heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Wakuu,
Binafsi mimi wazazi wangu wote walishanipa ushauri japo ilikuwa kiutani Ila meseji ili delivery
Kwa wakati tofauti, Father alishawahi nishauri mambo machache kuhusu mahusiano/wanawake
1. Katika kabila letu LA kaskazini kule kuna watu wa mahala fulani kaniambia nisioe huko hata kwa kushikiwa bunduki
2. Aliniambia mwanamke asiweze kukariri ratiba zangu hasa za kurudi na kutoka muda anaofikiria hautoki we unatoka muda anaofikiria unatoka wewe utoki. Kama nitachelewa sana nimtarifu mapema.
3. Kama nitakuwa mlevi basi nisimkere Ila nitumie pombe zangu kumchekesha na kumbebisha
5. Nisikubali kupelekeshwa na mwanamke pia nisiwe sirias wakati wote
Kwa wakati tofauti mama alinipa ushauri kadha
1. Msichana wangu awe mzuri kuanzia sura na roho yaani awee na hofu ya Mungu
2. Alinikataza kumpelekea single mama
3. Alishawahi niuliza kwanini niliachana na Ex wangu na alikuwa anavigezo alivyovitaka
4. Alinishawishi nijiweke smart hata tukienda kanisani atatumia muda mwingi kuniweka smart kuliko yeye
5. Mama atanambia kwa fulani sio kwa kuoa wanatabia hizi na hizi
Funguka nawe...
Binafsi mimi wazazi wangu wote walishanipa ushauri japo ilikuwa kiutani Ila meseji ili delivery
Kwa wakati tofauti, Father alishawahi nishauri mambo machache kuhusu mahusiano/wanawake
1. Katika kabila letu LA kaskazini kule kuna watu wa mahala fulani kaniambia nisioe huko hata kwa kushikiwa bunduki
2. Aliniambia mwanamke asiweze kukariri ratiba zangu hasa za kurudi na kutoka muda anaofikiria hautoki we unatoka muda anaofikiria unatoka wewe utoki. Kama nitachelewa sana nimtarifu mapema.
3. Kama nitakuwa mlevi basi nisimkere Ila nitumie pombe zangu kumchekesha na kumbebisha
5. Nisikubali kupelekeshwa na mwanamke pia nisiwe sirias wakati wote
Kwa wakati tofauti mama alinipa ushauri kadha
1. Msichana wangu awe mzuri kuanzia sura na roho yaani awee na hofu ya Mungu
2. Alinikataza kumpelekea single mama
3. Alishawahi niuliza kwanini niliachana na Ex wangu na alikuwa anavigezo alivyovitaka
4. Alinishawishi nijiweke smart hata tukienda kanisani atatumia muda mwingi kuniweka smart kuliko yeye
5. Mama atanambia kwa fulani sio kwa kuoa wanatabia hizi na hizi
Funguka nawe...