Wananchi tuna akili timamu,Alikuwa anatoa mrejesho kwa wananchi juu ya walichokubaliana.
Pengine hayo aliyoyasema ndio ambayo walikubaliana kwenye vikao vyao. Kutotekelezwa kwake, pengine watawala wameamua kuyakiuka. Nadhani hapo kinachotakiwa ni yeye kuulizwa, mbona hatuoni utekelezaji?. Kisha ndio tujue shida ipo kwake aliyetupa mrejesho au kwao aliokubaliana nao?
Kwanini lawama zote alaumiwe Dr Slaa?Sawa nakukubalia sija kataa ila huoni kwamba hatutakuwa tumetenda haki kwa wengine kunyanyuka na kikendeleza chama. nafikiri Afrika tuanze kunyanyuka kuacha kutegemea wale wale kila uchao.
Mzee wa miaka 73 tena asiyekuwa na msimamo ana faida gani kwa sasa?Asharusiwa kurudi tayari
Slaa anatakiwa ajiunge na chama cha wafuasi wa Magufuli, kama wana balls za kuanzisha chamaMkuu, wakikusikia unitaarifu, kwangu kutakuwa na party nitachinja mosquitoe! Kwani wahenga waliposema sikio la kufa halisikii dawa unadhani hawakujua kitu?
Kwa hapo kwakweli sijajua nami ni mtazamaji tuKwanini lawama zote alaumiwe Dr Slaa?
Unaamini Kila mtu anaweza kuwa mnafiki?
Mbona humlaumu Mnyika aliyeamua kukaa kimya kipindi chote Cha uwepo wa Lowwassa?
Nimesema CHADEMA tupeni wananchi zawadi ya mwaka mpya Kwa kumrudisha Dr Slaa.Sidhani kama wewe ni CHADEMA
Chama chakavu pia hukijui?Chama chakavu maana yake nn?
Kipi kinachomfanya Dr. Slaa awe mtu sahihi?Wananchi tuna akili timamu,
Tulitilia shaka maridhiano Yale tangu mwanzo bt mkt akayaendeleza.
So turudi katika siasa za kiuanaharakati mabarabarani na Viwanjani,
Huko ndiko tutapata Katiba mpya ya Kweli na Tume huru ya Uchaguzi.
Na mtu sahihi ni De Slaa!!
Rangi halisi za Slaa tuliziona alipoteuliwa kuwa balozi na MagufuliDkt Slaa hastahili matusi wala kejeli,famba la 2015 liligeuza siasa za Tz kua majanga na kimsingi msimamo wa dkt Slaa ulikua sahihi,Lowassa leo yuko wapi!?.Wengi tuliumizwa na ingizo la Lowassa na wengine tulimpigia kura kwa kuichoka CCM.
Usahihi wa Dr Slaa ni msimamo wake usioyumba.Kipi kinachomfanya Dr. Slaa awe mtu sahihi?
Na katiba mpya ni ya wananchi wote, kwani ni lazima mpaka awe ndani ya CHADEMA ili kuweza kushiriki kwenye kuidai hiyo katiba mpya?
Twende na ACT Wazalendo basiKiukweli,Chadema bila MTU Kama Dr. Slaa mwenye kuuchukia ufisada kamwe hakiwezi na hakitaweza na hakitwezeshwa na wananchi kuingia madarakani Hata wakiambiwa waunde Tume ya Uchaguzi na kuusimamia Kwa katiba yoyote wanaodhani kuwa ni Bora.
Kwanza Chini ya Mbowe Chadema Haina Tofauti na CCM ya Mafisadi.
Mbowe ni MTU Wa aina ya Mafisadi wote walioko Afrika.
Hatuwezi kuichagua Chadema inayoongozwa na bepari huku ikiwa na makada maskini na wananchi wanyonge NDIO wapiga kura!
Kuichagua Chadema yenye será na mlengo Wa Kibepari chini ya Mbowe Rafiki Wa majizi na Mafisadi walioko CCM wakati nchi imejaa Majizi ni kupeleka Nchi mnadani.
Chadema isahau kabisa kuingia madarakani Kwa será zake za kuwategemea Wazungu kuja kuiba rasilimali za Nchi eti ni wawekezaji.
Bandari imeuzwa , Mbowe akalamba Asali ya Waarabu akampinga Dr Slaa na Mwabukusi Sasa tunaona Mpaka Maeneo nyeti yanachukuliwa na Wageni .Watahamisha Mpaka Kambi za Majeshi ya Bukinafaso.
Mbowe anailazimisha Chadema Kucha kutwa watumie muda mwingi kumponda na kumsema Hayati Magufuli. Jambo linalowapandisha hasira Wananchi.
CHADEMA chini ya Mbowe Kwa sasa tuseme UKWELI imestuck,Mwakani uchaguzi na Chadema kama bado ipo ipo tu. Sijui tuisaidiaje Chadema lakini nahisi wanahitaji fikra na uelekeo mpya.
Kwa sasa huoni kuwa CHADEMA Iko njia panda?Aende zake, alisaliti na kumuunga mkono muuaji. Hafai
Risasi na mateso wanayopitia akina Lissu na Saanane aliyabariki. Hovyo kabisaaaaa
Aliitoa CHADEMA kwenye uelekeo wa maandamano kupinga mkataba fake wa DP World!!Kiukweli,Chadema bila MTU Kama Dr. Slaa mwenye kuuchukia ufisada kamwe hakiwezi na hakitaweza na hakitwezeshwa na wananchi kuingia madarakani Hata wakiambiwa waunde Tume ya Uchaguzi na kuusimamia Kwa katiba yoyote wanaodhani kuwa ni Bora.
Kwanza Chini ya Mbowe Chadema Haina Tofauti na CCM ya Mafisadi.
Mbowe ni MTU Wa aina ya Mafisadi wote walioko Afrika.
Hatuwezi kuichagua Chadema inayoongozwa na bepari huku ikiwa na makada maskini na wananchi wanyonge NDIO wapiga kura!
Kuichagua Chadema yenye será na mlengo Wa Kibepari chini ya Mbowe Rafiki Wa majizi na Mafisadi walioko CCM wakati nchi imejaa Majizi ni kupeleka Nchi mnadani.
Chadema isahau kabisa kuingia madarakani Kwa será zake za kuwategemea Wazungu kuja kuiba rasilimali za Nchi eti ni wawekezaji.
Bandari imeuzwa , Mbowe akalamba Asali ya Waarabu akampinga Dr Slaa na Mwabukusi Sasa tunaona Mpaka Maeneo nyeti yanachukuliwa na Wageni .Watahamisha Mpaka Kambi za Majeshi ya Bukinafaso.
Mbowe anailazimisha Chadema Kucha kutwa watumie muda mwingi kumponda na kumsema Hayati Magufuli. Jambo linalowapandisha hasira Wananchi.
Slaa hawezi rudi Chadema na hawezi kuwa mtumishi wa chama chochote cha siasaDr Slaa ni chaguo sahihi wakati huu tukiwa katika sintofahamu.
Ni mwanamikakati mzuri.
Why?Slaa hawezi rudi Chadema na hawezi kuwa mtumishi wa chama chochote cha siasa
Wakimwingiza slaa na polepole ccm itskuwa na hali mbaya sana wakina rostam azizi watakuwa nanajiandaa kukimbia nchi kwa uovu walio litendea taifaDr Slaa ni chaguo sahihi wakati huu tukiwa katika sintofahamu.
Ni mwanamikakati mzuri.
Kuingia Kwa Slaa kutaondoa urafiki usio rasmi kati ya CHADEMA na kundi la wanamtandao wa CCM chini ya mstaafu.Wakimwingiza slaa na polepole ccm itskuwa na hali mbaya sana wakina rostam azizi watakuwa nanajiandaa kukimbia nchi kwa uovu walio litendea taifa
Baada ya hayo yote uliyoona (observations) bado tu umeweka tumaini kwa CHADEMA? Bado unaamini wananchi wengi wanaitumainia CHADEMA?Kwa sasa huoni kuwa CHADEMA Iko njia panda?
Ilisema haishiriki uchaguzi, saiz wanasema wanajiandaa na uchaguzi.
Walisema wanachama tuiamini CCM sababu Eti Samia ni msikivu,
Kiko wapi?
CHADEMA haipasi kukaa njia panda, lazima tujue Ina msimamo Gani, iendelee na uanaharakati, au isubiri huruma ya Samia!!!