USHAURI CHADEMA: Mdude Nyagali amemkosea adabu Rais Samia, mtakeni amwombe radhi

USHAURI CHADEMA: Mdude Nyagali amemkosea adabu Rais Samia, mtakeni amwombe radhi

MJENGA

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
884
Reaction score
850
Clip hii inayomuoneesha Mdude Nyagali akiapa kutumia wembe kumnyoa Rais Mama Samia Suluhu Hassan (sijui ni kwa namna gani) inaonesha kiwango cha juu cha ukosefu wa adabu wa mhusika kwa mamlaka za nchi na watu waliomzidi umri.

Kauli ya Mdude kwa Rais si tu ni ya kishenzi isiyopaswa kuvumiliwa hata na wanachadema wenyewe, bali inatoa taswira mbaya kwa chama chake, kwa nchi na kwa Rais ambaye amejipambanua kujenga demokrasia ya kistaarabu isiyokwamisha ustawi wa nchi yetu.

Ninafahamu Mbowe ni mtu mstaarabu anayejua mipaka ya demokrasia. Mbowe angekuwa kama Mdude nchi hii ingeshavurugika hivyo ninamshauri amtake Mdude amuombe radhi Rais Samia. Huo ndio itakuwa kipimo cha ukomavu wa siasa kwa chadema.
 
Clip hii inayomuoneesha Mdude Nyagali akiapa kutumia wembe kumnyoa Rais Mama Samia Suluhu Hassan (sijui ni kwa namna gani) inaonesha kiwango cha juu cha ukosefu wa adabu wa mhusika kwa mamlaka za nchi na watu waliomzidi umri. Kauli ya Mdude kwa Rais si tu ni ya kishenzi isiyopaswa kuvumiliwa hata na wanachadema wenyewe, bali inatoa taswira mbaya kwa chama chake, kwa nchi na kwa Rais ambaye amejipambanua kujenga demokrasia ya kistaarabu isiyokwamisha ustawi wa nchi yetu.
Ninafahamu Mbowe ni mtu mstaarabu anayejua mipaka ya demokrasia. Mbowe angekuwa kama Mdude nchi hii ingeshavurugika hivyo ninamshauri amtake Mdude amuombe radhi Rais Samia. Huo ndio itakuwa kipimo cha ukomavu wa siasa kwa chadema.
Huyu anasemaje

IMG_20210704_110821.jpg
 
Mbowe ampatie darasa nanma ya kufanya siasa kisasa,siasa za mdude ni outdated.
Kamkwaza kila mtu🚮🚮
 
Clip hii inayomuoneesha Mdude Nyagali akiapa kutumia wembe kumnyoa Rais Mama Samia Suluhu Hassan (sijui ni kwa namna gani) inaonesha kiwango cha juu cha ukosefu wa adabu wa mhusika kwa mamlaka za nchi na watu waliomzidi umri. Kauli ya Mdude kwa Rais si tu ni ya kishenzi isiyopaswa kuvumiliwa hata na wanachadema wenyewe, bali inatoa taswira mbaya kwa chama chake, kwa nchi na kwa Rais ambaye amejipambanua kujenga demokrasia ya kistaarabu isiyokwamisha ustawi wa nchi yetu.
Ninafahamu Mbowe ni mtu mstaarabu anayejua mipaka ya demokrasia. Mbowe angekuwa kama Mdude nchi hii ingeshavurugika hivyo ninamshauri amtake Mdude amuombe radhi Rais Samia. Huo ndio itakuwa kipimo cha ukomavu wa siasa kwa chadema.
Mbowe na Mdude akili ni moja tu wala usipate shida

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kumwambia mtu mzima Tena mama nitakunyoa naona ka tusi atamnyoa Nini Sasa huyo kiazi mbatata yenyewe akiwa mahakamani alikuwa mpole na bible yake kumbe ni hamnazo baada ya kuachiwa anajifanya kidume loh. CDM ijifunze siasa safi na sio matusi maana Mimi nawaona ni wahuni na wataka fujo
Mkuu tusi liko wapi hapo?
 
Kumwambia mtu mzima Tena mama nitakunyoa naona ka tusi atamnyoa Nini Sasa huyo kiazi mbatata yenyewe akiwa mahakamani alikuwa mpole na bible yake kumbe ni hamnazo baada ya kuachiwa anajifanya kidume loh. CDM ijifunze siasa safi na sio matusi maana Mimi nawaona ni wahuni na wataka fujo
Mdude shikilia hapo hapo make kuna watu hapa hawatumii kichwa kufikiri bali wanatumia mdomo kufikiri.
Itawachukua muda mrefu sana kutumia kichwa kufikiri ili kumwelewa Mdude ujumbe wake.
 
Mdude shikilia hapo hapo make kuna watu hapa hawatumii kichwa kufikiri bali wanatumia mdomo kufikiri.
Itawachukua muda mrefu sana kutumia kichwa kufikiri ili kumwelewa Mdude ujumbe wake.
Huyo mdude mjinga na hao CDM wake wanao mshauri atukane kiasi wote waonekana wahuni,nani atapigia kura chama Cha wahuni wasio na maadili.
 
Mara mbowe mstaarabu!!!
Sasa kama Mbowe mstaarabu mbona Magufuli yule bichwa alimfunga mbowe na kumtilia fujo kila alipofanya mikutano ya nje na ndani?
CCM ni washenzi, kila Rais anayetawala humsifia na kumtukuza bila kujali ni mtu mwema au mshenzi
 
Tusi kubwa sana unatakaje kumnyoa mama mtu mzima anayeweza kukuzaa akicheza rede. Wewe waweza mwambia hvo mamako mzazi. Mdude Hana adabu tangu hata enzi za Jiwe bwana
Magufuli walipokua wana mtupia kauli nzito mliwashangilia kuwa ni makamanda wasioogopa chochote. ishakua tabia yao hiyo wamezoa kauli zisizo na staha kisa wao makamanda
 
Clip hii inayomuoneesha Mdude Nyagali akiapa kutumia wembe kumnyoa Rais Mama Samia Suluhu Hassan (sijui ni kwa namna gani) inaonesha kiwango cha juu cha ukosefu wa adabu wa mhusika kwa mamlaka za nchi na watu waliomzidi umri. Kauli ya Mdude kwa Rais si tu ni ya kishenzi isiyopaswa kuvumiliwa hata na wanachadema wenyewe, bali inatoa taswira mbaya kwa chama chake, kwa nchi na kwa Rais ambaye amejipambanua kujenga demokrasia ya kistaarabu isiyokwamisha ustawi wa nchi yetu.
Ninafahamu Mbowe ni mtu mstaarabu anayejua mipaka ya demokrasia. Mbowe angekuwa kama Mdude nchi hii ingeshavurugika hivyo ninamshauri amtake Mdude amuombe radhi Rais Samia. Huo ndio itakuwa kipimo cha ukomavu wa siasa kwa chadema.
Suala la adabu si la upande mmoja, ni suala la wote CCM wamekuwa wakitoa kauli kali kuliko hiyo hawakuwahi kukemewa wala kuhojiwa.

Hayati Magufuli aliwahi kumwambia mtu "uwe unabaki na mavi yako nyumbani" hakuna aliyemkemea. Wakuu wa mikoa na MaDC wanatoaga lugha chafu kwa wananchi hakuna anaewakemea wala kuwauliza.

Mama Samia aliwahi kusema askari wa Selikari ya CCM hawakosei kupiga risasi ikumbukwe alisema hayo akijua kuwa waliompiga risasi Lissu hawajawahi kupatikana na wao (Selikari) hawakuwahi kutoa taarifa yeyote ile. Na yeye kama makamo alienda kumtembelea Lissu hivyo alijua fika kwamba Lissu alipigwa risasi lakini aliongea kwa dharau kuwa askari wao hawezi kukosa shabaha.

Haya ni .matunda ya mbegu waliyopanda wenyewe acha wayavune.

View attachment 1840119
 
Kumwambia mtu mzima Tena mama nitakunyoa naona ka tusi atamnyoa Nini Sasa huyo kiazi mbatata yenyewe akiwa mahakamani alikuwa mpole na bible yake kumbe ni hamnazo baada ya kuachiwa anajifanya kidume loh. CDM ijifunze siasa safi na sio matusi maana Mimi nawaona ni wahuni na wataka fujo
Stupid, these are political slogans commonly used by politicians
 
Back
Top Bottom