USHAURI: Binti mwanafunzi wa miaka 18 apata ujauzito, tufanye nini?

USHAURI: Binti mwanafunzi wa miaka 18 apata ujauzito, tufanye nini?

Hatuwezi kuja kusumbuliwa na serikali baadae?
Zingatia haya, kama mimba anayo tayari , basi nenda shule sitopisha masomo yake kwa jina la ana mimba akajifungue kwanza akimaliza atarudi, usisahau kumkana muhusika ati hujui yu wapi au alishakimbia, baada ya hapo pokeeni mahari mambo mengine yaendelee , serikali ikija itamkuta ashajufungua hivyo ni uamzi wake kurudi au hapana ila bwana ake aishi naye mbali na hapo shule .

Hii ndiyo njia rahisi ila haya mengine mtapoteza muda na pia binti mtamjaza mawazo zaidi.
 
-Mkipokea mahari mmeozesha mwanafunzi
-Mkimpeleka polisi,mnapeleka ili kijana aliempa mimba akamatwe afungwe miaka 30,huyo kijana ndio baba wa anko wenu na mzazi mwenzake na binti yenu
-mkimuacha tu,serikali ikimhitaji mwanafunzi wake mnalo la kujib pia
-akitoa ni kesi na ni dhambi kwa iman zote na mnaweza poteza maisha ya binti yenu

Ushauri
Mwambieni aende tu shule, shule wakimshtukia watawaita na nyie wapeni ushirikiano kadri watakavyowahitaji.

Acheni kuhangaika na mtu aliechagua njia yake ya maisha ,mtapoteza muda na pesa bure
 
Zingatia haya, kama mimba anayo tayari , basi nenda shule sitopisha masomo yake kwa jina la ana mimba akajifungue kwanza akimaliza atarudi, usisahau kumkana muhusika ati hujui yu wapi au alishakimbia, baada ya hapo pokeeni mahari mambo mengine yaendelee , serikali ikija itamkuta ashajufungua hivyo ni uamzi wake kurudi au hapana ila bwana ake aishi naye mbali na hapo shule .

Hii ndiyo njia rahisi ila haya mengine mtapoteza muda na pia binti mtamjaza mawazo zaidi.
Asante sana ndugu. Tutazingatia.
 
Kwa ushauli wangu,huyo hajabakwa wamependane wenyewe kinachotakiwa muwasiliane na familia ya kijana ili athibitishe kama kweli ni ujauzito wake,atakapothibitisha mumuulize, anampango gani na huyobinti kama akisema atamuowa,kuna haja ya kupelekana polisi.Lakini kama akikana,hapo ndiyo kuna haja ya kupelekana polisi
 
Salamu Wana JF.

Naomba ushauri wa hatua za kuchukua katika mazingira haya.

Asanteni.
Uzoefu unaonesha kwamba mchakato wenye Tija zaidi nzuri zaidi ni (a) Kwanza Binti mwanafunzi amtambue fika Mhusika i.e. awaambie ni nani mwanaume mhusika, halafu ndo: 1. wasilianeni kwanza na Mwanaume mhusika kama anakubali Mzigo wake, 2. Wasilianeni na Wazazi wa mwanaume mhusika na mkubaliane nini cha kufanya hususan malezi ya mimba hadi mtoto-mtarajiwa akizaliwa salama. 3. Msijaribu/Msikubali kamwe hoja ya kutoa mimba (Mnaua kitoto kisicho na hatia na hakiwezi kujitetea- Ni dhambi kubwa mno).
Aidha katika majadiliano yenu pande zote mbili zingatieni kwamba suala/Hoja ya Uanafunzi, binti anaweza kuahirisha masomo kama ni chuo, kubadilisha shule (Sekondari)baada ya kujifungua au binti anaweza kuhiari kuachana na masomo na kuolewa Rasmi i.e. kuanza maisha ya Ndoa yaani kuwa na Familia.
Mwisho nakushauri kwamba Hoja ya Hatua za Kisheria mara zote hazinaga Tija kwani utapoteza JUMLA (Hakuna maslahi yoyote kwako wala kwa binti wala kwa Kidume-husika) e.g. kwani Kidume mhusika akifungwa miaka 30 ww mzazi utapata nini? Kidume mhusika kama ni mtumishi atafukuzwa kazi mazima na kwenda kutumikia 30yrs na hivyo Hataweza tena kutoa msaada wowote kwa binti wala kwako ila ww utalazimika kulea mimba & mtoto(Mjukuu) hadi hapo baba yake atakapotoka Jela. Kwa kifupi kwenye Sheria, Binti atapoteza masomo kwa kufukuzwa shule, Ww mzazi wa binti utapoteza kwa kuingia gharama kubwa ya kulea, Kidume atapoteza kwa kufungwa 30yrs. Ila kama ww unataka kutoa Adhabu kali, basi nenda kwenye Sheria. Lakini kama nia yako ni njema au ni kuweka njia muafaka kukuza na kudumisha mahusiano kati ya familia za pande mbili - yamalizeni nje ya Mahakama.
 
Kwa ushauli wangu,huyo hajabakwa wamependane wenyewe kinachotakiwa muwasiliane na familia ya kijana ili athibitishe kama kweli ni ujauzito wake,atakapothibitisha mumuulize, anampango gani na huyobinti kama akisema atamuowa,kuna haja ya kupelekana polisi.Lakini kama akikana,hapo ndiyo kuna haja ya kupelekana polisi
Nakazia: Kijana akikubali kwamba ni ujauzito wake na mipango yake ni kumuoa huyo binti; hakuna haja ya kupelekana Polisi.
 
Ndio hapa tungependa kujua kisheria kipi kinahesabika kikubwa kati ya uanafunzi au utu uzima wa miaka 18
Mkuu; Ki- Sheria mtu mwenye umri wa miaka 18+ ni mtu mzima(Adult) na anawajibika binafsi kwa maamuzi na matendo yake. Kwa mantiki hiyo, huyo mwanafunzi kwa umri wake huo anapaswa awajibike binafsi kwa kujiingiza kwenye matendo yaliyopelekea yeye kupata Ujauzito. Kwa hiyo Binti atafukuzwa shule. Kijana (Kidume) atafungwa jela miaka 30.
 
Salamu Wana JF.

Naomba ushauri wa hatua za kuchukua katika mazingira haya.

Asanteni.
Ni mwanao au? ., ila we elewa 2 kwamba alipenda mwenyewe coz vibinti vya ck hz ivyo viwanafunzi inabd wazaz wao pia wawe na uhusian mzur na watt lakn pia huyo mzaz hajamfunza maadili mazur toka mdg coz me naamin kwamb alikua hachungwi af isitoshe kuwapa watt cm wakiwa wadg ndo tatz kubwa ktk mikoa eti mtt wa la 5 anatembea na smatphone unategemea nn ka mzaz
 
Mkuu; Ki- Sheria mtu mwenye umri wa miaka 18+ ni mtu mzima(Adult) na anawajibika binafsi kwa maamuzi na matendo yake. Kwa mantiki hiyo, huyo mwanafunzi kwa umri wake huo anapaswa awajibike binafsi kwa kujiingiza kwenye matendo yaliyopelekea yeye kupata Ujauzito. Kwa hiyo Binti atafukuzwa shule. Kijana (Kidume) atafungwa jela miaka 30.
Hii hali ya kusema watt wenye mimb warud shule ndo haya sasa si ajabu jamaa alimwambia usiogope kwan utarudi shule.... Kwa kuhitimisha mtt wa kike ni hasara
 
kama hajabakwa, itakua ni kiherehere chake.
Kwani hata binti mwenyewe anajua kufanya matusi ni makosa. Na vibinti vya siku izi vinavyojua baikoko kuliko hata makungwi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnaingilia maamzi ya watu wazima[emoji23][emoji23]ama awaruke maana vitoto vya siku hizi kinakuacha mzazi njia panda kweupee
Tena ndo ukute jamaaa anamuelewa, wazazi watajua hawajui. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miaka 18 kisheria ni mtu mzima tatizo lipo hapo kwenye kuwa mwanafunzi.

Kama kamtaja muhusika na alipata ujauzito kwa ridhaa yake basi kaeni familia za pande zote mbili muangalie jinsi gani mnalea ujauzito mpaka mtoto kuzaliwa. Mengine yatafuata baadae.
 
Back
Top Bottom