fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu zangu poleni na majukumu, Kwa kifupi nimekuwa na Mwanaume kama Boyfriend, tumependana sana, Baada ya kuhisi nina mimba yake kaanza chenga, anasema au tuitoe, Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehemu ya kufanya mauaji.
Naomba ushauri wenu
Mdogo wangu pole sana, Wanawake tunapitia mengi, never attempt to abort, hii dhambi itakutafuna, Kiache kiumbe cha mungu, Wanaume wengi walaghai, ukimwambia nina Mimba yako hata simu hapokei tena anaanza visingizio kwamba nimesafiri, ni wachache sana utamwambia nina Mimba yako akaonesha uso wa furaha na akaendelea kukujali, wanaume badilikeni jamaniii
Mjomba kasaidie kuleaSomo kubwa ambalo wanawake wengi wanaoamua kuzaa kabla ya ndoa wanalifanya.
Usiwe tayari kuzaa kama wewe binafsi huna uwezo wa kumudu matunzo ya mtoto hili pia hata kwa wana ndoa linawahusu.
Huyu ameamua kukuzingua Je ingekuwaje kama angefariki? Au kutoweka?
Jukumu la mtoto ni la wazazi wote wawili lakini dhamana ya mtoto anayo mama ,Mwanao hana nafasi ya kuchagua baba na Mungu amekupa dhamana hiyo wewe ni vizuri kuitumia kwa makini.
Mimi si muumini wa abortions ! Hii dhambi ilinishinda mara nyingi hutumia condoms au vidonge na ni njia ambazo ni salama.
Ushauri wangu ni huu You are never late to do the right thing jenga mazingira ya kumtumza mtoto wako wewe si wa kwanza na hautakuwa wa mwisho gangamala pambana kwaajili ya mtoto wako na wakati ukifika utaona matunda yake .
Sent from my iPhone using JamiiForums