Ushauri gani ambao ulishawahi kupewa na Mzazi wako kuhusu mahusiano?

Ushauri gani ambao ulishawahi kupewa na Mzazi wako kuhusu mahusiano?

mama yangu huwa ananiambia hivi usijekutegemea kupata mwanaume aliyekamilika hapa dunian kama ni mume wako jali haya awe anakuhudumia chakula,mavazi vizuri,na ukiumwa akutibie bas usije mwacha mume wako kisa mlevi mchepukaji na mengne bali ww kama mwanamke angalia unanafasi gani kwa mungu wako mweleze mungu matatizo ya mume wako jinsi unavyotaka awe na kwa imani ya kweli mungu anaweza mbadilisha mme wako
Dah i wish i had such a wise mum
 
Aliniambia nisioe kabila Fulani la Kanda ya Kaskazini, nisioe pia mwanamke aliyenizidi elimu
 
Niliambiwa kua makini hii sehemu tunayoishi wengi wameungua huko mnakochovya chovya kuweni makini " sikujibu nilikausha nikanywa chai huku nampa story zingine nilivyomaliza ikawa akili ku mkichwa "

niko makini ninapotaka kubuluzaa siku yakinikuta sina wa kumlaumu.
 
nisioe wamachame au uko wa akina kiwelu,mangowi,moshi na mosha hao wanawake wana tabia ya kuwatawala wanaume zao na wachaga wa kirua au nisioe wanawake wenye uwezo kipesa maana wanazarau wanaume zao iko siku watakuzarau na kukizalilisha
 
Wakuu,

Binafsi mimi wazazi wangu wote walishanipa ushauri japo ilikuwa kiutani Ila meseji ili delivery

Kwa wakati tofauti, Father alishawahi nishauri mambo machache kuhusu mahusiano/wanawake

1. Katika kabila letu LA kaskazini kule kuna watu wa mahala fulani kaniambia nisioe huko hata kwa kushikiwa bunduki

2. Aliniambia mwanamke asiweze kukariri ratiba zangu hasa za kurudi na kutoka muda anaofikiria hautoki we unatoka muda anaofikiria unatoka wewe utoki. Kama nitachelewa sana nimtarifu mapema.

3. Kama nitakuwa mlevi basi nisimkere Ila nitumie pombe zangu kumchekesha na kumbebisha

5. Nisikubali kupelekeshwa na mwanamke pia nisiwe sirias wakati wote

Kwa wakati tofauti mama alinipa ushauri kadha
1. Msichana wangu awe mzuri kuanzia sura na roho yaani awee na hofu ya Mungu

2. Alinikataza kumpelekea single mama

3. Alishawahi niuliza kwanini niliachana na Ex wangu na alikuwa anavigezo alivyovitaka

4. Alinishawishi nijiweke smart hata tukienda kanisani atatumia muda mwingi kuniweka smart kuliko yeye

5. Mama atanambia kwa fulani sio kwa kuoa wanatabia hizi na hizi

Funguka nawe...
Nliambiwa usikubali kuolewa na mwanaume ambae hajui thamani yako

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nishakimbia nikapitiliza hata sikumbuki makanyo-wacha nikule jeuri yangu tu sasa hivi
 
Niliambiwa usije toa TUNDA kabla ya ndoa [emoji4][emoji4]
 
Back
Top Bottom