Tanzania hakuna uchaguzi, Bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.Mwakani uchaguzi na Chadema kama bado ipo ipo tu. Sijui tuisaidiaje Chadema lakini nahisi wanahitaji fikra na uelekeo mpya.
Mwambie Dr.Slaa na Mwabukusi waanzishe chama tutawaunga mkono kutokana na wanayosimamia. Usilazimishe arudishwe cdm wakati hakafukuzwa. Milango Iko wazi huko cdm, akitaka arudi, akiona vipi aendelee na utaratibu wake.Rabbon ni Mwananchi wa kawaida, MKULIMA asiye na chama, ila ni Mzalendo wa Nchi yake Tanzania.
Ndomana tunawasgauri wabadili uelekeo kurudi katika siasa za kiuanaharakati, na kiuzalendo.Baada ya hayo yote uliyoona (observations) bado tu umeweka tumaini kwa CHADEMA? Bado unaamini wananchi wengi wanaitumainia CHADEMA?
Kwa nini usifikirie chama mbadala hata ikibidi Dr Slaa kukianzisha? Kwanza umeshapata maoni yake kuhusu CHADEMA? Ameshasikika na kusomeka akitoa kauli hasi sana kuhusu chama hicho na viongozi wake enzi za awamu ya 5.
Sasa Dr Slaa pamoja na “uzuri” wote unaompamba, unategemea ataweza kufanya kazi na mwenyekiti na viongozi wengine wa CHADEMA kuleta mageuzi ndani ya chama? Unaamini atapewa “blank cheque” afanye anayotaka, anavyotaka?
Bila shaka wako radhi kuwarudisha akina mdee ila si slaa.Salaam, Shalom!!
Ndugu Mnyika anafanya vizuri, lakini Bado hajafikia viwango vya Dr Slaa, Mnyika anaweza kupewa nafasi nyeti kuelekea uchaguzi huku Dr Slaa akifanikisha njia nyeupe Kwa chama.
ZIFUATAZO, ni sababu kwanini CHADEMA inamuhitaji zaidi Dr Slaa.
1. KUFAIL KWA MARIDHIANO.
Jambo hili Bado Lina maswali mengi ndani na nje ya chama, muda uliopotea kukaa mezani na mahasimu CCM Bado unaleta maswali yasojibika, tukijiuliza, chama kimeachieve nini katika maridhiano Yale, hakuna majibu ya Moja Kwa moja zaidi ya lawama,hivyo kupunguza maswali haya, Leteni ingizo jipya ambalo ni Dr Slaa turudi katika siasa za kiuanaharakati.
2. MIKAKATI THABITI KUELEKEA UCHAGUZI.
Najua mnapanga kushiriki uchaguzi, Dr Slaa Bado ni chaguo zuri. Ubora wake katika mipango thabiti unajulikana.
3. KULETA HAMASA KWA WANANCHI WASIOPENDA UFISADI NA RUSHWA.
Dr Slaa aliondoka akipishana na Lowwassa, na imethibitika kuwa Lowwassa ni Liability Kwa chama, maana amerudia nyumbani kwao, hivyo Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka. majuzi KM ndugu Mnyika amenukuliwa akisema kuwa, pia hakufurahia ujio wa Lowassa chamani, na ndio chanzo Cha ukimya wake wakati Ule, hivyo kurejea kwake Dr Slaa, kutaamsha tumaini jipya.
4. ANAAMINIKA KWA MAKUNDI YOTE.
Dr Slaa ni mtu mwenye misimamo isoyumba, hivyo ujio wake utaleta taswira mpya kuelekea harakati za kupata Tume huru kabla ya Uchaguzi wowote. Vijana watajitokeza tena Kwa wingi mikutanoni sababu aliaminika sana enzi zake.
Kundi kubwa lililohama CHADEMA na lingine kususia siasa baada ya Lowassa mwenye kashfa za ufisadi alipopewa nafasi, litarejea na Dr Slaa ikiwa atarudishwa tena chamani Kwa nafasi ya Katibu MKUU.
5. UANDAAJI WA SERA ZA CHAMA NA ILANI YA UCHAGUZI KWA MIAKA MITANO IJAYO 2025-2030.
Mchango wa Dr Slaa, hata hauhitaji Utafiti, maana alisaidia sana CHADEMA kuwa chama chenye sera thabiti ambazo nyingi ziliibwa na kutumiwa na chama tawala wakati huo 2015.
ANGALIZO: Chama chakavu Hadi sasa hakina KM, So Ingizo la Dr Slaa Kwa wakati huu, lazima utaleta mtikisiko Kwa chama tawala.
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni. 🙏
CCM Kwa sasa haiwezi ruhusu watu kama Slaa, Mdude na Mwabukusi kuanzisha chama,Tanzania hakuna uchaguzi, Bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.
Mwambie Dr.Slaa na Mwabukusi waanzishe chama tutawaunga mkono kutokana na wanayosimamia. Usilazimishe arudishwe cdm wakati hakafukuzwa. Milango Iko wazi huko cdm, akitaka arudi, akiona vipi aendelee na utaratibu wake.
Naamini zuio kubwa liko Kwa wakubwa nje ya chama wenye ushirika usio rasmi na viongozi Wachache wa chama.Bila shaka wako radhi kuwarudisha akina mdee ila si slaa.
Kuna Kila dalili uchaguzi wa MITAA kupelekwa 2025, kupunguza gharama.Arudi haraka 2024 uchaguzi wa serikali za mitaa iwe hot
2025 tukawq na uchaguzi wq rais,madiwani ,wabunge na serikali za mitaa?Kuna Kila dalili uchaguzi wa MITAA kupelekwa 2025,
Kapu limekaushwa na wizi, pia marejesho ya mikopo na riba ni makubwa sana.
Inawezekana kabisa.2025 tukawq na uchaguzi wq rais,madiwani ,wabunge na serikali za mitaa?
Kuhusu kitabu kipya itakuaje hatuandiki tenaInawezekana kabisa.
Maana u haguzi wa MITAA ni vyema ukasimamiwa na Tume ya Uchaguzi Si Tamisemi.
Malalamiko ni mengi na ukizingatia saiz Kuna shinikizo la kupata Tume huru ya Uchaguzi.
Dr Slaa ni mtu wa misimamo isoyumba.Mzee wa miaka 73 tena asiyekuwa na msimamo ana faida gani kwa sasa?
Huyu alisema katiba mpya na mikutano ya hadhara haina umuhimu? Lissu kupigwa risasi ni kawaida?
Ndumilakuwili ni liability kwa chadema
Mpango wa kitabu iipya uko pale pale.Kuhusu kitabu kipya itakuaje hatuandiki tena
Maoni Yako yanaheshimiwa.Ushauri wa kijinga kabisa.
Ila naona km kitabu kimepotezewa hivi sioni zile kelele za mwanzoMpango wa kitabu iipya uko pale pale.
Dr Slaa katika Hilo la Katiba mpya amenyooka kabisa,
Kwamba vyama visiingie pressure ya Uchaguzi na kusahau Katiba mpya yenye mengi kuwahusu wananchi.
Kulazimisha uchaguzi bila Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya, liko Giza mbele ambalo tunapambana kuliondoa sasa.
Ni sababu ya homa ya Uchaguzi.Ila naona km kitabu kimepotezewa hivi sioni zile kelele za mwanzo
Kwahiyo ni heri tuandike kitabu kipya kwanza ,tusiwe na haraka ya UchaguziNi sababu ya homa ya Uchaguzi.
Nikwambie ndugu, Bila BUSARA kutumika, kulazimisha uchaguzi kufanyika Kwa Katiba hii, mbeleni Si kuzuri hata kidogo.
Bado naamini kuanzia Sasa Hadi June 2025 tutakuwa tumefanukiwa ktk mengi kuondoa sintofahamu ya kesho ya Taifa letu.
Ni Kweli kabisa,Kwahiyo ni heri tuandike kitabu kipya kwanza ,tusiwe na haraka ya Uchaguzi
Hana msimamo wala, hilo la Lowassa unamuona kama ana msimamo lakini nyuma ya pazia alishiriki kumleta sema kuna vigezo kadhaa Lowassa alishindwana Slaa akajitoaDr Slaa ni mtu wa misimamo isoyumba.
Hadi Leo, kwake Lowassa ni fisadi, jambo ambalo ukimuuliza Lissu au Mbowe watajiuma meno.
Na jambo hili la kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi ikishindikana,Kwahiyo ni heri tuandike kitabu kipya kwanza ,tusiwe na haraka ya Uchaguzi