Ushauri: Gari ya milioni 60

Ushauri: Gari ya milioni 60

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Wakuu, salama?

Nimeombwa ushauri hapa wa gari nzuri ya kununua isiyozidi milioni 60.

Rafiki yangu mmoja yuko huko kwenye machimbo Geita kapata pesa anata gari nzuri.

Vile mimi sio mtaalamu wa hayo mambo nikaona niombe ushauri humu kwa niaba yake.

Gari anayotaka ni ya kutembelea.

Shukrani sana.
 
achukue harrier new model
colour-selector-5_720x430.png
 
achukue harrier new modelView attachment 2436282
Mkuu umeishangaa sana post yangu nilipokwambia umnunulie Depal nikiimanisha gari yakike?

Zingatia mnunuzi ni mtu wa migodini rough road, porini utashaurije anunue gari luxury kama hiyo?
Hiyo ni gari ya mujini.

Wanaume tunanunua gari multi- purpose...utembelee porinini, matopeni, milimani na hata mjini.


Zingatia hili.
Ukiona mwanaume anataka gari lenye low fuel consumption pia ujue ni mtu asiye na maono sahihi.

Low fuel consumption kwa upande mwingine ni gari dhaifu huwezi itumia sehemu zote..eg matopeni, rough road, milimani nk.

Mtu wa migodini mshauri abebe L.C na wanyama wengine.
 
Wakuu, salama?

Nimeombwa ushauri hapa wa gari nzuri ya kununua isiyozidi milioni 60.

Rafiki yangu mmoja yuko huko kwenye machimbo Geita kapata pesa anata gari nzuri.

Vile mimi sio mtaalamu wa hayo mambo nikaona niombe ushauri humu kwa niaba yake.

Gari anayotaka ni ya kutembelea.

Shukrani sana.
Mkuu mtafute
Isanga family hutojuta
 
Mkuu umeishangaa sana post yangu nilipokwambia umnunulie Depal nikiimanisha gari yakike?

Zingatia mnunuzi ni mtu wa migodini rough road, porini utashaurije anunue gari luxury kama hiyo?
Hiyo ni gari ya mujini.

Wanaume tunanunua gari multi- purpose...utembelee porinini, matopeni, milimani na hata mjini.


Zingatia hili.
Ukiona mwanaume anataka gari lenye low fuel consumption pia ujue ni mtu asiye na maono sahihi.

Low fuel consumption kwa upande mwingine ni gari dhaifu huwezi itumia sehemu zote..eg matopeni, rough road, milimani nk.

Mtu wa migodini mshauri abebe L.C na wanyama wengine.
Nimekuekewa vizuri boss

Nili pendekeza hiyo huenda jamaa yake ana gari ingine ya kazi pia.. Kwenye bandiko kasema jamaa yake anataka "gari nzuri" sio gari ya kazi 😅😅😅 angesema anataka gari ya kazi nisingependekeza hiyo
 
Back
Top Bottom