Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pole sana watu wanakwambia umuache Mzee wa galafu hawakupi alternative.
Njoo kwangu upate pumziko mtoto mzuri.
Hustahili kufanyiwa ubaya wa namna hiyo.
vishaexpire huwa vinahitaji update sasa jichanganye uone balaa lake.Ipo namna hata mimi nakubali
Wala sipingi...basi tu ukute vime expire
Achana nae huyo mzee. Kwa maelezo yako inaonekana wewe ndio unajipendekeza kwake mpk umemfuata mkoa alipo ili kupima upepo. Mama yako alikuwa hamtaki na aliangaika mpk kukutafutia kazi sehemu nyingine kukuepusha.Huwa anaongea sana tu kwenye simu kwamba asamehewe.
Hata msiba wa mamangu alikuja na kote alikuwa anaomba nirudishe moyo nyuma
Dah unanitisha asee usimtaje maza anguAchana nae huyo mzee. Kwa maelezo yako inaonekana wewe ndio unajipendekeza kwake mpk umemfuata mkoa alipo ili kupima upepo. Mama yako alikuwa hamtaki na aliangaika mpk kukutafutia kazi sehemu nyingine kukuepusha.
Laana ya Marehemu itakutafuna ukirudiana nae mark my words.
Hivi nimekuchamba kumbe ngoja nifute ile comment😜😃😃😃Ila punguza kunichamba khaa
Nimekusikia mwaya
Hata ushauri wa mzazi pia unaweza kuwa challenged kwakuwa nae ni mwanadamu.
Mbona mzazi anamkatalia mwanae kuolewa au kuoa mtu flani na watu wanashauri tofauti ?
Hapa ni kuangalia logic pia ambayo ukweli kwa hayo yote sipaswi kirudi huko
Naomba na mie nikutukane kidogo kwa ruhusa yako lakiniTukana tu mkuu
Men never changeNdo useme hatuna akili?
Me nimeuliza maswali yajibu pasipo mhemko
😅 huyo dada ana wenge balaa yani asione kijana kapita, na anavyovaa na shepu yake shetani apite mbali nami.Hahaha
🤣🤣 bahati yakoHahahaha me mwenyewe sijajinasua bure bure pale..
Ilikuwa kwa winch
Macho yake yanaeleza ya moyoni mwake. Ipo siku 🤗😅 Mungu azid kumuweka huyu mzeeHahaha mtajilia kilaini tu
Mimi mwenyewe nina tabia za kizee hautajuta PM iko wazi muda wote.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimwkuwa addicted na vibabu kwakweli
Yale mahaba ya miaka 3 yalikuwa houuut