Salaam, Shalom!!
Miaka mitano, ni muda unaotosha kabisa kutimiza kusudi na malengo na KAZI ambayo mbunge amepewa na wananchi.
Ikiwa miaka mitano pekee, ya Rais Magufuli, ilitosha kuonyesha matokeo makubwa kuliko waliokaa miaka kumi, iweje mbunge ashindwe kudeliver Kwa miaka mitano?
Kwa kuwa life expectancy imepungua, na wapo wengi wenye ndoto ya kuonyesha makubwa Kwa nafasi ya ubunge, mitano inatosha kabisa.
FAIDA ZA UKOMO WA WABUNGE.
1. RUSHWA ITAPONGUA MAJIMBONI.
Hivi tunavyoongea, wabunge vilaza wanachukua mikopo kwenye MABENKI Ili kupata pesa za kuja kuhonga wananchi maskini, pakiwepo ukomo, wananchi watakuwa salama.
2. WIMBI LA MATAJIRI WAFANYABIASHARA LITAPUNGUA KUUNGIA BUNGENI.
Hawa matajiri wafanyabiashara wenye kutupandishia Bei za mafuta na sukari, watakoma kutuhujumu pakiwa na ukomo wa ubunge.
3. DHARAU ITAPUNGUA KWA WANANCHI.
Hapa wananchi wataichagua Kila baada ya miaka mitano mtu wao Kwa Umakini mkubwa atakaowatumikia.
NB: Mbunge akitaka kuendelea Awamu ya pili, agombee Jimbo lingine.
Ushauri: Wabunge wote Walio bungeni, wapumzishwe, tupate wabunge wapya kabisa, na mchakato wa kuwapata uende mbali zaidi ya upeo na mipaka ya vyama wanavyotoka,
Nawasilisha🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
Miaka mitano, ni muda unaotosha kabisa kutimiza kusudi na malengo na KAZI ambayo mbunge amepewa na wananchi.
Ikiwa miaka mitano pekee, ya Rais Magufuli, ilitosha kuonyesha matokeo makubwa kuliko waliokaa miaka kumi, iweje mbunge ashindwe kudeliver Kwa miaka mitano?
Kwa kuwa life expectancy imepungua, na wapo wengi wenye ndoto ya kuonyesha makubwa Kwa nafasi ya ubunge, mitano inatosha kabisa.
FAIDA ZA UKOMO WA WABUNGE.
1. RUSHWA ITAPONGUA MAJIMBONI.
Hivi tunavyoongea, wabunge vilaza wanachukua mikopo kwenye MABENKI Ili kupata pesa za kuja kuhonga wananchi maskini, pakiwepo ukomo, wananchi watakuwa salama.
2. WIMBI LA MATAJIRI WAFANYABIASHARA LITAPUNGUA KUUNGIA BUNGENI.
Hawa matajiri wafanyabiashara wenye kutupandishia Bei za mafuta na sukari, watakoma kutuhujumu pakiwa na ukomo wa ubunge.
3. DHARAU ITAPUNGUA KWA WANANCHI.
Hapa wananchi wataichagua Kila baada ya miaka mitano mtu wao Kwa Umakini mkubwa atakaowatumikia.
NB: Mbunge akitaka kuendelea Awamu ya pili, agombee Jimbo lingine.
Ushauri: Wabunge wote Walio bungeni, wapumzishwe, tupate wabunge wapya kabisa, na mchakato wa kuwapata uende mbali zaidi ya upeo na mipaka ya vyama wanavyotoka,
Nawasilisha🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen