Mkuu, 666 chata "HAPO HAKUNA UKOMO"
Wakati wa kuomba Mirathi hutegemea na marehemu alikufa kwa kuacha wosia (testacy) ama bila wosia (intestacy). Sasa wakt wa kufungua MIRATHI huwa kuna nyaraka zinaambatanishwa, ambazo pamoja na mambo mengine ni:-
1. Mhutasari wa wanaukoo au wosia
2. Cheti cha kifo kutoka RITA
3. fomu za mirathi ikiwa imejazwa sahihi
4. Ada ya mahakama n.k
Vitu hv vinatakiwa ndani ya miezi 3. Sasa kanuni ya 31 inaweka mazingira kuwa endapo mtu hataleta hv vitu ndan ya miaka 3 basi aongezee (i.e 5. hapo juu) maelezo ya kwa nn amechelewa zaidi ya miaka 3. Akiambatanisha tu maelezo basi kesi inafunguliwa. Na maelezo hayo sio extension of time kama ilivyo kwny torts (3yrs), contract (6yrs) , land (12yrs), Fatal accident 6 months) n.k
So naungana na PTER kuwa hakuna ukomo ili kuna kuongeza nyaraka baada ya miaka 3 kupita.
NB: Sheria hupendeza sana kutoa hoja na supporting authority (section of law or precedence)
View attachment 1029965
Sent using
Jamii Forums mobile app