njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
jamaa umeongea ukweli asilimia mia wambulu wa ajabu sana ,Wambulu pamoja na uzuri wao, wanachoka mapema sana. Jichanganye uoe Mbulu umzalishe alafu usimpe matunzo.
Yes, wapo kama wahindi, wakishazaa chali.Wambulu pamoja na uzuri wao, wanachoka mapema sana. Jichanganye uoe Mbulu umzalishe alafu usimpe matunzo.
Singida, kondoa, mbulu ukioa umeolea umma..wao wanawezana wenyewe..ila ni wazuri hasaKwanini Singida inatuhumiwa sana... Ila ni wakali
Hata mabinti wa kazi wapo tayari kufanya kazi bar tu sio Housemaid, mpesa nkBarmaids wa kimbulu asilia 98% akili zao zina function kwa asilimia 2%
Not true.....unataka kusema kwamba kazi ya barmaids ni kuuza uchi. Vipi hawa barmaids kwenye hizi hoteli za kisasa mbona wanajielewa na wako professional.99% of barmaids are whore.
Uko taifa gani?Not true.....unataka kusema kwamba kazi ya barmaids ni kuuza uchi. Vipi hawa barmaids kwenye hizi hoteli za kisasa mbona wanajielewa na wako professional.
Umalaya/Ukahaba ni tabia binafsi ya mtu sio tabia ya profession fulani ...nadhani ingekua hivyo basi hawa mameneja wa Bar wangekua wanaajiri machangudoa wale wanaojiuza barabarani.
Pole sana kwa kutokujua mengi. Tembea sio maghorofa.Not true.....unataka kusema kwamba kazi ya barmaids ni kuuza uchi. Vipi hawa barmaids kwenye hizi hoteli za kisasa mbona wanajielewa na wako professional.
Umalaya/Ukahaba ni tabia binafsi ya mtu sio tabia ya profession fulani ...nadhani ingekua hivyo basi hawa mameneja wa Bar wangekua wanaajiri machangudoa wale wanaojiuza barabarani.
Hahaha dah!jamaa umeongea ukweli asilimia mia wambulu wa ajabu sana ,
Wanakua wazuri wakiwa vijana na kabla hawajazaa baada ya hapo wanakuwa kama vibibi vya kijapani
Bonge la wazoNangalia maisha ya baamedi hayana tofauti na mchezaji wa mpira. Natumia mfano wa mchezaji wa mpira kwa sababu ana maisha mafupi kwenye kazi kuliko msanii, au mwanamitindo au hata muigizaji.
Kama ilivyo hali ya ajira kila mtu anaijua, tufanye baada ya kukosa ajira ukaamua kujilipua kuuza baa. Asilimia kuwa hakuna bamedi mgumu (mchoyo) akikunyima basi una gundu.
Unaanza kazi iyo una miaka 20, pambana kufikia 35 na ww uwe tayari unamiliki baa, na unajijenga. Utachezewa mpaka lini?
Siku izi hakuna baa inayotaka wahudumu wazee ya mwisho wa kuajiriwa ni 35 tu tena uwe vipodozi vimekukubaki kweli. Ukiwa mzembe miaka 40 haina kazi ulozoea, huna mtaji, labda hujaolewa, unaanza kujiuza official kwenye baa uliyozoeleka. Unajidhalilisha bure kujiuza kwenyewe sababu ya umri hauna soko tena.
Kuna mabaamedi nawajua kipindi naingia mjini kwa sasa wanatia huruma. Wamekuwa wazee wana maisha magumu sana. Ulikuwa unapata 30k kwa siku na bia za kutosha kwa sasa unauza uji unaingiza 5k tu kwa shida.
Tafakari ushauri huu ila Kumbuka ushauri wangu sio sheria?
Inategemea na location, muonekano wakeWanaweza kupata zaidi ya 30k ni bila kugusa mshahara, kwa mwezi ni ngap?
Talking about macho 3Baa medi mnaitwa huku kuna ujumbe wenu muhimu sana, shida yao wakishapata hela ya kununua macho matatu, skin jeans nyeusi na raba wanaona wameshamaliza maisha.
Hakuna U professional labda hawajuiNot true.....unataka kusema kwamba kazi ya barmaids ni kuuza uchi. Vipi hawa barmaids kwenye hizi hoteli za kisasa mbona wanajielewa na wako professional.
Umalaya/Ukahaba ni tabia binafsi ya mtu sio tabia ya profession fulani ...nadhani ingekua hivyo basi hawa mameneja wa Bar wangekua wanaajiri machangudoa wale wanaojiuza barabarani.
Sio wadada tu malizia walio wengi ni madada poa.Talking about macho 3
Hivi mbona wateja wengi wa hii cm ni wadada?
Maisha kupanga ni kuchagua, wekeza starehe na mambo ya luxury ufe masikini au komaa ujanani uzeeni umalize vizuriWatu wanafanya kazi miaka 40 anastaafu hana kitu iwe muuza BAA ambao wengi hawana hata salary mbali ya keep change na kuibia waliolewa