Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😍😍😍MashallahDah ulinichamba kweli shoo
Sura sina na mvuto nikose?
Me ndo niko hapo kwa avatar...
Good luckKumbe eeh
Asante lakini huyo shemela dear ex mkazie akitaka kwanza ndoa mengine yafuate tena akutambulishe mpaka makaburi ya kwao 🤨Ungejua navyokuhusudu ungetembea kifua mbele
Kauli ya mzazi ambayo haiwezi kutanguliwa kwani hayupo tena ...itakusumbua sanaMapungufu mengi mno
Halaf ni muongo muongo sana
Kila la kheri mamaKama ngoma sikuipata miaka 4 nlokaa nae sitakaa niipate
Amini nakwambia.
Japo sitarudi huko
Wewe ni kiazi kichwani kwanini kutuomba ushauri wakati mama yako alishakuonya? Uchungu wa mwana aujuae mzazi.Nitukane tu maana mshazoea kunitukana hapa hadi nimezoea
Wote wazeeHuenda Dada naye ana umri karibiana na huo wa Mwamba.
Maana kwa Binti under 30 kuwaza kurudiana na Mbabu wa 50's ni nadra sana..
Ni maneno mafupi tu mama lkn utafakari.Leo una maneno mafupii
Hadi nakuogopa
Sitarudi amini nakwambia. Basi kuna muda naona kama siko sahihi najistukia