Ushaoa au bado?!![emoji1][emoji2]yule hausigel alikuharibu sanaBi mkubwa baada ya kusikia tetesi kua natembea na shosti yake alinikanya sana kua sio vizuri kutembea na watu wazima, ni bora nitafute binti wa rika langu,
ila mimi sasa na hao mabinti wa rika langu ni kama Urusi na Ukraine.
We acha tu aliniachia addiction mbaya sana, yaani akikatiza mbele yangu binti mrembo wala sishtuki sana ila apite mmama sasa mwenye kashepu kake hua nnahisi roho inataka kuachana na mwili.Ushaoa au bado?!![emoji1][emoji2]yule hausigel alikuharibu sana
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Naelewa mkuu wanazingua sana awa mabinti, wakubwa ndio fresh.Bi mkubwa baada ya kusikia tetesi kua natembea na shosti yake alinikanya sana kua sio vizuri kutembea na watu wazima, ni bora nitafute binti wa rika langu,
ila mimi sasa na hao mabinti wa rika langu ni kama Urusi na Ukraine.
Safi kabisa.Bi harusi Mkubwa aliwahi niambia usije ukasumbuka na mwanamke unaempenda afu unaona kabisa anazingua, bora uoe yule anaekupenda kwa dhati kuliko unaempenda wewe. Huyu anaekupenda unaweza kujifunza kumpenda.
ushaur mrua sana huuBi harusi Mkubwa aliwahi niambia usije ukasumbuka na mwanamke unaempenda afu unaona kabisa anazingua, bora uoe yule anaekupenda kwa dhati kuliko unaempenda wewe. Huyu anaekupenda unaweza kujifunza kumpenda.
Mama yangu Ni daktari, huwaga ananishauri nitumie Kinga wakati nashiriki ngono na wanawake ili nisije nikaukwaa kimasiharaWakuu
Binafsi Mimi wazazi wangu wote walishanipa ushauri japo ilikuwa kiutani Ila meseji ili delivery,
Kwa wakati tofauti
Father alishawahi nishauri mambo machache kuhusu mahusiano/wanawake
1.katika kabila letu LA kaskazini kule kuna watu Wa mahala Fulani kaniambia nisioe uko hata kwa kushikiwa bunduki
2.Aliniambia mwanamke asiweze kukariri ratiba zangu hasa za kurudi na kutoka muda anaofikiria hautoki we unatoka muda anaofikiria unatoka we utoki. Kama nitachelewa sana nimtarifu mapema.
3.Kama nitakuwa mlevi basi nisimkere Ila nitumie pombe zangu kumchekesha na kumbebisha
5.Nisikubali kupelekeshwa na mwanamke pia nisiwe sirias wakati wote
Kwa wakati tofauti .MAMA alinipa ushauri kadha
1. Msichana wangu awe mzuri kuanzia sura na roho yanii awee na hofu ya Mungu
2.Alinikataza kumpelekea single Moma
3.Alishawah niuliza kwanini niliachana na Ex wangu na alikuwa anavigezo alivyovitaka
4.Alinishawishi nijiweke smart hata tukienda kanisani atatumia muda mwingi kuniweka smart kuliko yeye.
5.Mama atanambia kwa Fulani sio kwa kuoa wanatabia hizi na hizi
Funguka nawe