cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji3][emoji3] kwahyo matusi ndo agenda yenu Sasa hivi Bora jiwe alivo wabinya tu pumb.u mkawa mnalia bila msaadaStupid, these are political slogans commonly used by politicians
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3] kwahyo matusi ndo agenda yenu Sasa hivi Bora jiwe alivo wabinya tu pumb.u mkawa mnalia bila msaadaStupid, these are political slogans commonly used by politicians
Huyu alielekezwa aombe radhi na alifanya hivyo.
Kiutawala huwezi kulinganisha ukosoaji wa mtawala na ukosoaji wa asiye kuwa mtawala.
Asante Sana kwa komenti hii. Sasa watanikkma watakao leta tena ya Mdude hapa jukwaani. Naanza kutembea nayo kila komenti
Ni kosa kubwa kulinganisha vitu visivyo fanana. Kuna baya na kuna baya zaidi.Hakuna watu wasio na adabu wala staha kama baadhi ya wanaCCM.
Rais Magufuli alikuwa na kauli za hovyo ambazo Mdude hafikii hata 50%.
Heri James ana mdomo mchafu, na kauli za kuhatarisha usalama, kwa kiasi ambacho Mdude hafikii hata 10%.
Bashiru na kauli zake za CCM itatumia dola kushinda, ni kauli za kipuuzi, hovyo, na za kuhatarisha usalama wa nchi.
Polepole ana kauli za kijinga kama zile za sisi tunatumia V8, unaijua V8 wewe, ni kauli za kijinga, za kuudhi na kuwadharau masikini walipa kodi.
Kabudi ana kauli za hovyo, mpaka kumwita Magufuli Mungu. Hivi sisi ambao tunajua Mungu halinganishwi na chochote, mnajua tulikereka kiasi gani?
Kangi Lugola kumwita Magufuli ni sawa na Yesu, ni kauli za kukufuru imani za watu.
Mwanri kusema kuwa Mungu anatakiwa kumshukuru Magufuli, ni kauli ya kipuuzi, na ya kuudhi kwa wanaomwabudu Mungu.
Mdude alitumia kauli kali kwa mtu ambaye hakustahili lakini bado kauli yake ni nyepesi sana ukilinganisha na kauli nyingi za hovyo za baadhi ya wanaCCM, tena ni za viongozi wakubwa kwenye chama na Serikali.
Ongezea na yule mwanaharakati huru Musiba. Amewahi kuwatukana akina mzee Warioba kwamba wameeka wanasubiri kujifia wasitubaribie nchi.Hakuna watu wasio na adabu wala staha kama baadhi ya wanaCCM.
Rais Magufuli alikuwa na kauli za hovyo ambazo Mdude hafikii hata 50%.
Heri James ana mdomo mchafu, na kauli za kuhatarisha usalama, kwa kiasi ambacho Mdude hafikii hata 10%.
Bashiru na kauli zake za CCM itatumia dola kushinda, ni kauli za kipuuzi, hovyo, na za kuhatarisha usalama wa nchi.
Polepole ana kauli za kijinga kama zile za sisi tunatumia V8, unaijua V8 wewe, ni kauli za kijinga, za kuudhi na kuwadharau masikini walipa kodi.
Kabudi ana kauli za hovyo, mpaka kumwita Magufuli Mungu. Hivi sisi ambao tunajua Mungu halinganishwi na chochote, mnajua tulikereka kiasi gani?
Kangi Lugola kumwita Magufuli ni sawa na Yesu, ni kauli za kukufuru imani za watu.
Mwanri kusema kuwa Mungu anatakiwa kumshukuru Magufuli, ni kauli ya kipuuzi, na ya kuudhi kwa wanaomwabudu Mungu.
Mdude alitumia kauli kali kwa mtu ambaye hakustahili lakini bado kauli yake ni nyepesi sana ukilinganisha na kauli nyingi za hovyo za baadhi ya wanaCCM, tena ni za viongozi wakubwa kwenye chama na Serikali.
Kwangu mimi, mtu anayesema kuwa, tulishindwa kummaliza kwa risasi, safari hii akija, tutammaliza kwa kumchoma sindano, ni kauli ya hatari zaidi kuliko anayesema ayamnyoa Rais kwa wembe.Ni kosa kubwa kulinganisha vitu visivyo fanana. Kuna baya na kuna baya zaidi.
Sasa mkiwa mnashindwa kutofautisha mambo hata haki zenu ni muhali kuzijua.
Sahihi kabisa.Ongezea na yule mwanaharakati huru Musiba. Amewahi kuwatukana akina mzee Warioba kwamba wameeka wanasubiri kujifia wasitubaribie nchi.
Swali la msingi huyo ni nani na ana mwambia nani ?Kwangu mimi, mtu anayesema kuwa, tulishindwa kummaliza kwa risasi, safari hii akija, tutammaliza kwa kumchoma sindano, ni kauli ya hatari zaidi kuliko anayesema ayamnyoa Rais kwa wembe.
Naomba uniambie jambo moja alichokisema Mdude ni sahihi au si sahihi ?Kwangu mimi, mtu anayesema kuwa, tulishindwa kummaliza kwa risasi, safari hii akija, tutammaliza kwa kumchoma sindano, ni kauli ya hatari zaidi kuliko anayesema ayamnyoa Rais kwa wembe.
Nonsense & baseless discourse.Clip hii inayomuoneesha Mdude Nyagali akiapa kutumia wembe kumnyoa Rais Mama Samia Suluhu Hassan (sijui ni kwa namna gani) inaonesha kiwango cha juu cha ukosefu wa adabu wa mhusika kwa mamlaka za nchi na watu waliomzidi umri. Kauli ya Mdude kwa Rais si tu ni ya kishenzi isiyopaswa kuvumiliwa hata na wanachadema wenyewe, bali inatoa taswira mbaya kwa chama chake, kwa nchi na kwa Rais ambaye amejipambanua kujenga demokrasia ya kistaarabu isiyokwamisha ustawi wa nchi yetu.
Ninafahamu Mbowe ni mtu mstaarabu anayejua mipaka ya demokrasia. Mbowe angekuwa kama Mdude nchi hii ingeshavurugika hivyo ninamshauri amtake Mdude amuombe radhi Rais Samia. Huo ndio itakuwa kipimo cha ukomavu wa siasa kwa chadema.
So what's your point...Cariha?Kumwambia mtu mzima Tena mama nitakunyoa naona ka tusi atamnyoa Nini Sasa huyo kiazi mbatata yenyewe akiwa mahakamani alikuwa mpole na bible yake kumbe ni hamnazo baada ya kuachiwa anajifanya kidume loh. CDM ijifunze siasa safi na sio matusi maana Mimi nawaona ni wahuni na wataka fujo
"Mtoto akisema,basi ujue amesikia kwa baba au mama". Ukiuelewa huu msemo,utakuwa umepevuka kisiasa.Clip hii inayomuoneesha Mdude Nyagali akiapa kutumia wembe kumnyoa Rais Mama Samia Suluhu Hassan (sijui ni kwa namna gani) inaonesha kiwango cha juu cha ukosefu wa adabu wa mhusika kwa mamlaka za nchi na watu waliomzidi umri.
Kauli ya Mdude kwa Rais si tu ni ya kishenzi isiyopaswa kuvumiliwa hata na wanachadema wenyewe, bali inatoa taswira mbaya kwa chama chake, kwa nchi na kwa Rais ambaye amejipambanua kujenga demokrasia ya kistaarabu isiyokwamisha ustawi wa nchi yetu.
Ninafahamu Mbowe ni mtu mstaarabu anayejua mipaka ya demokrasia. Mbowe angekuwa kama Mdude nchi hii ingeshavurugika hivyo ninamshauri amtake Mdude amuombe radhi Rais Samia. Huo ndio itakuwa kipimo cha ukomavu wa siasa kwa chadema.
Unajua maana ya tusi?Tusi kubwa sana unatakaje kumnyoa mama mtu mzima anayeweza kukuzaa akicheza rede. Wewe waweza mwambia hvo mamako mzazi. Mdude Hana adabu tangu hata enzi za Jiwe bwana
Kama huoni tusi basi wewe utakuwa na tatizo kichwani mwako zaidi ya Mdude.Mkuu tusi liko wapi hapo?
Kamtukana nani hapo?
Unatetea upuuzi!! Tunahangaika tu kuwashauri inavyoonyesha matusi ni agenda kuu ya chama chenu.Unajua maana ya tusi?
Kumnyoa mtu ni tusi?
Kumnyoa maana yake watapambana na Rais kwa hali na mali kutetea katiba isivunjwe na Rais ila siyo kumnyoa kama ulivyoelewa.
Nawaombeni vijana muache hisia za ajabu hakuna tusi pale.
Mbowe na Mdude akili ni moja tu wala usipate shida
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app