Ushauri gani ambao ulishawahi kupewa na Mzazi wako kuhusu mahusiano?

Ushauri gani ambao ulishawahi kupewa na Mzazi wako kuhusu mahusiano?

Nimekatazwq kuoa mchaga na mpare hii iko Kwa mama na mama namshukuru Mungu nimeweza kudate na wanawake wawili wakichaga aisee wote nimekutana na Tabia wazazi walizoniambia japo nilikuwa mbishi Kwanza wabinafsi wanapenda Sana Hela hawako hata romantic kiuhalisia Mimi sio mtu wakuzingatia makabila Ila naona kama itabidi nirudi home sweet home Iringa,mbeya,njombe huko ndo kuna wanawake wa kuoa
 
Bi mkubwa: hajawai nipa ushauri wowote wa maana zaid ya kunisema tu.

Mzee: aliniambia achana nao tafta maisha kwanza kama ni wako atakutafta tu siku moja atakuja(hapo baada ya kupata mtoto ) huu niliona ni ushauri wa kipumbavu sana maana ata ayo maisha aliyosema nitafte bado sijayaona.
Ushauri wa mzee wako wakipumbavu nimecheka balaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu

Binafsi Mimi wazazi wangu wote walishanipa ushauri japo ilikuwa kiutani Ila meseji ili delivery,

Kwa wakati tofauti
Father alishawahi nishauri mambo machache kuhusu mahusiano/wanawake
1.katika kabila letu LA kaskazini kule kuna watu Wa mahala Fulani kaniambia nisioe uko hata kwa kushikiwa bunduki

2.Aliniambia mwanamke asiweze kukariri ratiba zangu hasa za kurudi na kutoka muda anaofikiria hautoki we unatoka muda anaofikiria unatoka we utoki. Kama nitachelewa sana nimtarifu mapema.

3.Kama nitakuwa mlevi basi nisimkere Ila nitumie pombe zangu kumchekesha na kumbebisha

5.Nisikubali kupelekeshwa na mwanamke pia nisiwe sirias wakati wote

Kwa wakati tofauti .MAMA alinipa ushauri kadha

1. Msichana wangu awe mzuri kuanzia sura na roho yanii awee na hofu ya Mungu

2.Alinikataza kumpelekea single Moma

3.Alishawah niuliza kwanini niliachana na Ex wangu na alikuwa anavigezo alivyovitaka

4.Alinishawishi nijiweke smart hata tukienda kanisani atatumia muda mwingi kuniweka smart kuliko yeye.

5.Mama atanambia kwa Fulani sio kwa kuoa wanatabia hizi na hizi


Funguka nawe
Mama alikuwa anatuambia mme wako wa kwanza ni kazi yako. Ukiwa na hela zako huangaishwi na mwanamme
 
Ushauri wa mzee wako wakipumbavu nimecheka balaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Ndio. Sasa huo ni ushauri gani unampa mtoto wako? Kama sio kumtengenezea roho ya utelekezaji?
Hio kitu niliikataa kabsa bora nionekane sipo full responsible kuliko kuonekana nimemtelekeza, mtoto anafurahi ata kuona anaita baba ata kama umsaidii sana ila kile kidogo kinampa fajara kuwa na mm nina baba ananipenda na kunipigania.
 
mama yangu huwa ananiambia hivi usijekutegemea kupata mwanaume aliyekamilika hapa dunian kama ni mume wako jali haya awe anakuhudumia chakula,mavazi vizuri,na ukiumwa akutibie bas usije mwacha mume wako kisa mlevi mchepukaji na mengne bali ww kama mwanamke angalia unanafasi gani kwa mungu wako mweleze mungu matatizo ya mume wako jinsi unavyotaka awe na kwa imani ya kweli mungu anaweza mbadilisha mme wako
 
mama yangu huwa ananiambia hivi usijekutegemea kupata mwanaume aliyekamilika hapa dunian kama ni mume wako jali haya awe anakuhudumia chakula,mavazi vizuri,na ukiumwa akutibie bas usije mwacha mume wako kisa mlevi mchepukaji na mengne bali ww kama mwanamke angalia unanafasi gani kwa mungu wako mweleze mungu matatizo ya mume wako jinsi unavyotaka awe na kwa imani ya kweli mungu anaweza mbadilisha mme wako
Msalimie Sana Mama mwambie anywe soda ntalipa tukioana

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
mama yangu huwa ananiambia hivi usijekutegemea kupata mwanaume aliyekamilika hapa dunian kama ni mume wako jali haya awe anakuhudumia chakula,mavazi vizuri,na ukiumwa akutibie bas usije mwacha mume wako kisa mlevi mchepukaji na mengne bali ww kama mwanamke angalia unanafasi gani kwa mungu wako mweleze mungu matatizo ya mume wako jinsi unavyotaka awe na kwa imani ya kweli mungu anaweza mbadilisha mme wako
Ushaur wa mama mkwe wangu ni mzur sana
 
mama yangu huwa ananiambia hivi usijekutegemea kupata mwanaume aliyekamilika hapa dunian kama ni mume wako jali haya awe anakuhudumia chakula,mavazi vizuri,na ukiumwa akutibie bas usije mwacha mume wako kisa mlevi mchepukaji na mengne bali ww kama mwanamke angalia unanafasi gani kwa mungu wako mweleze mungu matatizo ya mume wako jinsi unavyotaka awe na kwa imani ya kweli mungu anaweza mbadilisha mme wako
Ungejitahidi ukatafuta hela zako za kula na kujitibia ungepata heshima.
 
Back
Top Bottom