🙏

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
 
Ikiwa nafasi ya Urais Ina ukomo,

Kwanini isiwe Kwa nafasi ya ubunge na Udiwani?

Mitano Kwa Tulia inatosha kabisa, cc: Lucas Mwashambwa
 
Tusipende mserereko... Kama hafai kwa nini tusimuondoe kwa kura!??
Ikiwa ni muumini wa Katiba mpya, nitashangaa ukipingana nami,

Rasimu ya judge Warioba, wananchi wengi walipendekeza ukomo wa wabunge.

Ikiwa anapenda aendelee, akagombee Jimbo lingine.
 
Mitano inatosha,

Kukosa ukomo Kwa nafasi za kisiasa, kunaua uthubutu na ndoto za vijana, na watu wenye uwezo.
Wewe kama ni kijana na unaona una uwezo basi nenda kagombee na utachaguliwa tu.kwani vijana wangapi wameingia bungeni? Mheshimiwa Kafulila aliingia Bungeni kwa uwezo wake pasipo kutumia pesa wala kuhonga watu.
 
Ikiwa nafasi ya Urais Ina ukomo,

Kwanini isiwe Kwa nafasi ya ubunge na Udiwani?

Mitano Kwa Tulia inatosha kabisa, cc: Lucas Mwashambwa
Hapo ndio pa kushikia no more than two terms. Hawachaguliwi hawa wanajichaguwa..Ifanyike campaign maalum hapa J.forums..waandishi wa habari watasaidia...Ikumbukwe Lowasa alijiuzuru kwa ajili ya hapa J.forums. kuna watakao beza wasitutishe ni wafaidika hao.
 
Wewe kama ni kijana na unaona una uwezo basi nenda kagombee na utachaguliwa tu.kwani vijana wangapi wameingia bungeni? Mheshimiwa Kafulila aliingia Bungeni kwa uwezo wake pasipo kutumia pesa wala kuhonga watu.
Mfaidika wewe kwani nani anashinda kihalali bongo..sisi walipakodi tunasema no more than two terms.
 
Usije ujatarajia kwamba watakubali kuipitisha sheria ya kukaa bungeni kwa awamu moja (miaka 5) mazee...
Ubunge skuizi ni fursa kama zilivyo fursa zingine tu, pia ubunge unalipa sana mkuu.
 
Wewe kama ni kijana na unaona una uwezo basi nenda kagombee na utachaguliwa tu.kwani vijana wangapi wameingia bungeni? Mheshimiwa Kafulila aliingia Bungeni kwa uwezo wake pasipo kutumia pesa wala kuhonga watu.
Kumbe unakubali kuwa hakuna RUSHWA vyama vya upinzani, Kwa kuwa Kafulila alikuwa Mpinzani.
 
Salaam, Shalom!!

Miaka mitano, ni muda unaotosha kabisa kutimiza kusudi na malengo na KAZI ambayo mbunge amepewa na wananchi.

Ikiwa miaka mitano pekee, ya Rais Magufuli, ilitosha kuonyesha matokeo makubwa kuliko waliokaa miaka kumi, iweje mbunge ashindwe kudeliver Kwa miaka mitano?

Kwa kuwa life expectancy imepungua, na wapo wengi wenye ndoto ya kuonyesha makubwa Kwa nafasi ya ubunge, mitano inatosha kabisa.

FAIDA ZA UKOMO WA WABUNGE.

1. RUSHWA ITAPONGUA MAJIMBONI.

Hivi tunavyoongea, wabunge vilaza wanachukua mikopo kwenye MABENKI Ili kupata pesa za kuja kuhonga wananchi maskini, pakiwepo ukomo, wananchi watakuwa salama.

2. WIMBI LA MATAJIRI WAFANYABIASHARA LITAPUNGUA KUUNGIA BUNGENI.

Hawa matajiri wafanyabiashara wenye kutupandishia Bei za mafuta na sukari, watakoma kutuhujumu pakiwa na ukomo wa ubunge.

3. DHARAU ITAPUNGUA KWA WANANCHI.

Hapa wananchi wataichagua Kila baada ya miaka mitano mtu wao Kwa Umakini mkubwa atakaowatumikia.

NB: Mbunge akitaka kuendelea Awamu ya pili, agombee Jimbo lingine.

Ushauri: Wabunge wote Walio bungeni, wapumzishwe, tupate wabunge wapya kabisa, na mchakato wa kuwapata uende mbali zaidi ya upeo na mipaka ya vyama wanavyotoka,

Nawasilisha🙏

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
Yes ubunge mwisho uwe 2 terms tu kama uraisi
 
Yes ubunge mwisho uwe 2 terms tu kama uraisi
Hata ikiwa mitano, itapendeza,

Ubunge Si ajira ya kudumu Hadi walipane mafao.

Mitano inatosha, hata Urais, ikiwa amethibitika Hana uwezo, apishe tu, Ili aje mwingine mwenye uwezo.
 
Salaam, Shalom!!

Miaka mitano, ni muda unaotosha kabisa kutimiza kusudi na malengo na KAZI ambayo mbunge amepewa na wananchi.

Ikiwa miaka mitano pekee, ya Rais Magufuli, ilitosha kuonyesha matokeo makubwa kuliko waliokaa miaka kumi, iweje mbunge ashindwe kudeliver Kwa miaka mitano?

Kwa kuwa life expectancy imepungua, na wapo wengi wenye ndoto ya kuonyesha makubwa Kwa nafasi ya ubunge, mitano inatosha kabisa.

FAIDA ZA UKOMO WA WABUNGE.

1. RUSHWA ITAPONGUA MAJIMBONI.

Hivi tunavyoongea, wabunge vilaza wanachukua mikopo kwenye MABENKI Ili kupata pesa za kuja kuhonga wananchi maskini, pakiwepo ukomo, wananchi watakuwa salama.

2. WIMBI LA MATAJIRI WAFANYABIASHARA LITAPUNGUA KUUNGIA BUNGENI.

Hawa matajiri wafanyabiashara wenye kutupandishia Bei za mafuta na sukari, watakoma kutuhujumu pakiwa na ukomo wa ubunge.

3. DHARAU ITAPUNGUA KWA WANANCHI.

Hapa wananchi wataichagua Kila baada ya miaka mitano mtu wao Kwa Umakini mkubwa atakaowatumikia.

NB: Mbunge akitaka kuendelea Awamu ya pili, agombee Jimbo lingine.

Ushauri: Wabunge wote Walio bungeni, wapumzishwe, tupate wabunge wapya kabisa, na mchakato wa kuwapata uende mbali zaidi ya upeo na mipaka ya vyama wanavyotoka,

Nawasilisha🙏

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
Wabunge Ndiyo wanahitaji changamoto mpya yaani wajipange ili wajifunze walikosea wapi
 
Salaam, Shalom!!

Miaka mitano, ni muda unaotosha kabisa kutimiza kusudi na malengo na KAZI ambayo mbunge amepewa na wananchi.

Ikiwa miaka mitano pekee, ya Rais Magufuli, ilitosha kuonyesha matokeo makubwa kuliko waliokaa miaka kumi, iweje mbunge ashindwe kudeliver Kwa miaka mitano?

Kwa kuwa life expectancy imepungua, na wapo wengi wenye ndoto ya kuonyesha makubwa Kwa nafasi ya ubunge, mitano inatosha kabisa.

FAIDA ZA UKOMO WA WABUNGE.

1. RUSHWA ITAPONGUA MAJIMBONI.

Hivi tunavyoongea, wabunge vilaza wanachukua mikopo kwenye MABENKI Ili kupata pesa za kuja kuhonga wananchi maskini, pakiwepo ukomo, wananchi watakuwa salama.

2. WIMBI LA MATAJIRI WAFANYABIASHARA LITAPUNGUA KUUNGIA BUNGENI.

Hawa matajiri wafanyabiashara wenye kutupandishia Bei za mafuta na sukari, watakoma kutuhujumu pakiwa na ukomo wa ubunge.

3. DHARAU ITAPUNGUA KWA WANANCHI.

Hapa wananchi wataichagua Kila baada ya miaka mitano mtu wao Kwa Umakini mkubwa atakaowatumikia.

NB: Mbunge akitaka kuendelea Awamu ya pili, agombee Jimbo lingine.

Ushauri: Wabunge wote Walio bungeni, wapumzishwe, tupate wabunge wapya kabisa, na mchakato wa kuwapata uende mbali zaidi ya upeo na mipaka ya vyama wanavyotoka,

Nawasilisha🙏

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
Kama linapitishwa na bunge, hili sahau labda malaika wa shari ndo awatokee katika njozi zao kuwa msipolipitisha mtakufa wote.
 
Kama linapitishwa na bunge, hili sahau labda malaika wa shari ndo awatokee katika njozi zao kuwa msipolipitisha mtakufa wote.
Hii Iko ndani ya uwezo wetu wananchi,

Tuamue Kwa pamoja kuwa, mbunge Yeyote aliyekuwa bunge lililopita, asirudi bungeni.

Hawa watu wamebariki bandari zetu kupewa wageni.
 
Hii Iko ndani ya uwezo wetu wananchi,

Tuamue Kwa pamoja kuwa, mbunge Yeyote aliyekuwa bunge lililopita, asirudi bungeni.

Hawa watu wamebariki bandari zetu kupewa wageni.
Hahaaa!! Siyo mwananchi wa nchi hii. Mwananchi atakuambia siwezi kuacha kumpa Zungu kura yangu nikampe Mrema (mfano tu).
 
Back
Top Bottom