hahahahaha safi sanaa, sikua na haja ya kukujibu hapo awali, ila nilivyoona unatukana matusi mengi nikaona, nope this is too much and i wont keep quit on these bunches of stupidity, nimekujibu kwa aina yako, how about that? know umehumia right? hahahaha,,, siwezi kupaniki kwa mtu ambae ni hopless, ila nimekujibu kwa jinsi ulivyopaswa kujibiwa, embu angalia texts zako hapo juu umetukana matusi ya aina yote.
mimi nibishane hoja za kila aina na watu ambao ni ma senior kwenye game nisipaniki nije kupaniki kwa mtu ambae ni anonymous tu hahahaah hell no.
ukileta umtaa umtaa basi tutaenda kiumtaa umtaa, maana tulitokea mitaani kabla hata ya sheria yenyewe, but we haujiulizi mbona hakuna mtu ambae hatujaelewana nae tofauti na wewe? do you think kila mtu anaweza ku entertain ujinga?... anyway sitokujibu tena, tukana unavyoweza.